mauzo

  1. sinza pazuri

    Mac Voice ameanza kuweka rekodi za kutisha kwenye mauzo

    Siku chache tu baada ya kutambulishwa... msanii mwenye talent ya kushangaza aitwae Mac Voice kutoka kampuni ya muziki ya Nextlevel, ameanza kuandika rekodi nzuri kwenye mauzo. EP yake ya my voice imeshapiga streams laki 5 ndani ya muda mfupi sana. Hapa Rayvanny alilamba dume.
  2. MK254

    Mauzo ya matunda Ulaya yaendelea kuvunja rekodi Kenya

    Earnings from horticulture recorded the biggest growth among Kenya’s main agricultural exports in the eight months to August, fresh data shows, cancelling out poor performance by tea. An update by the Central Bank of Kenya (CBK) shows that horticulture earnings jumped by a quarter to Sh87.8...
  3. Call me GHOST

    Makosa 7 ya kuepuka unapouza bidhaa kwenye WhatsApp status yako

    ....Kama Umekuwa ukipost bidhaa kwenye WhatsApp status yako kisha watu wakaishia Kuview Tu bila Kununua basi kuna uwezekano unafanya kosa mojawapo kati ya haya 7 Kabla sijakwambia hayo makosa ngoja nikusanue kwanza kuhusu huu mchongo mpya wa kutumia WhatsApp Status yako kupiga hela badala ya...
  4. M

    Ninamiliki kituo Cha mafuta, mshindani wangu anauza Sana kuliko mimi. Nini nikifanye kuongeza mauzo na wateja

    Wakuu Kama nilivoelezea hapo hapo juu namiliki kituo Cha mafuta. Nina changamoto yakushuka mauzo kulinganisha nahapo awali mauzo yamepungua baada yakuongezeka vituo viwili vingne vya mafuta. Nini nifanye kuongeza mauzo au kuvuta wateja Zaid ukizingatia washindani wangu wana nguvu zaid yangu...
  5. barcelonista

    Kufikia Mauzo ya Platnum

    Wakuu kwema? Tueleweshane kidogo kwa wale wanaofahamu. Ni vigezo gani hutumika kuifanya nyimbo kuuza mauzo ya Platinum. Kwa mfano hii Essence ya Wiz Kid imefikisha Mauzo hayo ndani ya U.S.A Baada ya kuuza Units 1 Milion. Na inaonekana sio rahisi kwa sababu huchukua muda ngoma kufikia mauzo...
  6. MK254

    Mauzo ya magari yanayotengenezwa Kenya yavunja rekodi

    Yaani hadi raha....hii nchi tunapaa The share of new vehicles assembled locally rose to a record 70.9 percent in the eight months ended August, signalling increased demand for models put together at plants such as Isuzu East Africa and Kenya Vehicle Manufacturers (KVM). Data from the Kenya...
  7. Analogia Malenga

    Mahakama Kuu yazuia kodi ya mauzo

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya alitaka kampuni zilipe kodi ya 1% kwenye jumla ya mauzo kwa mwaka Sheria hiyo ingeipatia Kenya jumla ya Ksh. Bilioni 21 sawa na takribani Tsh. Bilioni 441.74 Mahakama Kuu ya Kenya imesema kotoza kodi hata kwa waliopata hasara ni kinyume cha Katiba. Kampuni nyingi...
  8. C

    Mauzo ya jezi ya Ronaldo ya vunja rekodi za muda wote

    💰 £187m in shirt sales 👕 Fastest selling shirt in Premier League history 🙌 Almost twice as many ‘Ronaldo 7’ shirts bought than ‘Messi 30’ shirts 🤑 Man Utd recouped entire transfer fee before Ronaldo's kicked a ball Nobody sells shirts quite like Cristiano Ronaldo
  9. AA TANCH TRADING COMPANY

    Tovuti 10 zinazoongoza kwa mauzo ya simu za iphone Tanzania. Kwa bei nzuri na uhakika

    Mauzo ya simu kwa sasa yameongezeka sana. Kutokana na uwepo wa ushindani mkubwa katika soko. Pia tukiangalia na kazi ya simu za mkononi. Zipo kukurahisishia upatikanaji wa taarifa. Na upatikanaji wa huduma nyingine nyingi ambazo zinatuwezesha. Kuongeza ufanisi katika kazi zetu na masomo yetu...
  10. Chizi Maarifa

    Yaani Mauzo ya Msimu mzima wa 2020/21 ya Jersey za Yanga ilikuwa Milion 45?

