mauaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Jidu La Mabambasi

    Wachaga wakwe zangu poleni, ilikuwa wiki yenu kwa vituko!

    Leo nalazimisha kuwatania wakwe zangu, wachaga! (sisemi nimeoa mchaga yupi) Mimii nimeoa huko kwa hiyo msifure kwa hasira na mkani RIP mie chasaka!! Wiki ilianza na mangi Wilfred Massawe, mambo ya viti moto yamekuwa magumu kwa hiyo kaanza utapeli. Akajiita Katibu uenezi wa chama Tawala na...
  2. S

    Mauaji yaliyotokea Lemax Bar Sinza kwa Remmy yalikuwa yanaweza kuzuilika mapema

    Mauaji yaliyotokea hivi karibui katika eneo la Sinza ndani ya Lemax Bar yaliyosababisha vijana wawili kupoteza maisha baada ya marehemu aliyekuwa anamiliki bastola huku akifanya mambo ambayo ni kinyume na kanuni na tataratibu wa umiliki mpaka kufikia kitendo cha kuua na kujiua Kwanza nianze...
  3. Pdidy

    Uchunguzi wa uhalifu kuendelea mwaka mzima ni kula tu pesa za watu, utaratibu huu usitishwe

    Kuna mambo ambayo mahakama/polisi inabidi mubadilike Kuna dogo alimchoma mwenzie kisu akakaa mwaka ndani wakidai uchunguzi unaendelea. Hay mambo yanakatisha tamaa sana mahakamani, mfano mauaji ya kijana Goba. Huyu dada usishangae mwaka mzima aje hukumiwa huku ndugu wakidanganywa toa hiki toa...
  4. D

    Mtazamo: Polisi Tanzania hawana weledi wa kufanya Uchunguzi wa eneo la tukio la uhalifu (Crime Scene)

    Nikiri kwamba andiko hili limepata nguvu kutokana na mauaji yaliyofanyika katika Bar ya Lemax, Sinza, kama yalivyoletwa na Tusker Bariiiidi. Kupitia taarifa ya ITV, ukichunguza kwa umakini utagundua kuna mhanga wa hili tukio, mwili wake umelala kwenye kiti, ingawa polisi wapo wakirandaranda kila...
  5. N

    Mwenyekiti Halmashauri Tarime Vijijini anayekabiliwa na kesi ya mauaji aachiwa kwa dhamana

    Mwenyekiti wa Halmashauri ya Tarime Vijijini, Simon K pamoja na wenzake wanaokabiliwa na kesi ya mauaji namba PI RM (MURDER) CASE NO. 4/2021 wameachiwa kwa dhamana hapo jana mjini Musoma. Jambo ambalo limewashangaza watu wengi kwani inajulikana wazi kuwa kesi hiyo haina dhamana. Hata hivyo mke...
  6. TheDreamer Thebeliever

    Mtazamo: Sheria ibadilishwe hukumu ya kesi ya mauaji iwe miaka 15 jela. Kila Mtanzania amiliki bunduki kirahisi

    Habari wadau, Sheria zetu na mtu anayekutwa na kosa la mauaji nashauri ibadilishwe waweke miaka 15 tu inatosha maana lengo la kumuweka mtu jela ni ajifunze naamini miaka 15 atakuwa amejifunza kumuweka maisha jela ni kuipa mzigo tu serikali usio na tija pia kuharibu maisha ya wategemezi wake...
  7. Nafaka

    Sakata la Mauaji ya Rais wa Haiti lachukua sura mpya

    Kukamatwa kwa mfanyabiashara mwenye uraia wa Haiti ambaye anaishi Florida ambaye vyombo vya usalama vinadai kwamba ni mhusika mkuu wa mauaji ya aliyekuwa raisi wa Haiti, kunazidi kuongeza maswali kwenye hili sakata ambalo tayari limeacha mawasli mengi. Vyombo vya usalama vya Haiti vinadai...
  8. Jumbe Brown

    Mauaji ya Rais wa Haiti Jovenel Moise na funzo kwa Katiba yetu bora ya mwaka 1977

    Ubora wa Katiba yetu ya mwaka 1977 na yaitwayo madaraka makubwa ya Rais. Funzo kwa wenzetu nchi ya haiti na kumpunguzia rais wao madaraka. Je, watungaji (constitutional framers) wa katiba ya 1977 ya JMT walikosea kumpa rais wetu madaraka makubwa? Kufuatia mauaji ya rais wa nchi ya Haiti...
  9. beth

    Haiti: Polisi waua watu wanne wanaoshukiwa kwa mauaji ya Rais Jovenel Moïse

    Mkuu wa Polisi Nchini humo, Leon Charles, amesema watu wanne wanaoshukiwa kwa mauaji ya Rais Jovenel Moïse wameuawa na wengine wawili wamekamatwa Kuuawa kwa Moïse na kujeruhiwa kwa Mkewe kulitarajiwa kuleta machafuko zaidi katika Taifa hilo ambalo tayari linakabiliwa na ghasia za magenge ya...
  10. Suley2019

