mashariki ya kati

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Uchambuzi: Kwanini Israel hawezi shindwa vita mashariki ya kati?

    Naomba nianze kwa kudeclare interest mimi ni anti-isarel 100% ,na natamani Israeli asifanikiwe katika mapigano yake yoyote huko middle east lakini nikichambua hali ya kivita bila ya miehemko na hisia, naona ni ngumu sana isarel kushindwa vita sio tu na proxies group kama vile houth,hezobollah...
  2. U

    Marekani yapeleka. Vikosi vya wanajeshi wenye weledi maalumu huko Mashariki ya kati

    Wadau hamjamboni nyote? Serikali ya Marekani inatuma vikosi vya wanajeshi wake huko Mashariki huku Hali ya Usalama ikiwa tete Bado haijajulikana vikosi hivyo vya wanajeshi wake vinaenda kusaidia upande upi, kwa malengo gani na kwa Idadi ipi. Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: US...
  3. M

    Swali hili hii ni kwa wasomi wa na wabobezi wa dini ya Kikristo na sio washabiki

    Umhimu wa Kujua Historia Mtume Muhammad ﷺ alisema: "Mtu ambaye hana historia, hana maisha" (Abu Dawood). Hii hadithi inasisitiza umuhimu wa kujua na kuelewa historia ili kuwa na mtazamo kamili wa maisha na maendeleo ya kijamii. Hapa kuna orodha ya manabii waliotajwa katika Agano la Kale na...
  4. VOA; Mshirika wa Putin afanya mazungumzo nchini Iran huku Mashariki ya Kati ikielekea ukingoni mwa vita vikubwa

    Wanaukumbi. MOSCOW - Mshirika mkuu wa Rais Vladmir Putin aliwasili mjini Tehran siku ya Jumatatu kwa mazungumzo na viongozi wa Iran akiwemo rais na maafisa wa ngazi za juu wa usalama huku Jamhuri ya Kiislamu ikitathmini majibu yake kwa mauaji ya kiongozi wa Hamas. Urusi imelaani mauaji ya...
  5. Hali imebadilika ghafla Mashariki ya Kati. Iran yaanza na Marekani wakati Jordan na Mahmoud Abbas waanza kuiandama Israel

    Iran imeanza kuiadhibu Marekani kwanza kabla ya kuingia Israel baada ya kifo cha Ismael Haniye. Makombora kadhaa yamerushwa kwenye kambi ya Marekani iliyoko Iraq na kusababisha maafa makubwa kwenye kambi hiyo. Sambamba na hilo kiongozi wa mamlaka ya Palestina ambaye daima huonekana kuwa karibu...
  6. Ujerumani yasema kuilinda Israel si suala linalohitaji mjadala. Wafalme wa mashariki ya kati bado wamelala

    Waziri wa ulinzi wa Ujerumani,Boris Pistorius, amesema kulitumia jeshi la nchi yake kuilinda Israel iwapo itashambuliwa na Iran si jambo linalohitaji kujadiliwa. Kauli hiyo ya Ujerumani inafuatiwa na uamuzi wa Marekani kupeleka meli na askari kuizunguka Israel ili kuipa ulinzi nchi hiyo ambayo...
  7. Baada ya kuashiria kuingia Israel, Erdogan apiga hatua moja zaidi. Amwambia Biden uchokozi wa Israel utasababisha moto kusambaa kote Mashariki ya Kati

    Kufuatia kuuliwa kwa kiongozi mkuu wa Hamas hapo juzi,raisi Erdogan wa Uturuki amempigia simu raisi Biden na kutoa onyo kwa kusema kama ifuatavyo na kama ilivyoripotiwa na Aljazeera Turkey’s leader Recep Tayyip Erdogan in a phone call with US President Joe Biden says Israel’s killing of Hamas...
  8. Israel inatakiwa kufutwa ili kuleta amani Mashariki ya Kati

    Amani ya Mola I we juu ya wote wapendao haki. Nchi za Magharibi na Marekani zimekuwa na mipango ya muda mrefu ya kuangamiza uchumi wa mataifa ya Mashariki ya kati na ISRAELI ndio mfanikishaji wake hivyo nadhani juu ni wakati muafaka wa kuisambaratisha ISRAEL ili kuvunja ngome ya magharibi...
  9. Israel atapigana na mataifa yote ya Kiarabu wakiongozwa na Urusi na watapigwa vibaya

    Kinachoendelea mashariki ya Kati ni maandalizi ya Vita kuu ya tatu ya dunia hapo baadae kidogo. Vita ya 3 ya dunia iko karibu mno. Hii Vita itahusisha silaha za nuclear. Mabomu ya nuclear yatatumika kwenye hii Vita. Sina muda wa kuliongelea Sana. Nitaliongea hili la taifa la Israel kuzingirwa...
  10. Mashirika ya ndege ya Marekani ya katisha safari za Israel

