malcom lumumbamshana jr jingalao msemajikweli

  1. BARD AI

    Video ya Rais wa Sudan Kusini akitokwa na haja ndogo yazua maswali kuhusu afya za viongozi

    Katika tukio lisilo la kawaida, Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir mwenye miaka 71 ameonekana akitokwa na haja ndogo wakati wa hafla ya Kitaifa na wimbo wa Taifa ukipigwa. Kitendo hicho kinaibua maswali kuhusu hali za kiafya za viongozi wengi duniani kuendelea kukaa madarakani hata baada ya umri...
  2. Herbalist Dr MziziMkavu

    Watanzania mtaisoma namba kiukweli kabisa

    Wa-Tanzania Mutaisoma namba ya Ukweli.
  3. Herbalist Dr MziziMkavu

    Majenereta ya umeme ni ya nani haya jamani?

    Kumbe hawa Viongozi wetu wanazima umeme kwa makusudi ili wapate kufanya biashara zao za kuuza Majenereta? Ama kweli Tutamkumbuka Sana RIP Doctor Magufuli, aliwahi kusema akiondoka kila kitu kitarudi kama zamani na kweli tunaona sasa.
  4. The Sunk Cost Fallacy 2

    Mbeya: Auawa kwa kupigwa Risasi kisa kudai ushuru wa maegesho wa shilingi 7,500

    Mtu mmja aliyejulikana kwa jina la William Mgaya ambaye ni wakala wa kukusanya ushuru wa magari ameuawa kwa kupigwa risasi na mfanyabiashara wa madini kutoka Chunya. Polisi wa Mbeya wanamshikilia mtuhumiwa kwa hatua zaidi za kisheria. My Take Serikali kuweni makini na kuwapa watu silaha, siyo...
  5. Herbalist Dr MziziMkavu

    Upatikanaji maji DSM Asilimia 100

    Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dares Salaam (DAWASA), Cyprian Luhemeja ametangaza upatikanaji wa maji katika Jiji la Dar es Salaam kurejea kwa asilimia 100. “Kwa sasa hali ya maji ni nzuri na huduma ya maji imerudi kawaida na safari hi tumerudi kwa kishindo...
  6. Herbalist Dr MziziMkavu

    Wakimbizi 16 wapewa uraia Tanzania

    Tanzania ni Nchi pekee Afrika ambayo imetoa uraia kwa Wakimbizi 162,000 wa Burundi, 30,000 wa Rwanda na 10,000 wa Somali Bantus. Mwakilishi wa Shirika la Wakimbizi Duniani upande wa Tanzania, Mahoua Parums ameishukuru Serikali ya Tanzania kwa Ushirikiano kwenye masuala ya Wakimbizi katika kikao...
  7. Herbalist Dr MziziMkavu

    Makali mgao wa umeme kuendelea kupungua

    SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO), limesema makali ya mgawo wa umeme yanaendelea kupungua, baada ya megawati 350 Zilizopunqua siku za hivi karibuni kuanza kureiea na wiki ijayo zitaendelea kushuka hadi megawati 100. Aidha, limesema hadi Februari mwaka huu hakutakuwa na mgawo wowote kutokana...
  8. Herbalist Dr MziziMkavu

    DOKEZO Bomba la DAWASA lapasuka Mbezi Beach, siku ya 4 halijafanyiwa matengenezo

    Uzembe unaofanywa na meneja wa DAWASA Kawe jijini Dar es-Salaam.
  9. Herbalist Dr MziziMkavu

    SWALI LANGU LA LEO HUYU NI NANI JAMANI?

    Swali langu la leo je huyu ninani kw ajina?Wengi wetu mutafeli kulijibu swali langu.
  10. Herbalist Dr MziziMkavu

    Maradhi ya kisonono au gonorrhea

    Kisonono (gonorrhea) ni nini? Kisonono ni ugonjwa kati ya magonjwa ya zinaa unaosababishwa na bakteria aina ya Neisseria gonorrhoeae, bakteria ambao hukuwa na kuzaliana kwa haraka katika sehemu zenye unyevunyevu na joto mwilini kama kwenye shingo ya kizazi kwa wanawake (cervix), mirija ya...
  11. Herbalist Dr MziziMkavu

    Wanatangaza kifo cha Faru kwa huzuni, wanashindwa kutangaza habari za waliwopatwa ajali ya ndege

