maua

  1. C

    UTV, Pokeeni Maua Yenu: ila Sasa.....

    Moyo wangu umeguswa kuwapongeza Azam Tv kupitia channel yao ya UTV kwa habari zao motomoto na za kina, zilizosheheni uchambuzi wa kiuweledi na kitaaluma. Hongereni sana na endeleeni kutuhabarisha watanzania na walimwengu kwa ujumla. Pamoja na pongezi hizo, ipo kasoro moja ambayo mmedumu nayo kwa...
  2. M

    Nimeweza kuzishinda hisia, nipeni maua yangu

    Mli bwanji? Kuna manzi ukiachana na yule nurse nilowapa story yake, huyu manzi anafanya kazi kama manager restaurant flani kubwa hapa mjini. Huyu manzi tumuite Kokugonza, baada ya kuzoea kupata chakula pale mara Kwa mara tukazoeana. Imeenda mwisho wa siku tukabadilishana namba. Kwa uzuri huyu...
  3. Be calm

    Wapenda maua mje basi na maua yenu

    Napenda sana maua,mje nayo bas macho yafurahi na moyo uburudike. Hili ni kwa ajili ya jf members wote🧡
  4. Malick M. Malick

    Tumpe Maua yake Rais Samia, Dunia inatambua mchango wake

    https://youtu.be/Qoag3vwDQrk Msanii wa UGANDA Jose Chameleon aliimba wimbo unaosema tusisubiri kutoa sifa kwa watu ,wakishaenda, tuwape sifa zao wakiwepo,na ikipendeza wakiwa madarakani ..watanzania tumpe maua yake Rais Samia Wakati tuelekea mwishoni mwa mwaka 2024 ,ni wakati wa watanzania...
  5. Pdidy

    Wanaume mpeni maua Kamishna ACP Debora Magilimba

    KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Ilala, mkoani Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Debora Magiligimba, amewataka wanaume wanaonyimwa unyumba kuripoti katika madawati ya jinsia yaliyopo katika vituo vya polisi kwani huo ni ukatili. ACP Debora ametoa wito huo Desemba 1,2021 wakati...
  6. M24 Headquarters-Kigali

    Wanawake wa Kichaga wapewe maua yao!

    1. Kwa misiba ya Karibuni ya watu maarufu hapa nchini (Mafuru na Ndugulile) nimegundua wajane wote ni toka Uchagani. 2. Hawa viumbe wananusa fursa na kujulia namna ya kukuza kipaji cha mume mpaka ngazi za juu. Tofauti na wanaume wa Uchagani wanaoshobokea Wadangaji Vyasaka wanakuja kuharibu...
  7. F

    Je yale maua yanaoitwa snake plant unayajua yanavyokua?

    Maua nyoka(sanake plant) huwa yanapamba nyumba,nimeyaotesha lakini naona yanachelewa kukua,kuna mdau humu ana ujuzi nayo anipe utaalamu wa kuyaotesha?
  8. Dalton elijah

    Kuiba Misalaba, Mashada ya Maua Makaburini ni Laana

    KWA miaka ya hivi karibuni kuna kukithiri kwa wizi wa mashada ya maua makaburini, na ung'oaji wa misalaba unaofanywa na baadhi ya wananchi kwa Malengo tofauti tofauti. Katika baadhi ya makaburi ambayo hayalindwi, kumekuwa na aina hiyo ya wizi hasa katika miji mikubwa kama Dar es Salaam, Arusha...
  9. T

    Mshauri Mkuu wa Rais wa Benki ya Maendeleo amwagia maua Rais Samia katika Jukwaa la Kimataifa

    Victor Oladokun, Mshauri Mkuu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika ameielezea vyema haiba ya Rais Samia Suluhu Hassan katika maoni yake ya hivi karibuni wakati wa mkutano wa G20 nchini Brazil. Akisisitiza mvuto wake, ujasiri wake, na maendeleo makubwa aliyoyafanikisha kwa Tanzania, kauli ya...
  10. MAKANGEMBUZI

    Mfumo wa ukataji tiketi wa SGR upo vizuri sana Mkurugenzi Kadogosa apewe maua yake

    Nimetumia SGR mara sita.niwe muwazi Mkurugenzi TRC Kadogosa kwenye swala la mfumo wa SGR umesimama vema kabisa Developers wa mfumo wa wa SGR online ticket apewe maua yake amefanya kazi nzuri sana naamini hawezi kuwa mbongo pia natamani nijue wameipata kwa bei gani(Thamani anayejua atudokeze)...
  11. N