    Kesi ya mauaji ya Sharon Otieno dhidi ya Gavana Okoth Obado kusikilizwa wiki ijayo

    Kesi ya mauaji ya Sharon Otieno aliyekuwa mjamzito ambayo Gavana wa Migori Okoth Obado ni mshukiwa mkuu Mahakama ya Nairobi imeamua kuisikiliza wiki ijayo. Katika kusikiliza kesi hiyo Jaji Cecilia Githua aliamuru upande wa mashtaka kuleta mashahidi wawili. Kesi hii iliyopaswa isikilizwe...
  11. Erythrocyte

    Dar: Hafla ya BAWACHA Mikocheni yazingirwa na Polisi, wapewa dakika 30 tu

    Hii ni baada ya Polisi kuruhusu Bawacha wakutane kwa dk 30 tu huku polisi nao wakitaka kuwemo ndani ya ukumbi ili kusikia yanayozungumzwa , kabla ya ruhusa hiyo zimepigwa danadana kuanzia polisi kinondoni , DC hadi RC wakipiga danadana huku kila mmoja akijitoa asionekane kuruhusu jambo hilo ...
  12. Shujaa Mwendazake

    Peter Msigwa: Baada ya kushinda kesi ya Mbowe, nini hatma ya mauaji ya Akwilina?

    "Baada ya kushinda kesi ya Mh Freeman Mbowe na wenzake, mjadala sasa ni juu ya matumizi ya 350M, hatujadili uhai wa Akwilina. Nani alimuua? Nani anawajibika? Mkurugenzi wa Kinondoni anawajibikaje? Kwanini hakutoa barua za mawakala? Athari walizopata warufani. Uhuni huu utaisha lini?" - Mch...
  13. Richard

    Hukumu ya kesi ya mauaji ya George Floyd kutolewa leo

    Hukumu ya kesi ya mauaji ya George Floyd inatarajiwa kutolea leo mchana jijini Minneapolis. Derek Chauvin ambae alikuwa askari polisi tayari amepatikana na hatia ya mauaji ya George. Mwezi April 2020 Derek akiwa anamkamata George kwa tuhuma za wizi dukani alimwekea goti shingoni kwa zaidi ya...
  14. Shujaa Mwendazake

    Mauaji ya askari wa Suma JKT yatikisa Kilimanjaro

    Moshi. Ni mwendo wa askari kuuana kwa risasi, hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya Askari wa Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa (Suma-JKT), kudaiwa kumuua mwenzake kwa risasi katika wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro. Juhudi za kumpata Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro...
  15. Mshana Jr

    Familia ya marehemu Joe Mutaboyerwa yavamiwa. Mama na watoto wawili wauawa

    Familia ya mr Joe Mutaboyerwa imepigwa mapanga inawezekana ni mlinzi wao mama na watoto wawili wote wameuwawa [emoji33] Very sad story Inasemekana ni njama ya boy friend wake aliyekuwa nae baada ya kifo cha Joe! Aligundua dada ana hela nyingi ambazo alikuwa apeleke bank next day, boy friend...
  16. beth

    Namibia: Upinzani wakosoa makubaliano ya Serikali na Ujerumani kuhusu mauaji ya kimbari

    Wanasiasa wa Upinzani Nchini humo wameikosoa kitendo cha Serikali kuingia makubaliano na Ujerumani kuhusu mauaji ya kimbari wakati wa Ukoloni, ambapo Taifa hilo liliomba msamaha na kuahidi Dola za Marekani Bilioni 1.3 Wameishutumu Serikali kwa kuwaweka kando wao pamoja na Jamii zilizoathiriwa...
  17. Analogia Malenga

    Mara: Askari watano JKT washikiliwa kwa tuhuma za mauaji

    Jeshi la Polisi mkoani Mara linawashikilia askari watano wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) waliokuwa wamemaliza muda wao wa kujitolea, wakisubiri ajira za muda wa Kikosi cha Jeshi la Wananchi 27 KJ MAKOKO kwa tuhuma za mauaji ya mkazi wa Rwamlimi manispaa ya Musoma, Paulo Joseph, maarufu kama...
  18. Nyendo

    Munde Tambwe: Sheria itungwe kudhibiti mauaji ya mapenzi

    Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Munde Tambwe ameomba mwongozo wa Spika wa Bunge akitaka chombo hicho cha kutunga sheria kujadili ongezeko la mauaji ya wivu wa mapenzi. Mbunge huyo ameomba mwongozo huo leo Ijumaa Juni 4, 2021 mara baada ya kipindi cha maswali na majibu. Munde amesema kuna ongezeko...
Back
Top Bottom