mazuri

Maji Mazuri is a small town in Kenya's Baringo County along the Makutano-Ravine-Kampi Ya Moto highway. This is the most southerly tip of the greater Baringo area. It neighbors Kericho's Londiani and Nakuru's Kamara areas. The settlement was formed by migrants who used to work in the Koibatek Forest, but were either retrenched or retired at one time. As such, Maji Mazuri is home to people from different ethnic groups of Kenya. The Agikuyu and Tugen people are the majority population in the larger Maji Mazuri location of Eldama Ravine division.

View More On Wikipedia.org
  1. Gaddaf i06

    "Mtanikumbuka kwa mazuri, wala si kwa mabaya"

    YAJAYO: Je! Wewe ni nani? Unajua kuwa wewe ni nani katika jamii? Jamii inakutambua kama nani? -Siku ukifa utakumbukwa kama nani? -uliefanya nini? na -kwa faida ya nani? -ni alama gani itakayokuwa chanzo cha wewe kukumbukwa? -umepanda mbegu gani itakayoendelea kustawi katika jamii? -kifo chako...
  2. DR HAYA LAND

    Maisha mazuri ni kuishi katika utakatifu tu

    Hakika nikijiangalia kipindi changu cha Majira ya upofu ambapo nilikuwa sijaamua kuishi katika Maisha ya utakatifu. Naona mabadiliko makubwa sana. Nchi ya ahadi ni nzuri, imejawa na asali. Nauona mwisho wangu ukitamatika katika haki na kweli. Vijana mtafuteni Mungu wa kweli acheni kuishi...
  3. S

    Madereva wa Bodaboda: Mazuri na vituko vyao

    Baadhi yao wana mazuri na wengi wao wana vituko vya hatari vya kuhatarisha usalama wao na abiria wanaowabeba baadhi nimeviona vituko ni kama hivi- 1. Nimemwona akiendesha kwa kasi huku akijiangalia kivuli chake wala haangalii mbele. 2. Mmoja alikuwa kasi huku akiangalia vumbia analotimua nyuma...
  4. Msanii

    Uzi maalumu: Tukumbushane mazuri ya viongozi wetu

    Baniani mbaya, kiatu chake dawa. Uzi huu ni mahususi wa kuyakumbuka mazuri ya viongozi wetu ambao wa ngazi ya kitaifa. Viongozi hawa ni wa kisiasa ambao wapo serikalini au kambi ya upinzani. Viongozi ambao wapo hai au wametangulia mbele za haki. Niwaombe wanajukwaa tufunguke yale mambo ambayo...
  5. Diversity

    SI KWELI Maziwa ya kwanza ya Mama yenye rangi ya manjano ni hatari kwa mtoto

    Kumekuwa na mtazamo kuwa maziwa ya kwanza ambayo mama huyapata mara baada ya kujifungua si maziwa yafaayo kwa mtoto. kutokana na mtazamo huu wanawake wengine huyakamua na kuyamwaga mpaka yanapotoka maziwa ya rangi nyeupe.
  6. M

    KASULU: CCM yawaahidi wanakigoma na Watanzania 2025 kuwarejeshea tena kipenzi chao Samia Kwani ndani ya mwaka mmoja tu amefanya mengi mazuri,

    CCM-tanzania yawaahidi wanakigoma na Watanzania kuwarejeshea tena kipenzi chao Mama Samian Suluhu Hassan 2025 Kwani ndani ya mwaka mmoja tu amefanya maajabu mengi, === Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema Mwenyekiti wa CCM na Rais...
  7. M

    Tunakosea tunaposema mazuri aliyofanya hayati Julius Nyerere huku hatusemi mabaya aliyofanya na yametugharimu kama taifa

    Kweli alipambana akasomesha wananchi wake na akahakikisha kuwa taifa linakuwa na umoja na mshikano. Lakini ukweli kuwa aliharibu uchumi wa taifa na kuliacha masikini huwa hauwekwi wazi. Hayati Nyerere alisahau kupambania uchumi wa taifa lake. Akabaki kupigana vita kuzikomboa Uganda, Zimbabwe...
  8. Crocodiletooth

    Tuige mazuri na yenye tija toka kwa jirani Zambia

    Zambia has lifted visa requirement for travellers from several major source markets such as Canada, China, European Union and the United States in a move aimed at injecting life into a tourism sector negatively impacted by the COVID-19 pandemic. In a notice on Sunday, the Zambia Tourism...
  9. Sildenafil Citrate

    Bibi wa miaka 67 asimulia alivyosifiwa kuwa na mapaja mazuri kisha kubakwa

    Kijana mwenye umri wa miaka 48 mkazi wa kijiji cha Mwika wilaya ya Moshi, Stanley Urio aliyemsifia bibi wa miaka 67 kuwa ana mapaja mazuri kabla ya kumpiga mtama na kumbaka, amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela. Hukumu hiyo imetolewa leo Septemba 30, 2022 na Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Hakimu...
  10. Satisfy

    Mwenye kujua mbegu bora ya hoho yenye matokeo mazuri dhidi ya tatizo la kinyaushi