    Hizi ndizo akili za viongozi wa Tanzânia zilipofikia wanatangaza kifo cha Faru kwa huzuni lakini wanashindwa kutangaza habari za waliwopatwa ajali ya ndege kwao Faru ana thamani kuliko Mtanzania wa kawaida.
  12. Herbalist Dr MziziMkavu

    Balozi wa Tanzania nchini Marekani atangaza biashara ya madini ya Tanzanite nchini Marekani

    BALOZI WA TANZANIA NCHINI AMERIKA ATANGAZA BIASHARA YA MADINI YA TANZANITE NCHINI AMERIKA
  13. Herbalist Dr MziziMkavu

    Hayati Magufuli alitabiri haya hapa mawili, yametokea

    Marehemu Rais wetu mpendwa RIP Doctor Magufuli aliwahi kutabiri kuhusu Umeme na Maji alisema kuwa akiondoka matatizo yatarudi kama zamani na leo hii yamerudi tena matatizo ya Umeme na Maji kwa njia ya mgao Lohhh Aliyeturoga sisi Wa-Tanzania ameshafariki miaka mingi hatuwezi tena kupona maradhi...
  14. JanguKamaJangu

    Malawi yabaini kaburi walipozikwa watu 25 ya raia wa Ethiopia

    Mamlaka za Malawi zimeeleza miili hiyo inakisiwa kuwa ni wahamiaji haramu kutoka Ethiopia ambao wamezikwa katika Kijiji cha Mzimba kilichopo kilometa 250 kutoka Mji Mkuu wa Lilongwe. Polisi wamesema inaaminika walikuwa wakisafirishwa kuelekea Afrika Kusini kupitia Malawi, waliofariki...
  15. Herbalist Dr MziziMkavu

    Zijue platform za kimtandao zilizowahi kuwaibia watanzania

    Zijue platform za kimtandao zilizowahi kuibia watu Tz 1.BC investiment 2.QNET 3.EARNJET AGENCIES 4.DAJIP 5.NEXTSTEP VENTURE 6.PAMA FUND 7.SME 8.IDEA DEBATOR 9.DEAL NO.1 10.SCATEC 11.GLOBAL 12.ALIANCE 13.PAYMARA 14.CRYPTO BOND 15.SUPREME HARVESTERS 16.ZIRCON 17.INCLUSIVEFX 18.GROSSBYTE 19.VORTEX...
  16. Herbalist Dr MziziMkavu

    Wananchi wameshachoka kimaisha wameamua kujichukulia sheria mikononi mwao

    Majangaa kweli inafika wakati Wananchi wanachoka na kuamuwa kujichukulia sheria mikononi mwao hatari kweli. Mungu atusaidie tuondokane na umasikini, njaa na maradhi amin.
  17. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mchanganyiko wa dawa za Ibuprofen na Codeine unavyohatarisha maisha

    Mchanganyiko wa dawa za Ibuprofen na Codeine unavyohatarisha maisha Kumeza dawa ambazo inachanganya ibuprofen na codeine inaweza kuwa sumu. 6 Oktoba 2022 Shirika la Ulaya la madawa la Ulaya (EMA) limetoa tahadhari wiki hii kuhusu athari za utumiaji wa mchanganyiko huu, ambao hutengenezwa...
  18. Herbalist Dr MziziMkavu

    Chinese firm wades into Tanzania, Uganda oil pipeline saga

    By Ephrahim Bahemu Mwandishi wa habari za uchumi na biashara Mwananchi. Kampuni ya China yaingia Tanzania, Uganda sakata ya bomba la mafuta What you need to know: The $4 billion worth project will cover 1,445 kilometres, 80 percent of which is on Tanzanian soil, involving a 62 percent...
  19. Herbalist Dr MziziMkavu

    How To Fix ‘Can’t Connect to this Network’ error in Windows 11

    How To Fix ‘Can’t Connect to this Network’ error in Windows 11 ‘Can’t Connect to this Network’ error in Windows 11. It’s a common issue that is faced by users across the world. Many consumers get confused by this circumstance, which leads to a lack of understanding about what is generating the...
  20. Herbalist Dr MziziMkavu

    How To Fix Slow LAN Speed On Windows 11

    How To Fix Slow LAN Speed On Windows 11 In this article, we will explain 6 methods that can fix slow LAN speed on Windows 11. Whether you are attending an online meeting or playing an online multiplayer game, a stable internet connection is a must for a perfect online experience otherwise it is...
Back
Top Bottom