malcom lumumbamshana jr jingalao msemajikweli

  1. Herbalist Dr MziziMkavu

    Vita vya Ukraine: Kwa nini maneno ya 'kuropoka' ya Biden kuhusu Putin ni hatari sana

    Katika kipindi cha wiki moja iliyopita, Rais wa Marekani Joe Biden ametoa matamshi kadhaa ambayo yameonyesha kuongeza joto uhusiano kati ya Marekani na Urusi. Hata hivyo, maneno yake ya mwisho katika ya hotuba inayotajwa kama "hotuba kubwa" nchini Poland siku ya Jumamosi - yanaoonekana kumtaka...
  2. Kurunzi

    TRA Kuanza Kuzitoza Kodi, Facebook, Instagram na Whatsapp

    TRA leo wamafanya mazungumzo na wawakikishi wa Mitandao hiyo ya kijamii kuona namna Mitandao hiyo inaweza kulipa kodi kutokana na hiduma wanazotumia wananchi. ===== DARESSALAAM: Timu ya Wataalam wa Kampuni ya meta inayomiliki mitandao ya @facebookapp instagram pamoja na Whatsapp leo 21...
  3. Planet FSD

    January Makamba ni tatizo linalohitaji kushughulikiwa haraka sana

    Wakuu sijui huyu waziri ana shida gani. Alikuwa very promising kule wizara ya mazingira. Lakini tangu aletwe huku wizara ya nishati imekua ni kituko baada ya kingine. Kulikuwa hakuna tatizo la kukatika umeme kipindi chote cha magufuli. Ila baada ya tu ya January kuletwa huku umeme ukaanza...
  4. Herbalist Dr MziziMkavu

    SI KWELI: Serikali haijasitisha somo la Historia ya Tanzania

    Posti ya Twitter inayodai serikali imesitisha somo la Historia ya Tanzania ya kumtukuza hayati rais John Magufuli SI KWELI. Posti inakiunganishi kwenda katika tovuti inayoeleza kwa undani juu ya taarifa hizi. Tovuti inaeleza kuwa vitabu vipya vya “Historia ya Tanzania” vilivyokuwa vimechapwa...
  5. Erythrocyte

    Freeman Mbowe afanya Misa ya Shukrani Kanisani. Asema aliomba mashtaka yasifutwe ukweli udhihirike

    Leo Jumapili Freeman Mbowe amefika kwenye kanisa la KKKT Azania Front na kufanya maombi maalum yakiambatana na Sadaka, kwa lengo la Kumshukuru Mungu. ========= Freeman Mbowe: Leo nimewaona wakristo wenzangu, sikusudii kuzungumza mengi zaidi ya shukrani. Nimepata hofu sana na hofu kubwa...
  6. Herbalist Dr MziziMkavu

    Naibu Spika Zungu: Rais Samia ameweka historia ya kukutana na wanafunzi wenye mahitaji maalumu tofauti na watangulizi wake

    MHESHIMIWA NAIBU SPIKA ZUNGU: MKAPA, KIKWETE, MAGUFULI HAWAJAFANYA, LAKINI AMEFANYA RAIS SAMIA. Kwa mujibu wa historia ya nchi yetu ni mara ya kwanza Rais ambaye yuko katika madaraka anakutana na wanafunzi kama hawa leo (wenye mahitaji maalumu), nilianza kazi zangu za siasa 2000, wakati Mzee...
  7. John Haramba

    Jeshi la Urusi kuwapokea Wanafunzi Watanzania waliopo Ukraine, wapewa maelekezo maalum ili warudishwe Tanzania

    Ubalozi wa Tanzania uliopo Urusi umetoa taarifa juu ya njia ambazo wanafunzi Watanzania walipo katika Chuo cha Taifa cha Sumy Nchini Ukraine wanazotakiwa kutumia pamoja na namba za simu kwa ajili ya mawasiliano wakati watakapokuwa wanaelekea sehemu salama kupokelewa. Wanafunzi wanatakiwa...
  8. Herbalist Dr MziziMkavu

