mapinduzi

  1. Sky Eclat

    Hili jengo lilijengwa Budapest Hungary 1910 kabla ya Mapinduzi ya Kijamaa

    Eclectic reception area under a glass dome in Párisi Udvar(Paris Court), a former bank building built in the 1910s which was recently restored and renovated into a luxury hotel in downtown Budapest, Hungary.
  2. Kiume3000

    Kiongozi atakayefanya mapinduzi sekta ya usafirishaji atatukuzwa na wananchi wengi

    Eneo lilikosahaulika hapa nchini ni usafirishaji. Hali ni duni kwa Watanzania wengi tumeendelea kuamini kumiliki daladala ili kupata kipato jambo ambalo sio bali kuwatesa wanyonge. Eneo la usafirishaji wa umma (daladala, bodaboda, bajaji, taxi, meli na vivuko) kuna tatizo kubwa. Kwa mfano...
  3. Ngongo

    Afrika inarejea katika zama za mapinduzi?

    Afrika ya zama za Mwl Nyerere, Nkrumah, Jomo Kenyatta, Mobutu Seseseko, Augustino Neto. Tulishuhudia mapinduzi kila uchao sababu kubwa ilikuwa pengine uchanga wa nchi husika, maslahi ya wakoloni, upendeleo katika ugawaji wa rasilimali na nk. Kidogo Afrika ilipumzika katika zama za mapinduzi ya...
  4. Mwande na Mndewa

    Maoni yangu: Secretariati yetu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), kufanya kazi mbili maana muda si rafiki

    MAONI YANGU KWA SECRETARIATI YETU YA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM, KUFANYA KAZI MBILI KWA MAANA MUDA SI RAFIKI. Leo 11:11hrs 05/06/2021 1. Kusimamia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020-25 2. Kuimarisha Chama Cha Mapinduzi kwa kusimamia maswala yote ya Ukuaji wa Chama kwenye maeneo...
  5. Analogia Malenga

    Mali yasimamishwa Uanachama wa ECOWAS kutokana na mapinduzi

    Viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kiuchumi ya Mataifa ya Afrika Magharibi ECOWAS wametangaza kusimamisha uachama wa Mali baada ya jeshi la nchi hiyo kufanya mapinduzi ya pili ndani ya miezi tisa. Viongozi wa nchi wanachama wa ECOWAS wakishiriki mkutano wa dharura mjini...
  6. beth

    ECOWAS yatishia kuirejeshea Mali vikwazo. Mapinduzi ya pili ndani ya miezi 9 kujadiliwa

    Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) imeonya kuwa inaweza kurejesha Vikwazo Nchini Mali kufuatia Kanali Assimi Goita kuchukua madaraka. Kanali Goita ameitwa kwenye Mkutano wa Dharura wa Viongozi wa Afrika Magharibi Nchini Ghana ambapo mapinduzi ya pili ya Mali katika miezi 9...
  7. B

    Charles Maurice de Talleyrand: Mtu aliyeongoza mapinduzi mawili, akawadanganya wafalme 20 na kuanzisha bara Ulaya

    CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES Maelezo ya picha, Charles Maurice de Talleyrand, mmoja ya watu mashuhuri katika shitoria ya ufaransa na Ulaya Mwanamfalme wa Benevento na Dola, Mwanamfalme wa Talleyrand na Périgord, Duke wa Dino, Muhasibu wa Périgord, Rika la Ufaransa, Duke wa Talleyrand na...
  8. Relief Mirzska

    Ushauri kwa Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mh. Hussein Ali Mwinyi

    Mheshimiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi mimi kama kijana wako imenipitia tafakuri ambayo nimeona nikushauri kwayo. Inawezekana mada hii ikazuwa mjadala ambao ukawa na matokeo hasi kwako kama mtu au kwa taasisi ya Urais, hiyo siyo nia yangu mkuu na kwa kuwa wewe ni mtu...
  9. Sky Eclat

    Wafalme wa Urusi walivyoishi kabla ya Mapinduzi ya Kijamaa

    Hii ni Ikulu ya Alexander aliipendelea sana Tsar Nicholas II Kabla ya Ujamaa walimuamini Yesu
  10. GENTAMYCINE

    Watangazaji wa Kipindi cha Asubuhi Wasafi FM punguzeni 'Kujikomba' kwa Viongozi wa Serikali na wa Chama cha Mapinduzi kwani 'Mnaboa' mno

    Huko mwanzo nilipokuwa nikiwasikia nikadhani labda mtajirekebisha nayo kwani hata Clouds FM na Clouds tv 360 walikuwa na 'Upuuzi' huu ila sasa naona nanyi mmeuiga 'Utamaduni' huu. Hii Nguvu ambayo Watangazaji wa Kipindi cha Asubuhi cha Wasafi FM mnaitumia kwa Kujikomba ( Kujipendekeza ) kwa...
  11. U

