Habari Jamii forum,naitwa Justine exavery. Elimu yangu ni kidato cha sita.
Nina uzoefu katika biashara ya uuzaji nguo na mambo ya mauzo pia naweza.
Nina uhitaji wa kazi ndugu,kama Kuna mtu anajua mahali naweza pata kazi au kama mtu anahitaji mfanyakazi. Nipo hapa kijana wenu.
Nipo tayari...