Maji Mazuri is a small town in Kenya's Baringo County along the Makutano-Ravine-Kampi Ya Moto highway. This is the most southerly tip of the greater Baringo area. It neighbors Kericho's Londiani and Nakuru's Kamara areas. The settlement was formed by migrants who used to work in the Koibatek Forest, but were either retrenched or retired at one time. As such, Maji Mazuri is home to people from different ethnic groups of Kenya. The Agikuyu and Tugen people are the majority population in the larger Maji Mazuri location of Eldama Ravine division.
Tanzania ina vivutio vingi vya utalii, vingine ni maarufu na vinajulikana sana, lakini kuna maeneo mengine ambayo ni mazuri zaidi kutalii na hayajulikani sana. Hapa kuna maeneo kadhaa ya kutalii Tanzania yasiyojulikana:
Maziwe ya Chumbe: Hii ni kisiwa kidogo kilichoko kusini mwa Zanzibar...
MJ maziwa jumla tuna uzoefu wa miaka mingi wa kuzalisha maziwa na kutengeneza mtindi bora kabisa, kwa walioona na kunywa maziwa yetu watakubaliana na mimi
Tunazalisha na kutengeneza mtindi zaidi ya lita elfu 1000 kwa siku hivo kwa wakazi wa Dar es Salaam ni wakati wa kunywa maziwa...
Wasalaam JF,
👇👇👇
Hakika ni vema mwezi huu wa mfungo wa ibada naomba ikawe neema na nuru ya ukombozi, wanawake wote wapendwa waislam maustafhati wote wafanye mazuri na wajaaliwe kama Bi Khadija.
Na kheri ikawe nanyi wote, binti zetu, dada zetu, mama zetu, shangazi zetu, na Bibi xetu nyote...
Za usiku huuu wanangu
Jioni ya leo nimefukia msomi wa maana sana
Hii ni kutokana na njjaa kali niliyokuwa nayo
Sasa after menu nikawa najisikia kutapatapa na kama mwili mzito
Inshort nilijidikia kama kuna unnecessary energy in me
Basi kuona hivyo nikasema isiwe shida nikamvuta mama G wangu...
Habari wadau nauza maharage mapya mazuri ya njano kwa bei ya jumla.
kilo moja nauza shilingi 2500.
Mzigo upo tani 2 na nusu asante.
Tuwasiliane kwa namba ya simu
+255789740368
~ Tozo kandamizi.
~ Ufisadi uliotamalaki tangia aingie madarakani.
~ Maisha kupanda bei, leo hii kula mlo mara mbili ni anasa. Maana maharage tu ni Tsh. 3,000.
~ Kufutia mafisadi makosa huku wasio na urafiki nae wakisota gerezani
~ Ndege za waarabu kushusha makontena hifadhi za taifa.
Wanabodi,
Hii ni Makala yangu ya Kwa Maslahi ya Taifa Jumapili ya leo, Tarehe 19 Mwezi Machi, ambapo leo ndio miaka miwili kamili ya Rais Samia madarakani, aliapishwa kuwa Rais wa Tanzania siku kama ya leo, miaka miwili iliyopita.
Kuna msemo wa Kiswahili usemao, "mgema akisifiwa, tembo...
Nikiwaambiaga watu ya kwamba Afrika tamaduni zetu na dini zetu za asili ni bora kuliko hizi dini zilizoletwa kwa ajili ya biashara ambazo ni ukristu na uislamu huwa wanabisha.
Hebu tazama maasai, hawa jamaa wanaweza ishi na mtu yeyote. Hawana tabia za ajabu ajabu na za kishenzi kama hawa jamaa...
Leo ikiwa ni kumbukizi ya Hayati Dkt. Joseph Pombe Magufuri, Rais Samia Suluhu amemtakia pumziko la amani na amesema anaendelea kuendeleza yale yote mazuri yaliyoachwa na uongozi wa Awamu ya tano.
Miaka 2 tangu magufuri aondoke na ikiwa ni miaka 2 tangu Rais Samia Suluhu ashike madaraka tumeona...
Be warned, This post is strictly for God's Believers. If you'll find it useless, you're strongly advised not to provoke or outrage targeted Audiences.
Natumaini nyote mko salama, and so do I.
Tatizo la wa toto kutoku[patina na wazazi lipo sana, haijalishi ni mzazi wa kiume au wa kike wengi...
"Pamoja na mapungufu ya Hayati Magufuli lakini kuna mazuri pia tulipaswa kuyaendeleza mfano nidhamu kazini, uoga kwa mali ya umma na kuheshimu wananchi"
Mchungaji Peter Msigwa
Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Nyasa
Chanzo: Jambo TV
Asalaam Aleykum wapendwa wana jamvi. Ama baada ya salamu hizo napenda kuishukia mada tajwa hapo juu kama ifuatavyo;
Nimefanya utafiti kulingana na kiwango changu cha elimu nilichonacho, nikagundua kwamba, kila mara Mh. Rais, mama yetu kipenzi Samia Suluhu Hasani akimtaja mtangulizi wake kwa...
ZINGATIA:
Hakuna mafanikio yanayokuja kiurahisi, utahitaji juhudi, muda, uvumilivu na kujifunza Zaidi mpaka kupata matokea hivyo usitegemee kupata matokeo ya haraka unapoanza kufanya ishu yoyote mtandaoni.
Haya tuangalie njia hizi.....
1. Uhandishi wa maudhui mtandaoni (Online Content...
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (wakwanza kulia) akimwelezea Balozi wa Denmark nchini, Mette Nørgaard Dissing-Spandet (wapili kushoto) juu ya Mkakati mpya wa Miaka Mitano wa Biashara wa Benki ya CRDB wa 2023/2028 wakati ujumbe wa Benki hiyo ulipotembelea katika Ubalozi...
Watu wawili wanaonesha interest kwangu.
Mmoja ana hela chafu, nikikohoa muamala unasoma. Na kwake ni full kiyoyozi, gari kali, geto kali na mipango ya maisha iko kwenye mstari.
Huyu mwingine mm ndiye nampenda haswa, nikimuona nategwa kihisia kama samaki kaona chambo. Lkn huyu kiuchumi...
Kufuatia Wakala wa Mabasi yaendayo Haraka (DART) kumtangaza bei mpya za nauli, nimeona mtazamo wa baadhi ya watu ukiwa kulekule vitu vinapanda bei sana.
Kufuatia mtazamo wa namna hiyo nami nitachangia machache juu ya faida za kupanda kwa nauli za usafiri huo husasani katika suala zima la...
Nimeamka sina kifungua kinywa, ilipofika saa 5 hivi nikakoroga uji kwa kutumia maziwa yaliyokuwepo kama nusu lita hivi!! Nilikunywa huo uji mtamu na moyo ukaridhika kuwa hayo ndiyo maisha mazuri. Nikiwa mitaani hakuna anayeweza kuhisi kuwa nimeshindia uji.
Kwa kweli kuridhika ni faida kubwa...
Habari za majukumu ndugu zangu wa Jf,
Kama kichwa cha habari kinavojieleza yaani nimekuwa sina hisia kabisa na huyu binti ambae ni dhahiri kabisa anaonekana kabisa kuwa na faida kwangu.
Kwanza ni mpole, msikivu na mcha Mungu na ninaona kabisa huyu ni mke bora kabisa kwangu ila tatizo sina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.