malcom lumumbamshana jr jingalao msemajikweli

  1. Herbalist Dr MziziMkavu

    Usimchezee Mamba, atakutafuna

  2. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mfanyakazı wa ndani awanywesha mkojo mabosi wake, wamkamata

  3. Herbalist Dr MziziMkavu

    Ujumbe kwa Rais Samia; Mwalimu Mkuu wa Kitinku awafukuza shule watoto wa Mzee Salum kwa sababu wanakwenda kuswali siku ya ijumaa

    Je Sheria ya nchi inasemaje ? soma hapo chini 👇 ASalam Alaykum, Hongera nyingi sana kwa ndugu yetu wa imani ya kiislamu kwa jihad kubwa aliejitolea wa ujasiri mkubwa kuongea hayo bila oga na hatimaye natija yake ameamsha usingizi hisiya ya siyo ya viongozi na Mashekh wetu tuu bali hata...
  4. Herbalist Dr MziziMkavu

    STDs: Aina za magonjwa ya zinaa, dalili zake na ni hatari kiasi gani?

    STDs: Aina za magonjwa ya zinaa, dalili zake na ni hatari kiasi gani? Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), zaidi ya watu milioni moja duniani kote wanaambukizwa magonjwa ya zinaa kila siku. Magonjwa kutosikia matibabu ni tatizo kubwa la magonjwa ya zinaa (STDs) au (maambukizi ya zinaa)...
  5. Herbalist Dr MziziMkavu

    Umejifunza kitu gani kwa kupitia hii Video yangu?

  6. Herbalist Dr MziziMkavu

    Rais wa Korea ya Kaskazini Kim Jong Un akikaguwa shamba la mpunga

    Je Kuna Kiongozi wowote wa Bara la Afrika anaweza kufanya kama alivyofanya huyu Mtemi wa Korea ya Kaskazini? Thubutu yake Hakuna kiongozi wa Bara la Afrika anayeweza kufanya hivi
  7. Herbalist Dr MziziMkavu

    Huyu Mzee atakuwa hatari kweli Usaliti wa ndoa

  8. Herbalist Dr MziziMkavu

    Chui huja kila usiku kukutana na ng'ombe na ng'ombe huramba kichwa chake

    Chui huja kila usiku kukutana na ng'ombe na ng'ombe huramba kichwa chake. Mwanaume huyo alizungumza na mmiliki wa awali wa ng’ombe huyo na kugundua kuwa mama chui alifariki akiwa na umri wa siku ishirini tu na tangu wakati huo ng’ombe alimlisha chui huyo kwa maziwa yake. Kwa hivyo, chui...
  9. Herbalist Dr MziziMkavu

    Kuna mlima ambao huwa unateremsha maji huko China, lakini unakua mkavu daima hautoi maji. Ila ukisomewa Aya za Qurani ndipo maji yanaanza kutoka

    Kuna mlima ambao huwa unateremsha maji huko China, lakini unakua mkavu daima hautoi maji. Ila ukisomewa Aya za Qurani ndipo maji yanaanza kutoka, wanayatumia watu halafu unarudi kuwa kama Mwanzo. Subhana Allah wa Bihamdih Subhana Allah Aladheem
  10. Herbalist Dr MziziMkavu

    Kwa CCM hii umasikini nchi hii tutadumu nao!

    KWA CCM HII UMASIKINI NCHI HII TUTADUMU NAO. VIONGOZI WENGI WA CCM NI WAPIGAJI WANAMUANGUSHA MAMA SAMIA HAKUNA HATA MMOJA MZURI.
  11. Herbalist Dr MziziMkavu

    Asalalee mzungu kala mafenesi ajali haina kinga

  12. Herbalist Dr MziziMkavu

    Huyu mama wa kikongo anameza sio kula ugali

  13. Herbalist Dr MziziMkavu

    Ajali haina kinga kweli hatari sana

  14. Herbalist Dr MziziMkavu

    Nay Wa Mitego Ujumbe Wako umefika Kwa Wahusika

  15. Herbalist Dr MziziMkavu

    Wabongo wanaotafuta maisha nchini Afrika ya Kusini

  16. Herbalist Dr MziziMkavu

    Elimu bure Kwa kila Mdanganyika Mama Samia Suluhu oyeee

  17. Herbalist Dr MziziMkavu

    ICC wadaiwa kufungua portal maalum kwa kila mwenye ushahidi kuthibitisha mauaji ya maangamizi ya halaiki kwa Wapalestina

    Hii ni habari kubwa na nzito. Mahakama ya Makosa ya Jinai duniani wamefungua portal maalum kwa kila mwenye ushahidi kuthibitisha mauaji ya maangamizi ya halaiki dhidi ya Wapalestina atume. Ushahidi unaweza kuwa sauti, video au nyaraka. Ingia kwenye website hii utume. ==========••••••• This is...
  18. Herbalist Dr MziziMkavu

    Majangaa kundi la nyuki wavamia nyumba ya mpwa wangu iliyopo mjini Dar mtaa wa Idrissa

    a
  19. Herbalist Dr MziziMkavu

    Je, Israel ilichangia bila kukusudia kuunda kundi la Hamas?

    CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES Maelezo kuhusu taarifa Author,Na Laith Issam Nafasi,BBC News Arabic 9 Januari 2024 Madai kwamba vuguvugu la Hamas ulikuwa mradi wa Israel yamekuwa yakisambazwa kwenye vyombo vya habari na wasomi - tangu wapiganaji hao wawaue na kuwateka nyara Waisraeli tarehe 7...
  20. Herbalist Dr MziziMkavu

    Jinsi binti yake TB Joshua alivyokabiliana na baba yake kwa kufichua maovu yake

    10 Januari 2024 Na Charlie Northcott, Helen Spooner & Tamasin Ford BBC Africa Eye BBC inafichua jinsi kiongozi wa kanisa kuu marehemu TB Joshua, ambaye anatuhumiwa kwa uhalifu wa kingono kwa wingi, alimfungia bintiye mwenyewe na kumtesa kwa miaka kadhaa kabla ya kumwacha bila makao katika mitaa...
Back
Top Bottom