    Jamaa ameshindwa kulipa pesa ya bia kilichomkuta hiki hapa

    JAMAA AMESHINDWA KULIPA PESA YA BIA KILICHOMKUTA HIKI HAPA
  9. Herbalist Dr MziziMkavu

    Kupooza kwa uso upande mmoja huenda kusipone ukichelewa kupata matibau bell`s palsy

    KUPOOZA KWA USO UPANDE MMOJA HUENDA KUSIPONE UKICHELEWA KUPATA MATIBABU SUMMARY Mshipa wa fahamu, facial unaposhindwa kufanya kazi vizuri matokeo yake ni misuli ya uso inayoratibiwa nao kutotekeleza majukumu yake kwa ufanisi hivyo kusababisha uso kupooza. Kwa wengi, hali hii hutokea upande mmoja...
  10. Herbalist Dr MziziMkavu

    Usitumie maneno haya unapozungumza na mwanao

    PSYCHOLOGIST WARN: NEVER USE THESE 5 PHRASES WHEN TALKING TO YOUR CHILD It is a fact that no one is perfect and all people make mistakes. But, parents should be aware of the fact that in the eyes of their children, they are not only humans, but they also are guardians, creators and caretakers...
  11. Herbalist Dr MziziMkavu

    katunı ya leo Tujikumbushe ya Zamani

    Tujikumbushe ya Zamani
  12. Herbalist Dr MziziMkavu

    Tanzania: Kwanini Ndugai amejiuzulu? na historia ikoje?

    Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai (59), amejiuzulu wadhifa wake kupitia barua aliyoandika jana kwenda kwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) - akiuelezea uamuzi huo kuwa umetokana na "uamuzi wake binafsi na uliozingatia na kujali maslahi mapana zaidi ya taifa, serikali na...
  13. Herbalist Dr MziziMkavu

    TRILION NUKTA FIVE

    TRILION NUKTA FIVE!!!!!!!
  14. Herbalist Dr MziziMkavu

    Ipe neno picha hii

    Ipe neno picha hii...
  15. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mfumuko wa bei ya Uturuki huongezeka hadi 36%, kuweka rekodi mpya kwa zama za Erdogan

    Turkey's inflation soars to 36%, setting a new record for Erdogan era. Istanbul (CNN Business)Turkey's annual rate of inflation has hit a 19-year high as a currency collapse sends the cost of imports soaring. According to the Turkish Statistical Institute, consumer prices soared 36% in...
  16. Herbalist Dr MziziMkavu

    Picha yangu ya leo

    VIONGOZI WA SERIKALI YA AWAMU YA KWANZA MPAKA AWAMU YA NNE
  17. Herbalist Dr MziziMkavu

    Ushindani hata kama nchi inaendeleza silaha zake za hypersonic

    (CNN)US Secretary of Defense Lloyd Austin addressed recent Chinese military advancements Saturday, including the test of a hypersonic weapon system and strengthening of nuclear capabilities, saying, "America isn't a country that fears competition." During the Reagan National Defense Forum's...
  18. Herbalist Dr MziziMkavu

    Ipe neno lako picha zangu za leo you’ll be surprised once you find out what this lioness did when it found a baby deer

    Looking-For-Food.... KUTAFUTA CHAKULA Preppin’ Up The Snack A number of documentaries and wildlife photographers have spoken about lionesses who have been observed caring for cubs of various species, and this is nothing new. We’ve heard reports of lionesses caring for leopard cubs and even...
  19. Herbalist Dr MziziMkavu

    Ipe neno picha ya leo

    Ipe neno picha ya leo
  20. Herbalist Dr MziziMkavu

    Ushuhuda wenye funzo kwa wanawake *Majuto ni mjukuu*

    MAJUTO NI MJUKUU Dada zangu kuna kitu cha kujifunza hapa Niliolewa na mwanaume mpole sanaaaaaa miaka mitano iliyopita, yani nikisema mpole ni mpole mno, hakunifatilia hata siku moja, hakuniuliza nini wala nini, alinpa uhuru wa kutosha, nikiaga naenda mahali anasema nenda, hata kama narudi saa...
Back
Top Bottom