Habari za jioni wakuu, kama kichwa cha habari kinavyosema.
Natotolesha mayai ya kuku 10000 kwa trei, tunauza vifaranga vya kuroiler na pure kienyeji, pia nakukua wanyama 200 wako tayari kwa biashara, nauza bata (Muscovy)
Napatikana Chanika kwa Singa, namba zangu ni 0746696878.
Karibu sana