Wakuu habari.
Mimi ni muuzaji wa mayai ya kisasa , nauza Kwa bei ya jumla.
Natafuta tender ya ku supply kwenye shule, hotels , dukani, kwenye malls , au popote pale.
Naweza ku supply Kwa idadi yoyote utakayo hitaji..
Ofisi ipo mbezi malamba mawili, Dar es salaam, kama upo Dar nafanya free...