    Wakuu habari. Naombeni msaada anayeijua mbegu bora ya hoho inayoweza kabiliana na tatizo la kinyaushi. Aise ili tatizo limekuwa changamoto sana kwa baadhi ya mazao ya mbogamboga. Ikiwezekana taja jina la mbegu na bei yake kulingana na gram Nitashukru sana nikipata huo msaada
  11. Bujibuji Simba Nyamaume

    Mungu nisaidie nitimize ndoto yangu ya kumsaidia mtu mmoja tu abadilishe maisha, akawe na maisha mazuri kabisa

    Kila mtu ana ndoto yake. Wapo ambao ndoto zao ni kuwa wafanyabiashara wakubwa wenye mapesa, wapo wenye ndoto ya kuwa maraisi, wapo wenye ndoto za kuwa na upako mkubwa kupitiliza, wakiliga chafya wafu wafufuke. Kwa kweli furaha yangu niweze kumsaidia mtu mmoja, awe mume au mke, mwana JF au...
  12. Mlalamikaji daily

    Pamoja na mishahara ya sasa ilivyo bado walimu waliishi maisha mazuri zamani kuliko sasa

    Kwa bahati babu, bibi, baba na mama yangu wote walikuwa ni walimu, na mimi mwenyewe nikafuata nyayo kwa miaka 10 kabla sijakimbia nilichoona kipindi kile cha zamani. 1. Makazi/Nyumba za walimu zilikuwepo, walimu walikaa kwenye maeneo ya shule na hata kama hakukuwa na nyumba basi kijiji au...
  13. sky soldier

    Je, ni kweli kufanya kazi kwa wazungu huwa kuna maslahi mazuri pamoja na kujaliwa utu au ni stori tu za vijiweni?

    Wengi (sio wote) Kunakuwaga na zile stori kwamba ukifanya kazi kwa mzungu umelamba dume, kuanzia maslahi yaani Mshahara na posho utapata kwa wakati tena kwa kiwango kizuri, utahehimiwa utu wako n.k. Ila sasa ukiwa mvivu, inachelewa kazini, kutoka toka muda wa kazi, kunaongea sana kuliko kazi...
  14. N

    Tazama mambo makubwa 5 yaliyoboreshwa Tanzania

    Serikali ya awamu ya sita imeboresha mazingira ya uwekezaji na haya ni baadhi ya maeneo ambayo yameboleshwa; Uchumi Imara Uchumi wa Tanzania umekua kwa asilimia 4.9, hii inatokana na mageuzi makubwa ya kiuchumi na sera nzuri nchini zilizofanya na Rais Samia Suluhu Hassan Utajiri wa maliasili...
  15. I

    Nikipeleka kuku chotara kijijini nitapata matokeo mazuri?

    Wakuu hivi kwa mazingira ya kijijini ambapo kipato cha wengi ni cha chini, kuku wa chotara wataweza kuboresha maisha ya mwanakijiji? Na kama sio hao, je ni kuku wa aina gani ni chaguo bora zaidi?
  16. kyagata

    Inakuaje shule ya serikali inapata matokeo mazuri kama haya?

    Yani shule ya serikali haina division 4 wala zero? https://matokeo.necta.go.tz/acsee2022/results/s0129.htm
  17. K

    Siku hizi naona Walimu wana maisha mazuri sana

    Nimepita sehemu fulani mitaa ya Madale kuna shule moja ya secondari ya kata, nimekuta magari kama 20 hivi yamepaki nje. Nikajaribu kuuliza kama hayo magari ni ya walimu au wazazi wamekuja kuhudhuria vikao vya shule, nikajibiwa ni ya walimu. Kumbe walimu mambo mazuri siku hizi eeh? Mitano tena...
  18. ommytk

    Kuna uhusiano gani kati ya unene na mtu aliyefanikiwa kimaisha?

    Kuna hii hali mara nyingi naiona kwa watu aidha hata wewe unaweza kuwa umekutana nayo unakuta mtu alikuwa mwembamba labda akaanza kunenepa basi watu hutokea sana kumsifia kuwa mambo yake yamekuwa mazuri. Je, unene ni kipimo cha maendeleo yako kimaisha?
  19. P

    Kazi[Careers] zenye future na maslahi mazuri Tanzania

    Katika karne hii ya 21, kijana mwenye maarifa na maono atakuwa anafahamu kuwa bila kuchagua career sahihi maisha yatakuwa magumu. Ninaposema taaluma au Careers nzuri, maslahi japo ndio la kwanza lakini pia kuna kitu kinaitwa quality of life au tuseme work-life balance. Yani unaweza...
  20. B

    Je, Kuna watu wasio na Imani na Rais? Mbona nguvu kubwa inatumika kuwaaminisha Watu mazuri yake? Wanaomsifu wana Iman naye?

    Fuatilia siasa za nchi mbalimbali Duniani, RAIS wa nchi anapokuwa katika miaka ya uongozi ambayo siyo ya uchaguzi uwezi kusikia kusifu na kumwabudu Kama ilivyo Tanzania Hali inayoendelea nchini Kwetu inafanya baadhi ya Watu kuhoji labda wanaosema Wana imani na RAIS hawana Imani naye Bali...
Back
Top Bottom