maziwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. H

    Mwongozo wa ufugaji Bora wa ng'ombe wa maziwa

    Kumekuwa na maswali kwenye jukwaa hili kuhusu ufugaji wa ng'ombe wa maziwa ,Mimi ni mfugaji wa muda mrefu nimeamua nitoe mchango wangu juu ya ufugaji wa ng'ombe wa maziwa. Hapa nchini Kuna aina tatu maarufu za ng'ombe wa kisasa wa wa maziwa pia Kuna aina nyingine ila katika mizunguko yangu...
  2. mama D

    Kwa wale wajuzi wa ufugaji wa Ng'ombe wa maziwa

    Habari za muda huu wakuu. Naomba msaada wa kujua wanakupatikana Ng'ombe bora wa maziwa. Zaidi kwa mamahitaji ya ng'ombe mwenye mimba ambae hatachukua muda mrefu kuzaa. Nitaomba kujua 1. Aina na gharama za Ng'ombe 2. Mazingira au hali ya hewa sahihi kwa Ng'ombe 3. Ushauri kuhusu ustahimilivu na...
  3. B

    Juisi ya tende yenye maziwa mgando na alkasusu nani anaweza kutupa ubora wake kuimarisha tendo

    Kwa mara ya kwanza nimekunywa juice ya Tende ikiwa na maziwa ya mdango sikuamini, siku yangu ilikuwa njema sana nikiwa na bestfriend wangu, nimewahi kunywa Alkasusu ila sikuona kama performance yake ilikuwa sana kivile but to an extent ila juice ya tende yenye maziwa mgando Eish. Mtujuze...
  4. NCCR Mageuzi

    Uchaguzi 2020 Yeremia Maganja: Tanzania ni nchi yenye maziwa na asali

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha NCCR-Mageuzi ndugu Yeremia Kulwa Maganja, jana Jumatano Septemba 30, 2020, alifanya mkutano kwenye Jimbo la Kigoma Kaskazini viwanja vya Bitale Sokoni kwa lengo la kuomba kura pamoja na kumnadi mgombea Ubunge wa jimbo la Kigoma...
  5. Pascal Mayalla

    Uchaguzi 2020 RC wa Mwanza, John Mongela avunja Mwiko wa Kampeni Kwa Kuongea Ukweli Bayana!, "Tukimpa Mitano Tena, JPM Kuigeuza Tanzania Nchi ya Maziwa na Asali"

    Wanabodi, Kwanza sikiliza hii Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongela, ni moja wa Ma RC very bold katika kuusema ukweli bayana!, leo amevunja mwiko wa ukimya kwa viongozi wa serikali kutompigia kampeni zozote za kisiasa kwa mgombea yoyote, kwasababu hawa ni viongozi wa kiutendaji, lakini RC John...
  6. Pastory Kimaryo

    Bei ya Ng'ombe wa Maziwa

    Habarini watu wa nguvu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Eti ng'ombe wa maziwa anaweza akawa anauzwa shilingi ngapi na naweza kumpata wapi (mimi nipo Morogoro), vipi kuhusu uzalishaji wa maziwa, anatoa lita ngapi kwa mkamuo mmoja na Je sehemu gani naweza nikauza maziwa yakaisha kwa haraka...
  7. SACO

    Ufugaji wa ng'ombe wa maziwa

    Ndugu zangu nataka kuanza ufugaji wa ng'ombe wa maziwa. Nimechagua jukwaa hili kama sehemu ya kupata maujuzi. Naomba kujuzwa juu ya Gharama, Faida, Changamoto nk
  8. Sema Tanzania

    Umuhimu wa maziwa ya mama kwa mtoto

    Utafiti wa Kimataifa wa unyonyeshaji uliofanywa na Shirika la Afya duniani (WHO) unaonesha kuwa hakuna nchi inayokidhi kikamilifu viwango vya unyonyeshaji vinavyopendekezwa kitaalamu. Viwango vya unyonyeshaji vilivyofanyiwa tathimini katika nchi 194 vimebaini kwamba ni asilimia 40 tu ya watoto...
  9. GENTAMYCINE

    Kwangu Mimi haya ni maajabu enyi wabobezi wa masuala ya Bahari, Maziwa na Mito nielimisheni zaidi kuhusu hili

    Body of a man who drowned in River Nzoia retrieved after two months Mwili wa Mtu aliyezama Mto Nzoia umeonekana baada ya Miezi Miwili Citizen TV Kenya Mimi ninachojua na nilichokaririshwa na Wadau ni kwamba Mtu yoyote akizama iwe Baharini au Ziwani au Mtoni ndani ya Siku Moja tu ataonekana
  10. Superbug

    Napenda kulamba maziwa ya unga

    Huu ni udhaifu wangu nimejaribu kuacha nimeshindwa. Hata nikienda kibaruani nayaficha kwenye begi nikisikia hamu nachukua kwenye kijiko nayaweka kwenye karatasi naenda kuyalamba sehemu nisiyoonekana. Nayamumunyaa mpaka yanaisha ndio nakuja sehemu ya public. I am 40+ with children but my...
  11. Chagu wa Malunde

    Uchaguzi 2020 Wapinzani mnatambua kabisa Rais Magufuli ni mtendaji, mchapa kazi na mtekelezaji mzuri. Bado hamuoni aibu kuchukua fomu za urais!

