mawaziri

  1. and 300

    Mawaziri waliotumbuliwa kwa fedheha (2005-2023)

    Leo tujikumbushe Waheshimiwa Mawaziri waliowahi kutumbuliwa kwa fedheha ikiwemo tuhuma za (rushwa, udhalilishaji, ulevi, kutumia madaraka vibaya). 1. Laigwanani Mkuu (tuhuma za Rushwa RICHMOND) - mzee wa kuzungusha mikono hewani, ha ha ha 2. Charles Kitwanga, (ulevi) 3. Prof Muongo, 4. Kanghe...
  2. S

    CCM imekubali ife kuwabeba mawaziri hawa?

    CHAMA cha Mapinduzi ni chama makini chenye uwezo wa kubadilika kutokana na nyakati lakini kwa sasa wanachama wengi wanahoji ukimya wa kushindwa kuchukua hatua za kuwang'oa mawaziri hawa ili kukinusuru chama ni nini? Mawaziri wanaoongoza kulalamikiwa na wananchi ambao ni Wajumbe wa Halmashauri...
  3. Roving Journalist

    Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano wa Mawaziri wa Afrika kuhusu Fedha na Jinsia

    Tanzania inatarajia kuwa mwenyeji wa mkutano wa Mawaziri wa Afrika wanaohusika na Masuala ya Fedha na Jinsia kutoka nchi 22 wanachama wa Jukwaa la Usawa wa Kijinsia (UN Women) na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF-Afritac East), utakaofanyika Jijini Dar es Salaam, kuanzia tarehe 15 hadi 17...
  4. M

    Pamoja na kulipwa mishanara, mawaziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wameshindwa kutatua kero za wananchi mpaka Makonda aingilie kati!

    Hii inashangaza sana. Yaani wanakula mishahara ya bure tu. Wameshindwa kabisa kutatua kero za wananchi? Msemaji wa chama anahusika vipi na kero za wananchi?
  5. Stephano Mgendanyi

    Waziri Mhagama: Hatupendezwi kutuita Mawaziri ni wanafiki

    WAZIRI MHAGAMA: HATUPENDEZWI KUTUITA MAWAZIRI NI WANAFIKI "Ninaamini kabisa hakuna Waziri yeyote ambaye amesimama hapa akajipiga kifua mbele akatetea ubadhirifu wa fedha hizo ambazo zimekuwa zikifanywa na watumishi wa Serikali. Ziko hatua zilizochukuliwa" - Mhe. Jenista Mhagama, Waziri wa Nchi...
  6. Pang Fung Mi

    KERO Sakata la Walimu kufukuzwa kule Tunduma kisa wimbo wa Zuchu "Honey" ni Kipimo cha Mawaziri Vilaza wa Nyakati za Sasa

    Kuna wakati na nyakati, msanii wa mziki haishi mbinguni na hawakilishi malaika, Waziri Mkenda ni mshamba sana narudia ni mshamba sana. Wimbo wa Zuchu content yake ni ya kitanzania na huu wimbo una kiswahili cha kificho ama tafsida. Ni aibu sana kuwa na Waziri mkurupuko na mshamba kama Mkenda...
  7. Suley2019

    Baraza la Mawaziri lapitisha Muswada wa kuimarisha uhuru na uwazi wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu

    Baraza la Mawaziri limeidhinisha Muswada wa Marekebisho ya Ukaguzi wa Umma 2023, hatua inayolenga kuimarisha uhuru na uwazi wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu. Rais William Ruto alitoa tangazo hili wakati wa hotuba yake katika tukio la Siku ya Kodi ya Mamlaka ya Mapato ya Kenya, akifichua...
  8. S

    Tetesi: Rais Samia atavunja Barara la Mawaziri, Biteko atakuwa Waziri Mkuu na Mpina atapewa uwaziri ila mambo yatakuwa ni yale yale

    Kwa mtazamo wangu kulingana na hali ya mambo na yanayoendelea Bungeni, hiki ndio kinakwenda kutokea siku si nyingi na mabadiliko haya yatakuwa ni ya kisiasa tu. Mwigulu na Mbarawa, wanaweza kuondolewa kwa muda halafu baadae wakarudishwa au kubadilishiwa wizara, huku Biteko akipewa uwaziri mkuu...
  9. BARD AI

    Bunge lapitisha Muswada unaotaka wake wa Marais na Maspika wastaafu kulipwa kiinua mgongo

    Bunge limepitisha muswada wa sheria ya marekebisho ya sheria mbalimbali namba 4 wa mwaka 2023 ambapo moja ya marekebisho katika sheria ya Mafao ya Kustaafu katika Utumishi wa kisiasa inapendekezwa Wenza (Mke/Mume) wa Marais Wastaafu, Wenza wa Makamu wa Rais Wastaafu na Wenza wa Mawaziri Wakuu...
  10. Huihui2

    Makonda huna mamlaka juu ya Mawaziri na Wakuu wa Mikoa

    Umesikika katika hotuba yako ya leo kuwa utawarukia mawaziri na wakuu wa mikoa. Nakutahadharisha wewe ni kama Ahmed Ally wa Simba au Ali Kamwe wa Yanga, huna nguvu ya kujipangia unachotaka. Una ripoti kwa Katibu Mkuu, ndiyo anakupa kitu cha kuongea.
  11. FaizaFoxy

