mawasiliano

The Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA), established by the TCRA Act No. 12 of 2003, is an independent Authority for the postal, broadcasting and electronic communications industries in the United Republic of Tanzania. It merged the former Tanzania Communications Commission and the Tanzania Broadcasting Commission. The TCRA is accountable to the Communications and Technology Ministry. The Information Communication and Technology (ICT) sector reform in Tanzania is notable in that development was influenced by regional, political (national) and technological factors. Tanzania is one of the few African countries to liberalise the communications sector whereby the Converged Licensing Framework (CLF) is used as a key strategy, in terms of the Tanzania Communications Regulations. Since inception in 2003, the TCRA has issued a number of regulations to administer the sector, but still faces a number of challenges such as the roll-out of services to under-serviced rural areas.

View More On Wikipedia.org
  1. K

    Rais, Waziri Mkuu, Mkuu wa Navy, Waziri wa maafa, waziri wa mawasiliano uchukuzi na wengineo Tunaomba mjiuzuru

    Ndugu viongozi, kwa matatizo tuliyoyaona Bukoba kutokana na ajali ya precison, imeonyesha bila shaka viongozi wet na wasimamizi wa serikali wamekuwa hawajali kuwekeza katika kupamabna na majanga wakati pesa nyingi zinatumika kwenye safari na posho na wizi mkubwa. Marubani walikuwa hai kwa masaa...
  2. Suley2019

    Baadhi ya maneno ambayo hayapaswi kutumika kwenye mawasiliano ya wanaume kwa mwanaume

    Salaam Wakuu, Natumai mnaendelea vyema. Katika kuendelea kujifunza lugha na namna bora ya mawasiliano leo nimeona nilete mtazamo wangu na nisikie kutoka kwenu pia. Matumizi ya lugha yoyote yanapaswa kujingatia muktadha na wahusika unaozungumza nao. Katika muktadha wa mazungumzo ya wanaume...
  3. Jidu La Mabambasi

    Haki ya Faragha: Waliodukua Mawasiliano ya Kinana na Makamba washitakiwe

    Miaka kadhaa iliyopita mawasiliani binafsi kati ya Comrade Kinana na Makamba yalidukuliwa. Hiki kilikuwa si kitendo cha kistaarabu na heshima. Sina uhakika lakini kumfuatilia mtu nyendo zake inahitaji kibali cha mahakama. Hawa wazee wetu Kinana na Makamba walikuwa watumishi wa ngazi za juu...
  4. BARD AI

    Thamani ya miamala ya Simu yapungua nchini

    Wakati idadi ya watumiaji wa huduma za fedha kwa simu za mkononi ikizidi kuongezeka, thamani ya miamala wanayoifanya inapungua kila uchao. Ripoti ya robo mwaka inayoishia Septemba 2022 ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inaonyesha idadi ya miamala imeongezeka kutoka zaidi ya milioni...
  5. Kilangi masanja

    Changamoto ya upatikanaji kwa njia za mawasiliano zitolewazo na Taasisi za Umma, makampuni na sehemu zote zitoazo huduma

    Habari wadau kwa ujumLa.Naimani mu wazima wa afya. Ni jambo la kawaida kwa kizazi hiki cha sayansi na teknolojia kuhakikisha tunaenda sambamba na mataifa yalioendelea kupitia nyanja hizo. Changamoto imekua kubwa na kama wahusika hawaioni au hufanya makusudi yasio na sababu yeyote ile basi...
  6. D

    Makampuni ya simu yanaweza kurekodi kila simu inayopigwa au kupiga?

    Habari wakuu, baada ya kuvutana kwa mabishano ya hoja hapa tulipo nimeona nije JF kuuliza kuhusu hili. Hivi kampuni yoyote ya simu ina uwezo wa kurekodi maongezi ya kila mteja wake kwa simu anazopiga au kupigiwa (maongezi)? Yaani hata zile simu za salam, au wanachukua hatua ya kurekodi tu pale...
  7. BARD AI

    Wakenya wapewa saa 24 kukamilisha usajili wa line kabla ya kuzimiwa mawasiliano

    Watumiaji wa Simu nchini humo wamebakiwa na chini ya saa 24 kukamilisha usajili wa laini zao za simu kabla Mamlaka ya Mawasiliano (CAK) haijazima huduma za mawasiliano yao. Kwa mujibu wa CAK watumiaji simu na kampuni za mawasiliano waliongezewa muda wa miezi 6 kuanzia April 15, 2022 ambao...
  8. Webabu

    Ellon Musk akataa kutoa mawasiliano kwa Ukraine kuipiga Crimea ya Urusi

    Sasa imekuwa rasmi kuwa Ellon Musk ameyakataa maombi ya Ukraine kutumia mifumo yake ya mawasiliano katika eneo la Crimea. Ellon amesema akiruhusu hilo itakuwa kama ameruhusu Urusi kutumia silaha za nyuklia. Kwa upande wa maeneo mengine ya Ukraine amesema hawezi kutoa maelezo zaidi kwani ni...
  9. L

    Mawasiliano kati ya watu wa China na Afrika ni ufunguo wa kufikia mustakabali wa pamoja

    NA BRYAN OTIENO Kuna methali moja nchini Afrika Kusini, “Mto ukiwa na kina kirefu kuna chanzo cha maji”. Mazungumzo ya kirafiki kati ya China na Afrika yana historia ndefu. Katika miaka ya 1950 na 1960, Mwenyekiti Mao Zedong, Waziri Mkuu Zhou Enlai na wanasiasa wengine wa Afrika kwa pamoja...
  10. Choosen85

