Siku chache tu baada ya kutambulishwa... msanii mwenye talent ya kushangaza aitwae Mac Voice kutoka kampuni ya muziki ya Nextlevel, ameanza kuandika rekodi nzuri kwenye mauzo.
EP yake ya my voice imeshapiga streams laki 5 ndani ya muda mfupi sana.
Hapa Rayvanny alilamba dume.
Earnings from horticulture recorded the biggest growth among Kenya’s main agricultural exports in the eight months to August, fresh data shows, cancelling out poor performance by tea.
An update by the Central Bank of Kenya (CBK) shows that horticulture earnings jumped by a quarter to Sh87.8...
....Kama Umekuwa ukipost bidhaa kwenye WhatsApp status yako kisha watu wakaishia Kuview Tu bila Kununua basi kuna uwezekano unafanya kosa mojawapo kati ya haya 7
Kabla sijakwambia hayo makosa ngoja nikusanue kwanza kuhusu huu mchongo mpya wa kutumia WhatsApp Status yako kupiga hela badala ya...
Wakuu Kama nilivoelezea hapo hapo juu namiliki kituo Cha mafuta. Nina changamoto yakushuka mauzo kulinganisha nahapo awali mauzo yamepungua baada yakuongezeka vituo viwili vingne vya mafuta.
Nini nifanye kuongeza mauzo au kuvuta wateja Zaid ukizingatia washindani wangu wana nguvu zaid yangu...
Wakuu kwema? Tueleweshane kidogo kwa wale wanaofahamu.
Ni vigezo gani hutumika kuifanya nyimbo kuuza mauzo ya Platinum. Kwa mfano hii Essence ya Wiz Kid imefikisha Mauzo hayo ndani ya U.S.A Baada ya kuuza Units 1 Milion.
Na inaonekana sio rahisi kwa sababu huchukua muda ngoma kufikia mauzo...
Yaani hadi raha....hii nchi tunapaa
The share of new vehicles assembled locally rose to a record 70.9 percent in the eight months ended August, signalling increased demand for models put together at plants such as Isuzu East Africa and Kenya Vehicle Manufacturers (KVM).
Data from the Kenya...
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya alitaka kampuni zilipe kodi ya 1% kwenye jumla ya mauzo kwa mwaka
Sheria hiyo ingeipatia Kenya jumla ya Ksh. Bilioni 21 sawa na takribani Tsh. Bilioni 441.74
Mahakama Kuu ya Kenya imesema kotoza kodi hata kwa waliopata hasara ni kinyume cha Katiba. Kampuni nyingi...
💰 £187m in shirt sales
👕 Fastest selling shirt in Premier League history
🙌 Almost twice as many ‘Ronaldo 7’ shirts bought than ‘Messi 30’ shirts
🤑 Man Utd recouped entire transfer fee before Ronaldo's kicked a ball
Nobody sells shirts quite like Cristiano Ronaldo
Mauzo ya simu kwa sasa yameongezeka sana. Kutokana na uwepo wa ushindani mkubwa katika soko. Pia tukiangalia na kazi ya simu za mkononi. Zipo kukurahisishia upatikanaji wa taarifa. Na upatikanaji wa huduma nyingine nyingi ambazo zinatuwezesha. Kuongeza ufanisi katika kazi zetu na masomo yetu...
Daaahh.... Kila jersey ya Yanga moja yanga inapata faida ya Tsh 1,300. Msimu unaoisha Yanga iliingiza tsh 45,000,000 kupitia jersey. Kweli?
Kweli jamani Mnajua wakati mwingine mnasahau mnadhani watu wote walioko Yanga hawana Elimu au hawajitambui.
Mnatukosea sana. Mimi nasema hili kwa dhati...
Habari wakuu,
Nimekuja kwenu kutaka fikra na mawazo.. Niko ktkt biashara ya duka la jumla la vyakula kwa muda Sasa changamoto iliyopo kila mshindani wangu analenga kushika wateja soko kwa kushusha Bei chini Zaid nami nimekua nikishuka nao..
Sasa Basi Hali hii imepelekea kuzid kukupunguza faida...
Tunakwenda kwa mwendo huu huu....
Kenya's sisal export earnings rose by 10.96 percent to Sh2.45 billion in the first half of this year compared to a similar period in 2020, buoyed by rebounding prices in key export markets.
Data by the Agriculture and Food Authority (AFA) shows export volumes...
Katika biashara yangu ya duka la dawa. Mauzo ya Kondomu yamepungua ghafla kwa miezi miwili mfululizo. Kwa wastani nilikuwa nauza kondomu 150 kwa siku. Ila kwa Sasa nauza kondomu 6 kwa wiki. Chanzo Ni COVID-19?
Rejea kichwa cha habari
Ousmane Dembele bought for €35 From STADE DÊ RENNES Sold For €135 to BARCELONA, PROFIT €100
Jadon Sancho bought for €7.8M from MANCHESTER CITY YOUTH ACADEMY Sold For €85M to MANCHESTER UNITED, PROFIT €77.2M
Christian Pulisic from BORRUSIA DORTMUND YOUTH ACADEMY, Sold...
Ninatambua kwamba watu wengi wanafuta ajira usiku na mchana bila mafanikio.
Ukifikiri kwa makini utagundua kwamba, njia iliyokuwa bora ya kujihakikishia ajira sio kutafuta ajira. Bali ni kutafuta tatizo au matatizo unayoweza kuyatatua.
Jaribu zoezi hili; mwezi huu tembelea Ofisi kadhaa popote...
Marekani imepiga marufuku mauzo ya tiketi za ndege kutoka na kuelekea Belarus, ikiwa ni mwezi mmoja tangu Ndege ya Ryanair ilipolazimishwa kutua na Mwandishi wa Habari kukamatwa
Hatua hiyo ni mwendelezo wa maamuzi yaliyochukuliwa dhidi ya Rais Alexander Lukashenko ambaye anatuhumiwa kufanya...
Afrika Kusini imetangaza masharti mapya yanayolenga kudhibiti ongezeko la maambukizi ya Virusi vya Corona ambapo mikusanyiko yote ya ndani na nje itapigwa marufuku kwa siku 14
Aidha, Rais Cyril Ramaphosa amesema katika siku hizo mauzo ya pombe na safari kuelekea au kutoka maeneo yaliyoathiriwa...
Kwa wale waliofuatilia interview ya boss wa Voda Hashim Hendi, ali-hint kuhusu bei za data kwamba makampuni ya simu Tanzania yanauza data kwa Sh1 to 1.2 per megabyte, kama aliyoyasema ni kweli basi nchi nzima makampuni hayana net profit kwenye mauzo ya data na hata process ya kuuza minara...
Habari za jioni wadau.
Ninaomba msaada kwa waliowahi kuhudhuria interview Utumishi kwa nafasi ya SALES OFFICER . Ni maswali gani wanapendelea kutoa?
Asanteni sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.