Jana nimekaa nimewaza sana tu .
WANAUME
humu wanaume wanaona kila anayetrend Kwa kucomment ,Kwa posts ni anajiuza ndio mindset yao, so mie nimeona siwezi kuendelea kupretend na kuishi mahali ili hali unaonekana tofauti.
WANAWAKE
Humu wanawake wengine ni wapo Kwa shughuli Moja tu kupendwa ...