    Kuna tatizo la kufikiri kwa kutumia akili za kawaida ndani ya vyama vya upinzani hapa Tanzania. Sababu kwa akili za kawaida tu unaweza kupata uthubutu upi wa kupambana na rais kama Magufuli? Chama Cha Mapinduzi kina misingi imara na thabiti ambayo kimekuwa kikiisimamia tokea kuanzishwa kwake...
  12. M

    Maziwa fresh ya ng'ombe ukanda wa Mbagala

    Habari zenu wandugu, Nimeanza ufugaji wa ng'ombe wa maziwa, sasa nina changamoto ya soko la uhakika: natafuta soko la maziwa kwa ukanda wa Mbande hadi Mbagala, kwa sasa ninauwezo wa lita 10 kwa siku, ila kuanzia mwezi wa kumi ni nitakua na uwezo hadi wa lita 30. Bei ni elfu mbili kwa lita...
  13. Nancyjoa13

    Maziwa yanayotokana na korosho kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo, Naliendele

    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama maziwa yanayotokana na korosho wakati alipotembelea Taasisi ya Utafiti wa Kilimo, Naliendele, Mtwara, Julai 7, 2020. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa. WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na...
  14. D

    Uchaguzi 2020 Mkutano Mkuu kura zote kwa Magufuli kuelekea nchi ya Maziwa na Asalia

    Mkutano Mkuu wa CCM unakutana hivi karibuni kumchagua mwana CCM wa kupeperusha bendera ya chama kwenye nafasi ya Urais wa Jamhuri wa Tanzania,msifanye makosa turudishieni JPM Ili akamilishe kazi aliyoibakiza kwenye ilani 2015-2025 na kuanzisha miradi mipya ili kuongeza kasi ya kwenda uchumi wa...
  15. F

    Bodi ya Maziwa kuharibu maziwa ya ng'ombe kwa kuyamwagia mafuta ya taa

    ITV leo asubuhi imemuonyesha Waziri wa Mifugo, Mhe. Luhaga Mpina akitoa maelekezo ya kuzuia vitendo vya KISHETANI vinavyofanywa na Msajili wa Bodi ya Maziwa Tanzania kuchafua maziwa ya ng'ombe yanayouzwa na Wajasiriamali wanawake katika eneo la Ubungo kwa kuyamwagia mafuta ya taa, au rangi ili...
  16. Mkogoti

    Kunywa maziwa popote yalipo: kunywa sana tu, ukiyapata ya kunyonya we nyonya sana tu

    Habari za mida hii Wakuu natumaini shughuri zetu zinaenda vizuri Leo bwana mida ya asubuhi hivi nilikuwa natazama Clouds 360 ila kuna clip flani ya Mkuu wa Wilaya ilionyeshwa anasema kwamba leo ni siku ya maziwa duniani yani ya kunywa, Anasema kwamba ukipata maziwa we piga tu mpaka basi...
  17. Kizinga mpemba

    Mtoto wa miezi 2 analia mpaka napata wasiwasi na maziwa hataki kunyonya na nipo mbali na hospitali tatizo linaweza kuwa ni kwa wenye udhoefu wa watoto

    Msaada wa haraka mtoto wa miezi 2 analia mpaka napata wasiwasi tatizo linaweza kuwa nini mbaya zaidi maziwa hataki kunyonya. Kuwa ni kwa wenye udhoefu wa watoto
  18. Makanyaga

    Kwanini mwaka 1997 ilinyesha mvua kubwa sana ya El Nino lakini maziwa hayakuleta mafuriko?

    (SEE SWAHILI VERSION BELOW: SOMA CHAPISHO LA KISWAHILI CHINI) Big earthquakes might make sea level rise worse. Here's how. The Samoan islands are sinking faster than expected due to warming alone, and a pair of huge quakes is likely to blame. Source: Big earthquakes might make sea level...
  19. Zanzibar-ASP

    Tanzania yageuka kuwa kitovu cha kusambaza maambukizi ya COVID-19 ukanda wa maziwa makuu?

    Sio siri tena kwa sasa Tanzania inatajwa vibaya sana duniani kuhusu mapambano dhidi ya COVID-19. Bahati mbaya hali hiyo imepelekea kuitaja Tanzania kama kitovu kipya cha kusambaza maambukizi ya COVID-19 (Covid-19 Epicentre) kwa ukanda wa maziwa makuu. Hali hii inatokana na hatua ya nchi kadhaa...
Back
Top Bottom