Kwanini vitabu vya dini za zamani viliamua mkojo na hedhi kuwa vitu najisi?
Mkojo una tofauti gani na jasho?
Kwa nini mkojo ni najisi wakati jasho sio najisi?
Kuna tatizo gani mwanamke akienda katika ibada katika siku zake kama amevaa pedi ?
Kwa kuanza, niwafahamishe maana ya mifumo ya ulinzi .. hii ni dhana nzima inayohusu kulinda watu, wapiganaji na mali zao kwa ujumla dhidi ya pande korofi, mifumo yote ya ulinzi ina lengo la
1. kuweka raia na wapiganaji salama, hili ndilo lengo la kwanza kwa Taifa lolote timamu utu ni jambo la...
Jeshi la Israel 🇮🇱 lilituma zaidi ya ndege 100 kwenye anga la Iran 🇮🇷 na kushambulia kambi za jeshi zaidi ya 20 ,huku Iran ikijitahidi kutumia mifumo yake ya ulinzi wa anga kupunguza madhara, vinaropoti vyanzo mbali mbali.
Mpaka sasa Iran haijathibitisha kutokea kwa madhara, huku IDF...
Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa rasmi kutoka Ikulu ya white house
Rais wa taifa la Marekani Joe Biden amefanya kikao na waheshimiwa Viongozi wa dini ya kiyahudi - Judaism
Kikao hicho kilihudhuriwa na watu wachache sana maalumu.
Maelezo zaidi kuhusu kikao nyeti yatatolewa.
Mungu ibariki...
Amini kuna miujiza hapa Duniani, kanchi kadogo kapo vitani lakini kanakimbiza nafasi ya pili huko Middle east
N:B: Ule msaada wa dola bilioni 3 wanaopewa na Marekani kila mwaka haufikii asilimia 1 %
https://en.wikipedia.org/wiki/List_of_Middle_Eastern_countries_by_GDP
Haya tena Papa Francis naye acharuka:
Hivi hawa wenye kujua kinacho hitajika kuwa ni kukaa chini na kuongea amani ni wafuasi wa nani?
Kwamba siyo wenda wazimu?
Ni maswali nyeti sana haya kwa wenye akili zao.
Dunia nzima, hakuna nchi inayomiliki makundi ya wapiganaji ndani ya nchi nyingine, isipokuwa nchi ya Iran pekee. Makundi ya wapiganaji yanayomilikiwa na Iran ni pamoja na Hezbolah, Hamas na Houthi. Makundi haya yamepandikizwa kwenye nchi za kiarabu zenye serikali zinazoongozwa na wasunni, huku...
Benyamin Netanyaho sasa amelikoroga kagusa pumbu za Putin ngoja akutane na figisu za Red Army
BREAKING:
🇷🇺🇮🇱 Russia has just ordered its citizens to immediately leave Israel after Israeli airstrikes attacked the vicinity of Russia's Khmeimim base in Syria.
In light of the extremely tense...
Naomba nipongeze wachambuzi wote wa vita vya mashariki ya kati na mbali
Ila Naomba kukumbusha sisi wote ni watanzania au EA Kwa wengine.
Ila tusisahau kuchambua vita yetu ya nyumbani jamani ya ujinga na maradhi tangu miaka ya sitini🤔🤔😄😄
Ndio, tukiweka ujinga ujinga mwingi pembeni pale mashariki ya kati zinaongea akili kubwa tu. Hebu fikiria Iran inarusha kombora linavuka Iraq na Siria na kutua Israel tena mjini kabisa. Hata kama halijaua mtu lakini fikiria watu waliokaa mpaka wakaja na hiyo silaha! Wenzetu wanatumia akili...
Hii ndio ilikuwa bendera ya Iran kabla ya take over ya magaidi wa IRGC
Walipoweza kufanya mapinduzi ya itikadi yao walihakikisha kuonesha rangi zao za ukweli. Ugaidi, itikadi kali, uminyaji wa haki za binadamu, vita dhidi ya muyahudi na mmarekani, uminyaji wa uhuru wa wananchi, etc
Unaweza...
Sehemu ya 2
Kila sifa njema zinamstahiki Mungu wa pekee aliyetupa uzima, afya na ufahamu wa mambo haya. Rehma na amani ziwe nao manabii wa Mungu wote wakiongozwa na nabii wa mwisho nabii Muhammad swalla lllahu alayh wasallam pamoja MASIH Issa bin Maryam ( Yesu Kristo )
Ndugu zangu nichukue...
Ukiondoa magaidi ya madawa ya kulevya yaliyopo nchi za Caribbean na America ya Kati ambao wanaendesha biashara ya madawa ya kulevya, nchi hatari zaidi dunia kushirikiana nazo na hasa kwa nchi za Kiafrika ni za Mashariki ya Kati.
Vita vyote vinavyopiganwa Afrika hivi sasa vina mkono wa UAE...
Ukisoma historia ya Lebanon, hadi miaka ya 1960, ilikuwa nchi ya Wakristu. Kama ilivyo kawaida kwa jamii za Kikristu, Focus yao kubwa ilikuwa ni elimu, kusali na kufanya kazi kwa bidii, hii iliifanya Beirut kuitwa Paris ndogo.
Kosa lililofanyika ni kuruhusu Wasiria na Wapalestina kuhamia na...
Huku eneo la Gaza likiwa limezingirwa na Israel na viongozi kadhaa wa Hizbullah na Hamas kuuliwa inatoa ishara ya ushindi kwa Israel. Hata hivyo kushambuliwa kwa meli za kivita za Marekani na kushambuliwa kwa miji mikubwa yote ya Israel hakutoi ishara nzuri kwa usalama wa mataifa hayo na...
Mauaji haya yanayo tekelezwa na Israel kwenda kwa viongozi wa makundi hasimu yanayo washambulia na kuharibu mipango yao yanafanana na mauaji yaliyokuwa yakifanywa na serikali mbalimbali dhidi ya viongozi wa vyama vya kisiasa vya kikomunisti vilivyo kuwa na vikundi(jeshi la mapambano) dhidi ya...
Israel imeandaa jeshi na imepeleka jeshi,vifaru na mifumo ya roketi mipakani na Lebanon.
Na jeshi tayari limeshasogea kilometa nyingi zaidi ya Shebah farms.
Ni kilometa chache tu zimebaki kwa IDF kuweza kuingia rasmi ndani ya mipaka ya Lebanon kusini.
Licha ya jeshi lililopelekwa bado kuna...
Anasema hakuna sehemu Iran na middle east yote ambapo mkono wa jeshi la Israel hauwezi kufika.
My take
Kuna haja ya Iran na wadau wake waweke tofauti zao na Israel pembeni. Maana Israel kwa sasa anaweza hata kuua nusu ya raia wa middle east na watu wote wakabaki wanamchekea. Hakuna mtu wa...
Nimepata kupitia speech ya rais mpya wa Iran, wakati nikiendelea kumfuatilia hapo awali alikuwa nani na alitokea wapi.
Nilichogundua anajitahidi sana katika maelezo yake kujitofautisha na serikali ya awali ya Hayati Raisi aliekuwa mfuasi kindakindaki wa Hayatollah na mapinduzi. Anajaribu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.