Habari rafiki, kama kuna mwanaume anaevurugwa au kuteswa na mapenzi naomba usipate stress, njoo tuwe marafiki usilewe kupita kiasi utapata stress utadata buree, njoo rafiki tubadilishane mawazo popote ulipo tutakuwa tunawasiliana, mm nipo Dodoma kw sasa. Nitakupenda kama rafiki yangu na...