    Daaahh.... Kila jersey ya Yanga moja yanga inapata faida ya Tsh 1,300. Msimu unaoisha Yanga iliingiza tsh 45,000,000 kupitia jersey. Kweli? Kweli jamani Mnajua wakati mwingine mnasahau mnadhani watu wote walioko Yanga hawana Elimu au hawajitambui. Mnatukosea sana. Mimi nasema hili kwa dhati...
  11. M

    Kila nikishusha Bei dhidi ya washindani wangu nao hushusha Zaidi yangu, nifanye nini kuongeza mauzo?

    Habari wakuu, Nimekuja kwenu kutaka fikra na mawazo.. Niko ktkt biashara ya duka la jumla la vyakula kwa muda Sasa changamoto iliyopo kila mshindani wangu analenga kushika wateja soko kwa kushusha Bei chini Zaid nami nimekua nikishuka nao.. Sasa Basi Hali hii imepelekea kuzid kukupunguza faida...
  12. MK254

    Mauzo ya mkonge yaipaisha Kenya

    Tunakwenda kwa mwendo huu huu.... Kenya's sisal export earnings rose by 10.96 percent to Sh2.45 billion in the first half of this year compared to a similar period in 2020, buoyed by rebounding prices in key export markets. Data by the Agriculture and Food Authority (AFA) shows export volumes...
  13. and 300

    Mauzo ya Kondomu yamepungua sana

    Katika biashara yangu ya duka la dawa. Mauzo ya Kondomu yamepungua ghafla kwa miezi miwili mfululizo. Kwa wastani nilikuwa nauza kondomu 150 kwa siku. Ila kwa Sasa nauza kondomu 6 kwa wiki. Chanzo Ni COVID-19?
  14. C

    Dortmund watengeneza zaidi ya €200m kwa mauzo ya wachezaji hawa

    Rejea kichwa cha habari Ousmane Dembele bought for €35 From STADE DÊ RENNES Sold For €135 to BARCELONA, PROFIT €100 Jadon Sancho bought for €7.8M from MANCHESTER CITY YOUTH ACADEMY Sold For €85M to MANCHESTER UNITED, PROFIT €77.2M Christian Pulisic from BORRUSIA DORTMUND YOUTH ACADEMY, Sold...
  15. Kibenje KK

    Ukikosa kazi kwa muda mrefu, jaribu kutafuta kazi za Mauzo (Sales)

    Ninatambua kwamba watu wengi wanafuta ajira usiku na mchana bila mafanikio. Ukifikiri kwa makini utagundua kwamba, njia iliyokuwa bora ya kujihakikishia ajira sio kutafuta ajira. Bali ni kutafuta tatizo au matatizo unayoweza kuyatatua. Jaribu zoezi hili; mwezi huu tembelea Ofisi kadhaa popote...
  16. beth

    Marekani yapiga marufuku mauzo ya tiketi za Belarus

    Marekani imepiga marufuku mauzo ya tiketi za ndege kutoka na kuelekea Belarus, ikiwa ni mwezi mmoja tangu Ndege ya Ryanair ilipolazimishwa kutua na Mwandishi wa Habari kukamatwa Hatua hiyo ni mwendelezo wa maamuzi yaliyochukuliwa dhidi ya Rais Alexander Lukashenko ambaye anatuhumiwa kufanya...
  17. beth

    #COVID19 COVID-19: Afrika Kusini yapiga marufuku mikusanyiko na mauzo ya pombe kutokana na mwenendo wa mlipuko

    Afrika Kusini imetangaza masharti mapya yanayolenga kudhibiti ongezeko la maambukizi ya Virusi vya Corona ambapo mikusanyiko yote ya ndani na nje itapigwa marufuku kwa siku 14 Aidha, Rais Cyril Ramaphosa amesema katika siku hizo mauzo ya pombe na safari kuelekea au kutoka maeneo yaliyoathiriwa...
  18. stakehigh

    Mauzo ya data Tanzania ni hasara

    Kwa wale waliofuatilia interview ya boss wa Voda Hashim Hendi, ali-hint kuhusu bei za data kwamba makampuni ya simu Tanzania yanauza data kwa Sh1 to 1.2 per megabyte, kama aliyoyasema ni kweli basi nchi nzima makampuni hayana net profit kwenye mauzo ya data na hata process ya kuuza minara...
  19. K

    Msaada kuhusu Written Interview ya TTCL nafasi ya Afisa Mauzo

    Habari za jioni wadau. Ninaomba msaada kwa waliowahi kuhudhuria interview Utumishi kwa nafasi ya SALES OFFICER . Ni maswali gani wanapendelea kutoa? Asanteni sana.
Back
Top Bottom