China nyama ya punda na ngozi za punda zina soko kubwa mno. Kwanini serikali haihamasishi ufugaji mkubwa wa punda Tanzania na kuanzisha minada ya punda?
BAADA ya Tanzania kusuasua kwa muda mrefu katika mauzo ya bidhaa nje ya nchi, hatimaye sasa mambo yameanza kubadilika, ambapo mauzo hayo yameongezeka kwa kiasi kikubwa, huku dhahabu ikitajwa kuchangia kupanda huko.
KwaB mujibu wa Ripoti iliyotolewa na Benki Kuu Tanzania (BoT) kwa kipindi cha...
Monitoring system maalumu zinazotumia muunganiko wa camera zenye nguvu zinazokuwezesha kusimamia biashara zote zilizo sehemu yoyote, popote ulipo utaweza kupokea picha za matukio yote katika maduka yako, migahawa yako, salon zako, yaan sehem yoyote unapohitaji kusimamia ukiwa haupo.
Sasa...
Huyu Afisa Mauzo wa METL pale Liberty Mwanza ni hovyo kabisa. Asubuhi wateja wakienda kununua mzigo unamkuta anavuta sigara na kutafuna ugoro, anamajibu ya hovyo hovyo tu kwa wateja na kiburi juu, bahati yao hakuna sehemu nyingine ya kupatia mzigo tungeshawahama.
Ujumbe huu uwafikie wahusika wa...
imarisha mwonekano wako na fufua uzuri wako
kila mtu anangozi nzuri na yenye kuvutia kwa namna yake
lakini kuna mambo yanayo fanya tufubae ngozi zetu zisiwe nzuri kama inavyo takiwa
na haya husababishwa na mazingira.
tsh9000tu.
kama vile
kutokwa na chunusi
kutokwa na utangotango
kuwashwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.