    Mashirika ya ndege ya Marekani yamekatisha safari za kwenda Israel kwa kuhofia kipigo toka Iran ⚡️🇮🇱🇺🇸 Airlines are canceling flights to Israel Starting tomorrow, United Airlines and Delta Airlines will be cancelling all flights to Israel - ynet
  11. F

    Israel ndiyo mbabe wa Mashariki ya Kati

    Kitendo cha Israel Kumuua Haniya akiwa nchini Iran kwa shambulizi ambalo hata Iran wenyewe hawajui limefanyikaje, kuwapiga wahouth na kulipua maghala yao ya mafuta na kupiga na Lebanon kwa wakati mmoja, kinaonesha kwamba jamaa anamkono wa kupiga mashariki ya kati muda wowote na saa yeyote...
  12. L

    Kwa mara nyingine diplomasia ya China yaleta utofauti Mashariki ya Kati

    Katika wiki za hivi karibuni China imefanya jambo kubwa la kidiplomasia kwa kuyawezesha makundi 14 ya kisiasa ya Palestina, kukaa kwenye meza ya duara na kujadili mustakbali wa uwakilishi wa watu wa Palestina, na makundi yote hasimu yamefikia maafikiano na kusaini makubaliano, yakiondoka Beijing...
  13. Israel yasema shambulio la Yemen ni onyo kwa maadui zake wote wa mashariki ya kati

    Israel ilifanya shambulio lake la mwanzo kwa Yemen na kuiharibu vibaya bandari ya Hodeida nchini humo kwenye eneo linalodhitiwa na Houth. Waziri wa ulinzi wa Israel,Yoav Gallant amesema shambulio hilo si kwa Houth pekee bali ni onyo kwa wote wenye uadui na Israel.Akaongeza kusema kuwa moto...
  14. Iran wamewaambia UN iwapo Israel itaivamia Lebanon, mashirika yote ya Kiislamu ya Mashariki ya Kati yatakwenda Lebanon na kujiunga na Hezbollah"

    Wanakumbi. MPYA: 🇮🇷🇮🇱 Iran katika Umoja wa Mataifa: "Iwapo Israel itaivamia Lebanon, mashirika yote ya Kiislamu ya Mashariki ya Kati yatakwenda Lebanon na kujiunga na Hezbollah" Iran imesema katika Umoja wa Mataifa kwamba iwapo Israel itaanzisha vita vikali dhidi ya Hizbullah nchini Lebanon...
  15. Yaliyojiri Mashariki ya kati

    The Israeli occupation army is moving its troops to the Lebanese border ahead of an increasingly likely ground invasion of southern Lebanon.
  16. Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    Habari za muda huu. Kumeripotiwa milipuko mikubwa kadhaa ndani ya Iran, Syria na Iraq. PIA SOMA: - LIVE - UPDATES: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Iran na Israel - Mafuta kupanda bei baada ya israel kurusha makombora Iran ==== Israeli missiles have reportedly hit the Iranian city of Isfahan...
  17. Kwanini Mashariki ya Kati ni eneo korofi lisilopata utulivu watu wanaishi ngumi mkononi?

    Eneo la Mashariki ya kati ni kama eneo lenye laana fulani hivi ya vurugu. Tangu nimeanza kupata akili za kufuatilia habari sijawahi kusikiliza taarifa ya habari katika redio au TV bila kusikia kuna watu Mashariki ya wakati wamezinguana. Yani huwa hakuna kutulia, ukiachilia mbali mgogoro wa...
  18. Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

    Jordan imefunga matumizi ya anga lake kwa ndege za kiraia baada ya mfumo wa GPS kutokuwa sahihi. Nchi zingine ni Kuwait, Iraq, Syria, Bahrain
  19. Kagame nafsi yamsuta kwa anachokifanya Congo! Awatupia mpira nchi za Magharibi na Mashariki ya Kati

    Kufuatia Tuhuma za Genocide nchini DRC kwa ajili ya kuiba madini Sasa KAGAME akili wazi kua madini yanapitia kwake nchini Rwanda yakiibiwa. Sikiliza hapa.
  20. Israel yacharuka, yasema imejiandaa kupiga sehemu yoyote nchi za mashariki ya kati

    Msemaji wa jeshi la Israel, Daniel Hagar amedhihirisha nia ya Israel iliyojificha kwa kusema wamejiandaa kujibu mfano wa mapigo ya HezboLlaah si Lebanon tu bali sehemu yoyote ile ya mashariki ya kati. "We do not choose war as our first priority, but we are certainly prepared," Hagari said."We...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…