mauaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. beth

    Sudan: Majaji wakemea mauaji ya waandamanaji

    Majaji na Waendesha Mashtaka kadhaa Nchini humo wamekemea mauaji ya zaidi ya Waandamanaji wapatao 70 tangu Jeshi lililofanya Mapinduzi na kuchukua Madaraka. Sudan imeshuhudia mfululizo wa maandamano tangu Oktoba 25, 2021 ambapo waandamanaji wamekuwa wakidhibitiwa kwa mabomu ya machozi na silaha...
  2. JF Member

    Kesi za mauaji na kupotea kwa watu vimeshamiri. Serikali chukueni hatua

    Kama wewe ni mfuatiliaji wa taarifa za habari utagundua kwamba kati ya December 2021 na January 2022 kunaongezeko kubwa sana la mauwaji linaendelea hapa nchini na serikali iko kimya kabisa kama vile haijui. Mauwaji yamekithiri sana kila kona ya nchi. Kuna keshi ya watu kutekwa na kunyofolewa...
  3. Idugunde

    Mauaji yazidi kutikisa nchini; Maiti tatu za wanawake zaokotwa kando ya mto jijini Mwanza

    Hii imekuwa too much maana kila siku ni mauaji kwenda mbele. Maiti za wanawake watatu zimeokotwa huko Mwanza. Maiti za wanawake watatu zaokotwa kando ya mto. ----- Wanawake watatu wanaokadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 18 hadi 30 wameuawa na watu wasiojulikana na miili yao kukutwa pembezoni...
  4. Miss Zomboko

    Seneta wa zamani wa Haiti akamatwa Jamaica kwa mauaji ya Rais

    Polisi nchini Haiti imesema seneta wa zamani ambaye ni mshukiwa mkuu katika mauaji ya aliyekuwa rais wa nchi hiyo Jovenal Moise ametiwa mbaroni nchini Jamaica. Msemaji wa jeshi la polisi Gary Desrosiers [Derosieri] ameliambia shirika la habari la Associated Press kwamba John Joel Joseph yuko...
  5. F

    Kwanini ngumu kusikia Mauaji ya wanandoa Zanzibar kama Bara

    Habari wadau,? Binafsi nina swali najiuliza sana. Why sijawahi kusikia wanandoa wameuana Zanzibar ama Pemba? Je, huko hakuna usaliti ama ndoa zao zina miujiza ya ziada.? Bara kuna kesi nyingi hasa za mume kumuua mkewa ama kumjeruhi ila Zanzibar why hapana?
  6. Kamanda Asiyechoka

    Kufumbia tabia na kasumba ya askari wa JWTZ kupiga raia na kuwaletea madhara imesababisha mauaji dhidi ya raia kuongezeka

    Matukio mengi sana yanayofanywa na askari wa JWTZ wanaojichukulia sheria mkononi kwa kupiga raia na kuwasabibishai vifo na ulemavu kwa sababu za labda kuibiwa mali au kukosana na raia yanaporipotiwa polisi mara nyingi huwa hawachukuliwi sheria au hatua stahiki. Hii ni kwa sababu ya kulindwa na...
  7. M

    Kwanini Mwl Nyerere hakuweka ukweli hadharani juu ya kifo cha Kassim Hanga? Mbona CCM huwa hawataki ukweli kuhusu mauaji ya Kassim Hanga kuwa wazi?

    Nipo mahala hapa kijiweni nafuatilia story kibao juu ya masuala yanayohusu matukio kibao yaliyotokea baada ya mapinduzi ya Zanzibar. Kuna mzee anasimulia hapa juu ya watu kibao kuuliwa baada ya mapinduzi kutokea. Anadai kuwa aliyekuwa Waziri Mkuu wa Zanzibar Kassim Hanga aliuliwa na mpaka leo...
  8. beth

    Iran yataka Trump ashtakiwe kwa mauaji ya Jenerali Soleimani

    Rais Ebrahim Raisi amesema aliyekuwa Rais wa Marekani, Donald Trump anapaswa kuwajibishwa kwa nafasi yake katika mauaji ya Jenerali Qassem Soleimani yaliyotokea miaka miwili iliyopita, au Iran italipiza kisasi Raisi ametaka kuundwa Mahakama ya Haki ambayo Trump, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya...
  9. wajingawatu

    Kwa nini mauaji yamekua yakiongezeka siku hado siku?

    Kumekua na ongezeko la mauaji ya watu hasa nchini kenya na Tanzania siku za hivi karibuni. Tumezoea kusikia mauaji ya kinyama huko marekani, india na ulaya lakini si Africa Je, ni nini kinasababisha watu kuuana wenyewe kwa wenyewe na hii tabia inawezaje kukomeshwa?
  10. Komeo Lachuma

    Nini kilikuwa sababu ya kuuawa Dkt. Mvungi na Prof. Juani Mwaikusa?