    Naomba mawasiliano na kiongozi wa Yanga, nina pendekezo

    Wakuu naomba kama kuna mtu anaweza nikutanisha ni viongozi kati ya hawa Ally Kamwe, Manara, Rais, hata kama si kukutana nao basi mawasliano tu maana mimi sipo Dar. Nina pendekezo liitwalo "Timu Yangu, Jezi Yangu, Kadi Yangu", humu kuna namna ambayo timu inaweza ikaingza pesa nyingi sana kupitia...
  11. L

    Mawasiliano kati ya watu wa China na Afrika ni ufunguo wa kufikia mustakabali wa pamoja

    Mawasiliano kati ya watu wa China na Afrika ni ufunguo wa kufikia mustakabali wa pamoja NA BRYAN OTIENO Kuna methali moja nchini Afrika Kusini, “Mto ukiwa na kina kirefu kuna chanzo cha maji”. Mazungumzo ya kirafiki kati ya China na Afrika yana historia ndefu. Katika miaka ya 1950 na 1960...
  12. Lycaon pictus

    Mambo ambayo mwanaume unatakiwa na hutakiwi kufanya kwenye mawasiliano ya simu

    1. Usipige simu ikaita hadi ikakata. Huko ni kujikosea heshima. Labda uwe unapigia wazazi. 2. Usimpigie mwanaume mwenzako video call. Labda iwe kuelekeza kazi. 3. Isipigepige simu sana, pia usipige simu ukiwa na shida tu. 4 .........
  13. Lady Whistledown

    Australia: Kampuni kubwa ya mawasiliano ya Optus yadukuliwa

    Kampuni ya Pili kwa ukubwa ya Mawasiliano nchini humo, #Optus, imeripoti shambulio la mtandao ambalo limefichua Taarifa Binafsi za Wateja kama Majina,Terehe za Kuzaliwa, Nambari za Simu na Anuani za Barua Pepe Kampuni hiyo yenye Wateja zaidi ya Milioni 10 inasema imefanikiwa kuzima shambulio...
  14. 2015ready

    Viwanja vinauzwa Bagamoyo Fukayose

    Habari wadau wa Maendeleo. Nauza Viwanja. Vipo Bagamoyo njia ya kwenda Msata, eneo la FUKAYOSE. Bei ni Tshs 5,500 kwa square meter moja. Viwanja vimepimwa tayari na vipo kilometers 1.5 kutoka barabarani. Kwa mawasiliano piga namba 0767460356
  15. happyxxx

    Idara ya Ikulu Mawasiliano ni wazembe au wanafanya makusudi?

    Kitendo cha kuachia picha inayoonyesha namna wananchi wasivyosisimka na uwepo wa Mh. Rais Samia kwenye usafiri wa boti ya abiria kinatafakarisha sana. Si kawaida kwa Rais kujitokeza hadharani na muitikio uwe wa namna hii. Tumeona uko nyuma pamoja na lawama walizoshushiwa Kikwete na Magufuli...
  16. mambo ya nyakati

    Nahisi bado anawasiliana na mpenzi wake wa zamani

    Ushauri, Juzi nipo na mpenzi wangu tumekaa tunapata kinywaji, harakati za hapa na pale nikahisi jambo kwenye simu yake. Kumpokonya simu, simu ikaleta password kila file, ila mwanzo haikuwa na password kwenye mafile. katika ugomvi wa hapa na pale akasusa, kaacha simu yake akaondoka kwao, me...
  17. J

    TCRA imeendesha kikao Kazi na Wadau wa sekta ya Mawasiliano Kanda ya Kati

    TCRA imeendesha kikao Kazi na Wadau wa sekta ya Mawasiliano Kanda ya Kati Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Dkt. Jabiri Bakari, ameongoza kikao kazi baina ya TCRA na Wadau wa Sekta ya Mawasiliano Kanda ya Kati, kilichofanyika Mkoani Tabora, katika ukumbi wa Isike...
  18. BARD AI

    Pegasus Spyware: Ni nini na Inafanyaje kazi?

    Serikali duniani kote zinakabiliwa na madai ya kutisha kwamba zilitumia programu hasidi iliyotengenezwa na Israel kwaajili ya kupeleleza simu za wanaharakati, waandishi wa habari, wasimamizi wa mashirika na wanasiasa. Lakini je, spyware ya Pegasus inafanya kazi vipi hasa? Je, inaingiaje kwenye...
  19. M

    Natafuta chumba: Kiwe karibu na Law school(mawasiliano), iwezekane kwenda na kurudi bila ulazima wa daladala

    Kuna mwanafunzi wa law school (July intake) ya pale mawasiliano. Anatafuta chumba ambacho atakuwa na uwezo wa kwenda na kurudi bila kulazimika kutumia dala dala au boda boda. Kiwe kwenye mazingira tulivu yatakayomwezesha kujisomea bila bugdha!! Kiwe mazingira salama. Kikipatikana mapema...
  20. BARD AI

    Hayati William Kusila, Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi wa zamani aliyekimbia furushi la fedha ofisini

    Mbunge wa Bahi (CCM), Keneth Nollo ametoboa siri ya uzalendo wa Hayati William Kusila kwamba aliwahi kukimbia furushi la fedha zilizopelekwa ofisini kwake ili apokee hongo na kutoa upendeleo. Nollo ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Agosti 25, 2022 wakati akitoa salamu za rambirambi mbele ya mwili...
Back
Top Bottom