    Wanaume mnaovaa hivi chukueni maua yenu

    Wanaume mnaovaaga hivi chukueni maua yenu 💐💐💐💐 mnapendezaga sana mnakua sexy. Hapa wanalengwa wanaume warefu wembamba wasio na kitambi. Kama wewe una kitambi au mfupi alafu unavaa ivi haya maua hayakuhusu pita hivi ↪️
  12. Ma Mshuza

    Nadhani mmeamini, Wanaume wenye Upara wapewe maua yao kwa kweli

    Khaaaaah..... Mi shahidi wallah. Wanaume wenye upara wana peleka sana moto....wanakuwa watamu sana. .niliambiwa na daktari mmoja kuwa libido ipo juu sana kwa wanaume wenye upara. Wengi wao wanatembeza sana ubooooh....nami nimeshuhudia wanakuwa na hamu balaaaaaaah....niliwahi andika nikasema...
  13. X

    Aliyebuni logo ya Toyota apewe maua yake kama hauna "A" tatu hauwezi kuelewa logo hiyo ina jina la kampuni

    Kwenye biashara iwe ni service provider au manufacturer kuna kujenga brand name lakini pia kuna logo ambayo kazi yake kubwa ni kuitambulisha brand yenyewe. Logo ni sehemu muhimu ya kutangaza brand, huduma, bidhaa au biashara. Ni moja ya kipengele ambacho kinahitaji designer mbunifu sana ili...
  14. Cordy bnei shirk

    Producer Majani apewe maua yake

    Hapa nimechill having a drink,im 31 years old. Hapa naangalia nyimbo ya prof. Jay nikusaidiaeje mixer ferooz na video yao imetengenezwa sijui na nani. I’m heartbroken ila this song today i realize how Producer Majani is a legend. This beat is phenomenal and captivating. I can feel my sorrow...
  15. Mindyou

    Makonda: Kesho kama huna gari aina ya Land Rover, baki tu nyumbani!

    Wakuu, Mkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema kuwa siku ya kesho ambayo kutakuwa na tukio kubwa la Land Rover Festival ambalo linafanyika huko jijini Arusha kama huna gari aina ya Land Rover paki tu gari lako nyumbani. Makonda amesema kuwa kwa kuwa kesho kutakuwa na msafara wa gari...
  16. Kalaga Baho Nongwa

    Nakupa chimbo la maua bandia na chimbo la pazia kwa mchina kariakoo!

    i
  17. B

    Wamasai wapewe maua yao kwa kuipenda nchi yao!

    Wamasai ni wazalendo, na masomo ya kiraia wametupa: "Ilikuwa Ngorongoro, tukayasikia Loliondo." Kwa hakika hawa hata kama wangekuwa Gaza, Mossad wangenyoosha mikono. Haipo shaka hawa ndugu wanaipenda nchi yao kuliko wapalestina! Wangekuwa chama, wasingeibiwa kura na katiba waitakayo...
  18. B

    Palestina ni wahanga, Iran na Israel hawachekani, ila Marekani wapewe maua yao

    Ni bahati mbaya kuwa mashariki ya kati mpalestina ni mhanga wa udhwalimu. Kwamba yalimkuta tokea 1947 huko, kumbe ana uchaguzi upi mwingine? Kwa hakika Gen Z wamepata funzo: "Haki hupiganiwa kwa wivu mkubwa hata kama ni kwa kupoteza kila kitu yakiwamo maisha." Kwamba vita ni rasilimali ziwe...
  19. M

    Satini maua na English satin zinapatikana wapi?

    Habari waungwana ,natamani kujumuika katika biashara ya uuzaji wa vitambaa hivi vya wakina mama ambao umeshamiri na mita moja inauzwa sh 5000 Niko Dodoma, mwenye uzoefu na biashara hii na mahali wanapochukulia naomba muongozo
  20. W

    Case closed: Wahehe na wabena waendelee kupewa maua yao kwa kujitahidi kuwa wavumilivu kwenye ndoa, kujishusha na kulea watoto vizuri

    ukiangalia Mhehe/ Mbena moja moja wapo pasua kichwa lakini ukiangalia kwa jicho la wastani / average wanawake wengi wahehe na wabena wanapoingia kwenye ndoa huwa ni loyal, ride or die, wavumilivu, humheshimu mwanaume kwa hiari, hawana tamaa ya mali, n.k. Nina katabia kabovu sana ka kupenda...
Back
Top Bottom