manunuzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Sakata la behewa na vichwa vya treni vilivyotumika: Iundwe Tume Huru kuchunguza mchakato mzima wa manunuzi

    Kwa yanayoendelea kuhusui sakata hili(mchakato wa manunuzi), ni vema ikaundwa Tume Huru kuchunguza mchakato mzima ulivyofanyika. Watanzania tunataka kujua kama sheria husika zilifuata na kama bei ni halali kulingana na mali ilioyonunuliwa. Kuna mambo tunasoma mitandaoni mpaka tunabaki midomo...
  2. Robert Heriel Mtibeli

    Baada ya kwenda kufanya manunuzi, nimeazimia kumrudisha nyumbani kwao

    Kwema wakuu, Nianze kwa kusalimia wanaume wenzangu wote mliooa. Shikamooni! Taikon wikiendi nilitembelewa na hsemeji yenu. Safari hii akaniambia kuwa amekuja moja kwa moja, yaani anataka tufanye maisha. Nilifurahi sana si unajua tena. Basi jana tulienda kuhemea vitu vya ndani. Nilichokutana...
  3. Mwamuzi wa Tanzania

    Ushauri: Kama unataka kulamba asali bila wasiwasi soma degree ya manunuzi

    Habari! Waswahili wanasema kama huwezi kuwapiga basi ungana nao ili nawe uanze kuwapiga maadui ambao awali mlikuwa marafiki. Uza hata mashamba, achana na kufanya vitu visivyoleta tija. Ukiingia serikalini umeula, yaani ni mwendo wa kula asali tu. Box la peni serikalini linauzwa mpaka elfu 50...
  4. Roving Journalist

    Waziri wa Ulinzi, Stergomena ataka mafunzo ya manunuzi yawajengee weledi washiriki

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) amewataka washiriki wa Mafunzo yanayohusu Manunuzi ya Umma kuhakikisha kuwa Mafunzo hayo yanawajengea Weledi na kuwawezesha kutekeleza Shughuli za manunuzi ya Umma kwa Uaminifu na Uadirifu. Waziri ameyasema hayo...
  5. L

    Changzhou: Watalii wafanya manunuzi kwenye mtaa wa kibiashara wakati wa usiku

    Julai 31, huko mjini Changzhou mkoani Jiangsu, China, wakazi na watalii walikuwa wakifanya manunuzi kwenye maduka mbalimbali katika mtaa wa kibiashara wa Hanjianglu uliopambwa kwa taa za rangi wakati wa usiku.
  6. Cannabis

    TANESCO yatangaza changamoto ya manunuzi ya umeme kupitia mfumo wa ununuzi wa LUKU

  7. Dr Akili

    Ukokotoaji wa bei ya petroli kwa mwezi June baada ya ruzuku ya Sh 100 billion huu hapa: Bei inapaswa kupungua kwa zaidi ya asilimia 60%

    (i) 1 barrel = 159 litres (ii) Tanzania average daily petrol/ diesel consumption per day is 18,000 barrels. (iii) The CIF price in April 2022 was TZS 2,100/ per litre as we've been told by the minister of energy during this budget national assembly. This is the average cif price of the private...
  8. Pearce

    Ni muda Sasa umefika kwa JWTZ kuachanana ununuzi wa silaha kutoka Urusi

    Miaka 20 nyuma ni siraha ambazo zilitupa sifa na ubora katika mapambano kwa Teknolojia ilivyokuwa. Kwa siraha hizo pia katika diplomasia na ujasiri na udhabiti pamoja na uzalendo Tanzania ilikua tishio na iliogopwa na kuheshimiwa na maadui zake wakati huo. Hata Ghaddafi alipojaribu kuingia...
  9. B

    Ushauri wa kufanya manunuzi Serikalini

    Me nawaza tofauti kidogo issue ya manunuzi serikalini ina loophole kubwa sana ya watu kupiga. Mfano watu wa manunuzi ukitaka kununua kitu watakwambia zidisha mara tatu ya bei halisi. Kwa hiyo serikali ifanye yafuatayo 1. GPSA waweke viwango vya limit ya bei mfano laptop yenye spec hizi bei...
  10. jingalao

    Ili kukomesha uhuni kwenye manunuzi ya umma tuwawajibishe/ blacklist wafanyabiashara waliohusika

    Wakati Waziri Mkuu anapoenda kuwawajibisha maafisa manunuzi waliopandisha bei za bidhaa za tiba asisahau kiini cha tatizo yaani wafanyabiashara walioonesha bei za bidhaa hizo kuwa juu. Mfano haematological blood analyser ya mil 7 kuuzwa kwa milioni 15!! hapa msumeno lazima ukate kotekote yaani...
  11. P

    Nidhamu ya uwoga iliyozuia wizi kwa Manunuzi pale MSD, ndiyo tunaitaka haraka sana irejee!

