mapinduzi

  1. T

    Historia inatuambia mauaji hayakuwahi zima mapinduzi Ila yalichochea mapinduzi ya kijamii

    Historia inatukumbusha Kuwa mauwaji ya Wana harakati hayakuwahi zima mapinduzi ya kisiasa ktk jamii Ila yalichochea mapinduzi makubwa na umwagaji mkubwa wa dam na mwisho ushindi. Mauwaji ya kikatili Kwa wana wa Taifa la Israel na kutaka kuwaondosha juu ya uso wa dunia yalizaa Taifa lenye nguvu...
  2. FrankLutazamba

    Rais Magufuli anzisha television ya Chama cha Mapinduzi CCM kwa sababu kuu tatu au nne muhimu zifuatazo ..

    Utangulizi;kuna Mali za Serikali na Mali za chama,Chanel ten na TBC In Mali ya serikali. 1.itakuwa inaonyesha hotuba mbalimbali za marais waliotangulia na viongozi wengine. 2.Maisha binafsi ya viongozi baada ya kustaafu. 3.Mambo mbalimbali yaliyofanywa na viongozi ktk kuleta maendeleo. 4.Nyimbo...
  3. Sam Gidori

    Marekani yakana kumfahamu jasusi aliyekamatwa Venezuela

    Raia wa Marekani anayeshikiliwa nchini Venezuela kwa madai ya kufanya ujasusi nchini humo hakutumwa na serikali ya Marekani, taarifa ya kiongozi wa ngazi ya juu katika serikali ya Marekani imebainisha. Mwendesha Mashtaka mkuu wa Venezuela, Tarek Wiliam Saab alitangaza siku ya Jumatatu kuwa...
  4. Kurzweil

    Bendera ya Chama cha Mapinduzi ni kinga? | Bendera ya CCM ni mbadala wa "Plate Number"?

    Hii inamaanisha nini? Wanaofanya hivi wanajua Askari wa Usalama barabarani lazima "atamezea" kosa lolote watakalolifanya barabarani kwasababu ni gari la chama Je, wahalifu hawawezi kutumia mwanya huu wakajinufaisha? Kwanini CCM waache chama chao kitumike namna hii? FYI: Ukiachana na gari...
  5. C

    Uchaguzi 2020 Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) 2020-2025

    CHAMA CHA MAPINDUZI MUHTASARI WA ILANI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2020 Imetolewa na Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Agosti, 2020 CHAMA CHA MAPINDUZI MUHTASARI WA ILANI YA UCHAGUZI WA MWAKA 2020-2025 UTANGULIZI 1. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, chini ya uongozi wa vyama vya TANU na ASP na...
  6. The suspender

    Mapinduzi kwenye sekta ya umeme

    MAPINDUZI KWENYE SEKTA YA UMEME. Wakati Rais Magufuli anaingia madarakani mwaka 2015 na toka nchi yetu ipate Uhuru kutoka kwa Mkoloni Mwingereza mwaka 1961, nchi ya Tanzania ilikuwa na Jumla ya Vijiji 2018 tu vyenye Umeme kati ya Vijiji 12280 vya nchi nzima. Kuingia madarakani tu kwa Rais...
  7. M

    Barua Maalum kwa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dr Shein: Usikubali damu za wananchi wako wa Zanzibar zimwagwe sababu ya dhulma

    Mheshimiwa Dkt. Shein: Nakusalimia kwa salamu ya Amani, Amani ya ALLAH iwe nawe Barua hii ni kutoka kwa mwananchi na naanza kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehma. Usikubali damu ya Wazanzibari imwagike chini ya uangalizi wako. Unafahamu vizuri historia ya nchi yako, harakati za watu...
  8. B

    Uchaguzi 2020 Leo nitazungumzia utekelezaji wa ilani ya Chama Cha Mapinduzi na mafanikio makubwa tuliyo yapata 2015 hadi 2020

    Na: Beatrice Condrad Kauli mbiu ya Chama Cha Mapinduzi 2020 ni: TUMETEKELEZA KWA KISHINDO, TUNASONGA MBELE PAMOJA. Kwanza kabisa napenda kutoa UTANGULIZI wa Ilani yetu ya Uchaguzi 2020 kama ifuatavyo; 1. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Uongozi wa vyama vya TANU na ASP na baadaye CCM...
  9. Troll JF

    CHAMWINO: Taarifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kuhusu kikao cha Kamati kuu ya Halmashauri Kuu

    Taarifa Kwa Umma Kutoka Chama Cha Mapinduzi-CCM Kuhusu Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi-CCM Kilichoketi Leo Chini ya Mwenyekitiwa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungabo wa Tanzania Dkt John Magufuli
  10. C

    Funzo la mapinduzi toka nchini Mali: Maafisa waaandamizi wa Serikali ya Tanzania tendeni haki na kwa usawa kwani hamuijui kesho yenu

    Kilichotokea nchini Mali na nchi mbalimbali duniani kuhusu viongozi madikteta kuondolewa madarakani kinatoa somo kwa maafisa waandamizi wa serikali ya Tanzania kwamba kwa kuwa hawaijui kesho yao basi ni vema kutenda haki na usawa kwa watu wote bila kujali vyama vyao vya siasa kwa kufuata katiba...
  11. FRANC THE GREAT

    Mapinduzi ya Kijeshi Mali: Rais Ibrahim Boubacar Keita na Waziri Mkuu Boubou Cisse watiwa nguvuni na Vikosi vya Jeshi

    Habari! Kulingana na vyanzo mbalimbali vya taarifa hivi sasa ninapoandika haya, kuna uwezekano wa kutokea kwa Mapinduzi ya Kijeshi nchini Mali ambapo kumekuwa na mvutano mkubwa kati ya Serikali na vikosi vya Jeshi nchini humo. Taarifa zaidi zitafuata hapo baadaye! ==== SASISHO: Katibu Mkuu...
  12. Course Coordinator

    Mashabiki na wanachama wengi wa Chama cha Mapinduzi hawajui kujenga hoja, wamebaki tu kutukana Watu

    Wasalaam, Nimekuwa mfuatiliaji wa mambo ya siasa kwa muda mrefu sasa . Lakini siku za hivi karibuni baada ya Mh Magufuli kuingia madarakani wana CCM wengi wameacha kujadili vitu na watu kwa hoja sasa ni kushambulia tu watu ama kwa kuwatishia kuwaua au kuwaangamiza wanavyojua. Mathalani...
  13. N

    Halmashauri Kuu ya Taifa Chama cha Mapinduzi, tunaomba mnusuru mpasuko unaoletwa na Viongozi wa CCM Mkoa wa Tabora

    Nikiwa kama mwanachama wa muda mrefu naandika kwa masikitiko makubwa sana, mambo yanayofanywa na uongozi wa CCM mkoa wa Tabora wakiongozwa na katibu wa CCM mkoa. Naamini jukwaa hili ndio njia pekee ya kufikisha malalmiko ambayo yataweza kufika kwa urahisi kwenye uongozi wa CCM Taifa na hatimaye...
  14. Dr Xolly BwanaHarusi

    Mapinduzi ya kizazi kipya Mwanza kimuziki

Back
Top Bottom