maziwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GUSSIE

    Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

    Wanabodi, Kwa mujibu wa Rais Magufuli wametuma sample za mimea na wanyama kwa kuzipa majina ya binadamu kwenye maabara kuu ya Taifa Dar es Salaam kwa siri bila wapimaji kufahamu baada ya kupimwa zimetest positive yaani zina corona Hapa ndipo Magufuli ameprove uwana-science wake. Je? Tatizo ni...
  2. Mshumaa_Tz

    Uthibitisho rasmi wa CCM kuitawala nchi ya Asali na maziwa daima huu, Hapa

    Baada yakufanya tathmini isiyo rasmi...nimegundua sehemu ...ambayo CCM wamewekeza mtaji wao mkubwa ni vijijini. Hapa CCM wanachofanya sio..Miujiza ni njia kama za Akina late Mugabe , Mseven na wazee wengineo ambao wako ..radhi wafie madarakani lakin ..sio kuwapa kijiti wapinzani. Kwa upande wa...
  3. sabuwanka

    Mrejesho: Ufugaji wa nguruwe, kilimo cha matikiti maji na ufugaji ng'ombe wa maziwa

    Mwaka 2016 mfumo wa maisha ulibadilika baada ya Serikali mpya kuingia madarakani! Vijana wengi tulijikita katika kilimo na ufugaji baada ya motivational speaker kutuhakikishia tutapata utajiri bila kutoa jasho Nami nikaanza na nguruwe wenye mimba 3. Mwanzoni hakukuwa na changamoto sana ila...
  4. Analogia Malenga

    Maziwa ya mtindi hukinga dhidi ya homa ya mafua

    Utafiri umeonyesha kwamba maziwa ya mgando huimarisha kinga ya mwili na kukinga dhidi ya magonjwa ya mfumo wa hewa na haswa homa ya mafua. Prof. Dr. Nizami Duran mkuu wa Idara ya Mikrobiolojia katika chuo kikuu cha sayansi ya tiba cha Hatay Mustafa Kemal pamoja na timu yake ya uchunguzi...
  5. balimar

    Vikwazo kwa Wafugaji wa Ng'ombe wa Maziwa kunna mahala tunakosea!!

    Nimejaribu kufuatilia video hii aiseh inatia uchungu sana. Ila nadhani lengo la huyu kwenye video hii lilikuwa ni kuonesha namna ambavyo ufugaji unakumbwa na vikwazo. Tunatakiwa kuangalia namna ya kutengeneza mazingira rafiki kwa wafugaji. Inaumiza lakini hasa ndio maisha hamna namna
  6. balimar

    Natafuta mahali ninapoweza kujifunza usindikaji wa maziwa na bidhaa zake

    Salamu!! Jamani natafuta mahali au chuo au hata mtu binafsi anaweza kunifundisha namna ya kusindika maziwa. Nimejaribu SIDO wanasema wao wanafundisha usindikaji wa vyakula na milolongo kibao na procedures za kufa mtu. Kupitia jukwaa hili nisaidieni jamani anayefahamu mahali au mtu binafsi au...
  7. Steven Nguma

    Naomba kuja kuhusu soko la maziwa ya mbuzi

    Nawasalimuni kwa jina la Mungu, naomba kuuliza juu ya soko la maziwa ya Mbuzi likoje maana nataka kuanzisha huo ufugaji wa hao Mbuzi wa maziwa.
  8. thatwhatyoubecome

    INAUZWA Ninauza Maziwa ya ngombe wa kisasa

    Habari wana Jf na wakazi wa Dodoma.! Ninauza Maziwa ya ngombe wa kisasa, Tsh. 2000/= @ 1 litre Monthly Bills na Discount Kwa Maziwa mengi inapatikana. LOCATION: Dodoma Mjini Info; PM Natanguliza Shukrani
Back
Top Bottom