    Watanzania tulivyo wasahaulifu hawa watu hatuwakumbuki kabisa. Na hatukumbuki kuwa walio waua watu hawa mpaka sasa hawajapatikana. Tunaendelea kusifu huku na kuponda kule. Yaani Halali au Haramu inategemeana imetendwa na nani. Mauaji ya watu kadhaa yamekuwa ni sehemu ya Utendaji wa watu flani...
  11. Jembe Jembe

    Mwanafunzi Chuo cha Ufundi Arusha amuua mwenzake akimdai Tsh. 3000

    Mwanafunzi Ibrahim Shaaban wa Chuo cha Ufundi Arusha (ATC) anashikiliwa na polisi Mkoani Arusha Kwa kosa la kumuua mwenzake Evance Florian (17) katika ugomvi wa kudaiana sh, 3000. Kamanda wa polisi Mkoa hapa Justine Masejo amethibitisha tukio hilo na kudai kuwa mwili wa marehemu umehifadhiwa...
  12. Miss Zomboko

    Watu watano wauawa wakati wa maandamano Sudan

    Watu watano wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa wakati wa maandamano ya kudai utawala wa kidemokrasia nchini Sudan hapo jana Jumamosi. Haya ni kwa mujibu wa kamati kuu ya madaktari nchini Sudan. Kamati hiyo imedai kuwa vikosi vya baraza la mapinduzi ya kijeshi nchini humo, vilivamia hospitali...
  13. exalioth

    Geita: Mume amchinja mke wake na kisha yeye kujichoma kisu tumboni

    Imetokea katika wilaya ya Mbogwe kata ya Lulembela mkoani Geita, ambapo tukio limetokea mida ya saa 6 mchana. Wawili hao wenye watoto saba imegundulika baada ya mtoto kutoka shule na kukuta nyumba imefungiwa ndani huku mziki ukiwa unapigwa (sabufa) badae mtoto akaenda kuita majirani baada ya...
  14. MSAGA SUMU

    Baada ya mauaji ya ajabu kutokea Kangaye Mwanza, sasa wananchi kufunga siku tatu mfululizo

    Baada ya watu watatu kufariki wakati wa mazishi na hivyo kusababisha misiba kufika minne, wakazi wa Kangaye Mwanza wameamua kufunga kwa siku tatu mfululizo kuomboleza misiba hiyo pamoja na kuombea amani katika eneo lao. Itakumbukwa siku sio nyingi wakati mazishi yakiendeleaa, mtu mmoja alitoa...
  15. MSAGA SUMU

    Gwiji la mauaji ya kimbari Theoneste Bagosora afariki gerezani

    Kanali katika jeshi la zamani la Rwanda aliyepatikana na hatia kutokana na nafasi yake katika mauaji ya kimbali ya mwaka 1994 ambapo watu zaidi ya 800,000 waliuawa, amefariki gerezani nchini Mali ambako alikuwa akitumikia kifungo. Théoneste Bagosora, mwenye umri wa miaka 80, alikuwa afisa wa...
  16. simulizi za kweli

    SoC01 Kukosekana kwa Upendo na Msongo wa mawazo, Chanzo cha mauaji ya wanawake nchini

    Hapa nchini kumekuwa na mauaji mengi na kujeruhiana kati ya wapenzi .Taarifa ya kufunga mwaka ya 2020 ya Jeshi la polisi nchini inaeleza kwamba idadi kubwa ya matukio ya mauaji kwa mwaka 2020 yalikuwa yanahusiana na sababu za wivu wa mapenzi ikilinganishwa na sababu nyingine. Pia jeshi la...
  17. chizcom

    Hizi ndizo dhambi kubwa

    Dunia inavyozidi kuendelea kuna dhambi ambazo kila kona zinaongoza kwenye billboard za mbinguni. Hizi dhambi huwezi kukosa kusikia kwenye habari hata siku moja. 1-uzinzi 2-mauaji 3-dhulma 4-ushirikina miaka nenda rudi lazima ukutane nazo
  18. beth

    Marekani: Aliyehukumiwa kwa mauaji ya George Floyd kukata rufaa

    Aliyekuwa Polisi wa Jiji la Minneapolis ambaye mwezi Juni mwaka huu alihukumiwa kifungo cha miaka 22.5 kwa mauaji ya Mmarekani Mweusi George Floyd amesema atakata rufaa Derek Chauvin amedai kulikuwa na masuala kadhaa na waliotoa Hukumu dhidi yake, na Kesi haikupaswa kusikilizwa Minneapolis...
  19. Roving Journalist

    TAMWA: Vyombo vya ulinzi viwachukulie hatua kali watuhumiwa wa vitendo vya mauaji ya Wanawake na Watoto

    TAMWA, Zanzibar yaviomba vyombo vya ulinzi kuwachukulia hatua kali kwa mujibu wa sheria watuhumiwa wa vitendo vya mauaji ya wanawake na watoto Chama cha waandishi wa Habari Wanawake Tanzania, Zanzibar (TAMWA, ZNZ), kinaviomba vyombo vya ulinzi kuhakikisha vinawakamata na kuwafikisha Mahakamani...
  20. Mystery

    Nadhani tulikosea kuwakabidhi Jeshi la Polisi kuchunguza tukio la mauaji ya Hamza

    Hivi karibuni kulitokea tukio la kustua na kutisha Sana, ambapo kijana mmoja anayefahamika kwa jina la Hamza, alipofika kituo cha Selander Bridge na kuwafyatulia risasi kwa kutumia bastola yake na kuwaua askari 2 na kuchukua "machine gun" yao na kuanza kuwasaka Polisi popote pale walipo na...
Back
Top Bottom