    Ndiyo, Tunaitaka haraka sana hiyo nidhamu ya uwoga ambayo Leo tunaona ilikuwa na mapungufu na haifai kumbe iliweza kuzuia ufisadi MSD Nidhamu ya uwoga ndiyo iliyoleta ufanisi Mkubwa na usimamizi mzuri wa kodi za wananchi karibu kila pahala Haitoshi tuu kuwa kiongozi sehemu Fulani na uongozi...
  12. Analogia Malenga

    Rais Samia: Wakaguzi wa ndani wanashirikiana na watu wa manunuzi kuchepusha fedha

    Rais Samia Suluhu Hassan amesema kitengo cha Ukaguzi wa Ndani bado hakiko vizuri na ndio sababu Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) hukutana na matatizo mengi Amesema baadhi ya wakaguzi wa ndani hushirikiana na watu wa manunuzi ili kujua mbinu za kuchepusha fedha za serikali Amemtaka...
  13. L

    Nani yuko kwenye nafasi nzuri ya kupiga hela kati ya Mhasibu na Afisa manunuzi?

    Habari za jioni wadau! Tukiwa watoto tulikuwa tunawaza kazi nzuri ni udakatari na sheria ila kwa kadri umri unavyosonga unagundua hata huko ni umasikini tu sana sana uibe dawa ila kutoboa sio rahisi. Baada ya kutafakari muda mrefu nimeamua kubadilisha fani kabisa na hizo fani tajwa hapo juu...
  14. JamiiForums

    Jinsi ya kulinda taarifa zako ununuapo bidhaa mtandaoni

    JINSI YA KULINDA TAARIFA ZAKO UNUNUAPO BIDHAA MTANDAONI Chati hii inaonyesha kwa asilimia nchi zinazoongoza kwa ukuaji wa mauzo ya rejareja ya biashara mtandaoni, huku Ufilipino ikishika nafasi ya juu zaidi Ukuaji wa Teknolojia ya mawasiliano nchini Tanzania, umechangia kwa kiasi kikubwa...
  15. Sky Eclat

    Familia ya watu 10 kutumia milioni 3 kwa mwaka kwa manunuzi ya vyakula

    Kuna mama alituekeza maisha ya familia yake. Yeye na mume wake wamebarikiwa kupata watoto wanne. Walichukua jukumu la kulea watoto wawili wa ndugu waliofiwa na wazazi wao. Msichana wa kazi na kijana wa shamba. Waliamua kuondoka mjini miaka mitano iliyopita baada ya kununua eneo la ekari tano...
  16. The Sheriff

    Kondoa: Afisa Manunuzi amlalamikia Mkurugenzi kwa kutukana watumishi, asema ubabe wake umezidi

    Afisa Manunuzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Mussa Kimwaga amemlalamikia Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo kwa kutukana na kuwa mbabe kwa watumishi. Bw. Kimwaga akitema cheche Tuna ubunifu mwingi sana na ushauri mwingi lakini hatupewi nafasi ya kutoa ushauri mzuri. Ubabe ni mkubwa sana kwa...
  17. Kurunzi

    Manunuzi Aliexpress, Nipe ushauri

    Mwaka jana mwezi 3,2020, nilimnunilia jamaa yangu mmoja simu kwa akaunti yangu ya Aliexpress ila nilitumia Bank Details kufanya malipo. Toka siku hiyo sijafanya manunuzi tena Aliexpress mpaka Last week ambapo Dada aliniwekea hela kwenye account yangu ya bank ninayoitumia kufanya manunuzi ili...
  18. Mwamuzi wa Tanzania

    Serikali iivunje GPSA au iwaondoe viongozi wa ngazi za juu ili manunuzi ya Kiserikali yasisuesue

    GPSA au Wakala Wa Manunuzi Serikalini ni miongoni mwa taasisi zinazoikwamisha serikali katika kupiga maendeleo ya haraka. Siku nyingine nitakuja kwaajili ya taasisi nyingine lakini leo twende na GPSA. Hii Wakala ni mhimili muhimu sana katika gurudumu la maendeleo hapa nchi ila Lina mauzauza...
  19. OKW BOBAN SUNZU

    Tetesi: Wapinzani walionunuliwa na Polepole kuanza kuanikwa muda wowote

    Vita ya "wahuni" na Kiroboto bado inaendelea. Upande wa "wahuni" kwa sasa umevuta pumzi baada ya mshale uliorushwa na Bulembo. Taarifa zinasema kwamba upande unasikilizia kama mshale wa Bulembo utajibiwa. Na kama ukijibiwa na Chakubanga basi utakuwa muda muafaka kuhoji kama Uzalendo unaruhusu...
  20. stakehigh

    CAG Assad alisema ni mtu mjinga pekee ndo anaweza kufanya manunuzi cash: Anajifunza nini Entebbe Airport?

    Uganda to surrender Entebbe International Airport over Chinese cash - ------------- Top Ugandan officials have been boxed into a corner of bother after lenders in China rejected their request to re-negotiate ‘toxic clauses’ in the $200m (Shs713b) loan picked six years ago to expand Entebbe...
Back
Top Bottom