    Rais Samia ahudhuria Kikao cha Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi kilichoketi leo Dodoma

    Rais Samia Suluhu Hassani leo Aprili 28, 2021 amehudhuria Kikao Cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu Ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichofanyika Dodoma. Kikao kinaendelea katika Ukumbi unaomilikiwa na Chama wa Jakaya Kikwete Convention Center Dodoma. Makamo wa Rais Dkt Philip Mpango na Rais wa...
  12. Nyankurungu2020

    Kama makubaliano juu ya muungano hayakuridhiwa na Baraza la Mapinduzi la Zanzibar, muungano wetu ni halali?

    Hili ni swali muhimu sana kwa mustakabari wa muungano wetu. Maana ni miaka 57 toka tumeungana lakini inasemekana articles of union ya awali haijawahi kuwekwa hadharani. Mbali ya hilo inasadikiwa kuwa haikupelekwa kwenye baraza la wawakilishi ili iweze kujadiliwa na kuridhiwa kama ilivyokuwa...
  13. S

    Hongera Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar - Mwandishi aliepigwa na askari afarijika

    Hongera sana sana Serikali ya Dr. Husein Mwinyi kuonyesha njia ya utendaji haki, Haki sawa kwa wote ni baada ya polisi kumpiga na kumtesa vibaya sana mwandishi kutoka Tanzania mainland wa gazeti la wananchi anaefanyia shughuli zake Zanzibar. Serikali kupitia Mawaziri wake wawili wa habari na...
  14. S

    Kama utiifu wa Jeshi hutegemea viongozi wa juu wa Majeshi, kina Samweli Doe waliweza kufanya mapinduzi?

    Hii dhana kuwa Jeshi linapokuwa na utii ni matokeo ya viongozi wa juu wa Jeshi huwa inanifanya nijiulize kama huo ndio ukweli, mtu kama Samweli Doe aliwezaje kuongoza mapinduzi ya kijeshi akiwa na cheo Sergeant? Hata Idd Amini si alikuwa na cheo kidogo tu jeshini alipopindua serikali? Labda...
  15. U

    Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi kufanyika Aprili 30, 2021

    Tafadhali soma maelezo hapo chini
  16. Miss Zomboko

    Nape: Kukosoa na kujikosoa ni silaha ya mapinduzi na kujiimarisha na si dalili ya udhaifu

    Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye amesema kwa mujibu wa nyaraka za chama hicho tawala, kukosoa na kujikosoa ni silaha ya mapinduzi na kujiimarisha na si dalili ya udhaifu. Nape ameyasema hayo leo Alhamisi Aprili 15, 2021 wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya ofisi ya waziri mkuu...
  17. M

    Rais Mwinyi tunaomba Serikali iruhusu kuingia kwa chanjo Zanzibar ili watu waweze kwenda Makkah

    Rais Ali H. Mwinyi kama unavyojua Zanzibar ni nchi ndani ya Muungano wa Tanzania lakini kwenye masuala ya afya kila upande una wizara yake. Sasa kwa kuwa wakazi wengi (Majority) yao tunaoishi Zanzibar na Pemba ni Waislamu na huu ni Mwezi Mtukufu Wa Ramadhan. Ombi letu kwako ni kuwa Wazinzibari...
  18. J

    Demokrasia ya Afrika matatani kufuatia Mapinduzi ya Katiba

    Demokrasia katika nchi nyingi za Afrika imekuwa ikilegalega kutokana na Sheria ambazo Bunge linatakiwa kumtii Rais hali inayopelekea Marais kutengua Katiba na kujiongezea muda wa kukaa madarakani. Suala hilo la kubadilisha Katiba kwa kuondoa ukomo wa muda au umri wa Urais linafahamika kama...
  19. MPUNGA MMOJA

    Powertiller (kubota) trekta ya matairi mawili iliyokuja kufanya mapinduzi ya kilimo cha mpunga Tanzania

    POWERTILER ni aina ya trekta ya tairi mbili, kina uwezo wa kulima eneo kubwa kwa muda mfupi. Ni kifaa cha kulimia kilirichorahisishwa zaidi kusaidia Mkulima wa chini na kati. Ni kilimishi kilichokuja kufanya mapinduzi ya kilimo hasa Mpunga ingawa kinatumika kulima mashamba ya Mahindi, Maharage...
  20. bluetooth

    Ni nani kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi baada ya kifo cha Dkt. John Magufuli?

    Rejea kichwa cha habari. Je, ni nani atachukua mikoba ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi aka chama tawala?
Back
Top Bottom