    Ushauri huru kwa mawaziri wa Tanzania

    Anayepewa ushauri akausikiliza bila kuufanyia kazi, huyo ni nusu mtu. Anayepewa ushauri akausikiliza na akaufanyia kazi huyo ni mtu kamili. Anayepewa ushauri asiusikilize kabisa, huyo ni mtu sifuri, hakuna mtu hapo. Dhana ya ushauri kwa viongozi...
  12. Webabu

    Mawaziri Wakuu wa zamani wa Israel wamkacha Netanyahu. Waja na hila nyingine kuendeleza vita dhidi ya wapalestina mpaka wawamalize

    Waziri mkuu wa zamani wa Israel Ehud Baraka na Ehud Olmert wameungana na Rais Isaac Hezrog kumponda sana Benjamin Netanyahu, waziri mkuu wa sasa kwa jinsi ambavyo amelitumbukiza taifa lao katika matatizo na vita. Katika pendekezo lake, Ehud Olmert amesema baada ya vita NATO itumike kuirudisha...
  13. BARD AI

    Nigeria: Baraza la Mawaziri labariki Serikali kukopa zaidi ya Tsh. Trilioni 3 kusaidia Bajeti

    Waziri wa Fedha Olawale Edun, ambaye pia ni Mratibu wa Uchumi, amesema Baraza limetoa baraka hiyo kwa lengo la kufanya marekebisho ya Sera ili kukuza Uchumi ambao umeatajwa kuwa kwenye mdororo kwa miaka kadhaa. Tangu aigia madarakani, Rais Bola Tinubu amekuwa akibadili sera za Mtangulizi wake...
  14. M

    Hivi ni kweli hawa mawaziri wanakuwa wameagizwa na Rais au wanatudanganya!

    Kama siyo wote baadhi ya mawaziri na hata wakuu wa mikoa na WA wilaya utawasikia wanapotekeleza majukumu Yao hujinasibu kwamba mheshimiwa Rais amewapa agizo la kutekeleza jambo Fulani. Waziri wa ardhi mheshimiwa Silaa alipokuwa mkoani Katavi katika ziara ya katibu mkuu wa CCM Chongolo alisema...
  15. R

    Nini kifanyike wananchi waanze kutokeza kwenye mikutano ya viongozi wa CCM na serikali wakiwemo mawaziri?

    Tumeona Naibu Waziri Mkuu amerejea nyumbani lakini kinyume na matarajio wananchi wamegoma kumpokea kwa kiwango kilichokusudiwa. Juzi waziri wa fedha na timu ya mawaziri kadhaa imetunga mbeya lakini wananchi wamegoma kujitokeza kwenye mikutano waliyofanya. Katibu mkuu mdogo wetu Chongoro...
  16. T

    Natabiri tena mabadiliko madogo Baraza la Mawaziri

    Natabiri huenda kutakuwa tena na mabadiliko madogo kwenye wizara nyeti mbili kama sio tatu. Katika mabadiliko hayo mawaziri wawili watapumzishwa na kuwekwa mawaziri wengine. Upo uwezekano Mkuu kufanya uteuzi maalumu kwa sababu Pana za kimasilahi ya Taifa. Utabiri huu utatimia pale itampendeza...
  17. mirindimo

    Mawaziri wawili wageuka kuwa Content Creator

    Mwigulu na Makamba wamegeuka kuwa Content Creator (mengine siyasemi hapa kama Mwigulu kuwa Coach na Mmiliki wa ile timu ya Singida na kumiliki kampuni ya betting, na pia Makamba kumpa dada yake deal za tender kubwa kubwa wasifikiri hatuwaoni) sasa hii ya kutembea na wapiga picha shazi na...
  18. DR Mambo Jambo

    Kwa Ulinzi wa Dotto Biteko, Serikali itunge sheria kudhibiti matumizi mabaya ya Ofisi

    Naona sasa ni muda muafaka Serkali itunge sheria kudhibiti Haya matumizi mabaya ya Ofisi maana... Leo hii nimeona video moja ikimuonyesha Naibu waziri Mkuu Mh Dotto Bitteko akiwa kajimilikisha Majeshi yetu na hasa Usalama wa Taifa na Kulindwa na jeshi kubwa Huku akiona sifa kama Anaigiza Muvi...
  19. Chachu Ombara

    Zimbabwe: Upinzani wamshutumu Rais Mnangagwa kumteua mwanaye na mpwawe Baraza la Mawaziri

    Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa ameshutumiwa kwa upendeleo baada ya kumteua mwanawe katika baraza jipya la mawaziri kufuatia kuchaguliwa tena kwa uchaguzi wenye utata mwezi uliopita. Bw. Mnangagwa Jumatatu alimtaja mwanawe, David Kudakwashe, kama naibu waziri wa fedha kama sehemu ya mgawo...
  20. R

    Mbona mabadiliko ya Baraza la Mawaziri ya mara kwa mara hayaleti tija yoyote kwa mwananchi wa kawaida?

    Kila mara rais anafanya mabadiliko ya baraza la mawazri, lkn hakuna tija yoyote ambayo inaonekana. Mfano, sasa upatikanaji wa umemme ndiyo shida kabisa. Ni kama sasa tuna blackout Tanga tangu Makamba atoke wizara ya nishati. Jana mgao wa umeme ulikuwa mkali maana umerudi saa saba usiku. na...
Back
Top Bottom