I’m going to go in and keep it a buck all the way.
Ni hivi, wabunge wengi sana wa bunge la Tanzania ni wachumia matumbo tu.
Hawapo bungeni kuwawakilisha wananchi wa majimbo yao.
Kwa sababu hiyo, mimi ningependa malipo yao yote, yaani kuanzia mshahara, posho zile kipumbavu, marupurupu, na...