DODOMA : AJIRA 6,000 bado, Achaneni na Matapeli
Atley Kuni na Veronica Simba- TAMISEMI
KATIBU Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe, ametegua kitendawili kuhusu ajira elfu sita za watumishi wa kada ya walimu kama ilivyoamriwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia...