Enhle Mbali Mlotshwa (born 3 March 1988), is a South African actress, TV presenter and fashion designer. She is known for her breakthrough role on the South African Television Series, Tshisa. She launched the maternity wear range SE Preggoz in South Africa and New York in 2015.
Nadhani hili ni dili! Ukraine inapewa silaha hewa halafu wajanja wanaweka fedha mfukoni!! Kuna taarifa ilitoka kuwa ni asilimia 30 tu ya silaha zinazotolewa na nchi za magharibi kwenda ukraine ndizo zinazowafikia walengwa!! Watoa kodi wa nchi za magharibi wanapigwa pakubwa sana!! Silaha za dola...
Serikali ya India imeondoa Muswada wa ulinzi wa data na faragha wa 2019 unaotajwa kuipa Serikali Mamlaka ya kuuliza Kampuni kutoa taarifa binasfi za Wateja wa Kampuni za Teknolojia ili kusaidia kutunga Sera, kinyume na Sera za Kampuni hizo
Serikali imesema hatua hiyo ni baada ya mapitio ya...
Kwa kazi nzuri na ya kutukuka huko Takukuru, Kamishna wa Polisi, Salum Hamduni namuona akifika mbali sana katika vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
Kuna sauti ndani yangu inanambia, CP Hamduni atapanda juu zaidi siku si nyingi toka sasa.
Kwahyo wale waliobakia, ambao taasisi zao hazijaguswa...
Kwa tunaojua boxing hii ni kawaida stunts kama hizi. Ila kibongo-bongo Mandonga kazidi mikwara. Kama una roho ndogo unaweza usitokee ulingoni.
Kesho sio mbali Mandonga Vs Kaoneka
KIJANA mwenye ndoto za kuwa na maisha bora huonekana kwa namna mbali mbali akijituma,kujishughulisha na kutumia mda wake mwingi kwa asilimia kubwa kuzalisha fedha ili aweze kutimiza malengo na mipango anayotamani kuwa nayo ili kuuoa moyo wake kile kitu unahitaji.(vijana wa namna hii huwa Ni...
Tumetoka mbali sana. Nakumbuka hapo kale tulikuwa tunasoma na vibatari na taa za chemli. Yaani unaweza kugombezwa umesoma ukamaliza mafuta ya taa. Nakumbuka tulikuwa tukipasi nguo na mkaa wa magunzi ya mahindi.
Nakumbuka pipi tofe. Hakika wakati mgumu hutengeza watu imara.
Waungwana naomba kujua bei ya jumla ya nondo sasa hivi maana sisi tunaoishi mbali mafundi wanatupiga sana. Natanguliza shukrani.
Ndugu zangu naomba msaada wa kujua bei za jumla za nondo Dar
Kwa mambo yanayoendelea hapa nchini kwa sasa, Ni wazi kwamba wananchi hawana tena imani chini ya uongozi wa awamu hii ya sita. Kila unapoenda ni lawama na hali ya kutoridhika na utendaji wa serikali. Mambo haya yamekuwa yakilalamikiwa sana.
1: Uchumi wa Tanzania Umeporomoka. Laiti kama uongozi...
Wako watu sasa hivi wanatamba, kana kwamba wamesahau yaloyowapata wenzi wao waliodhani ni wao duniani hata wengine walidiliki kutoa shuhuda kwamba ktk wanaokula raha ni wao tu duniani.
Hali ile ile wengi walio upande Wa mshika mpini, wanajisahau kana kwamba waliopita hawakuwa na akili...
Japo sio wote ila kuna aina flani ya wazazi ambao linapofika swala la kuoa au kuolewa wana tabia ya kuwapinga watoto wasioe au kuolewa kutokana sababu wanazozijua wenyewe kama vile kabila , Dini, familia n. K kwa hofu watoto watakuja kuteseka
Je katika hili kuna ukweli wowote ule
Yule jamaa ukiachilia kisasi na chuki aliyokua nayo kwa baadhi ya vitu na watu alikua raisi mzuri sana aliboresha hata utendaji serikalini.
Sasa hivi document inatoka unaambiwa bado mtu 1 kusaini huyo mtu sasa anaingia asubuhi kazini anafungua App kwanza kuangalia Tamthilia aliyoimiss usiku...
Rais Samia: Jiji la Dar es Salaam limetangazwa na jarida la African tour magazine kuwa jiji la sita kwa usafi barani Afrika. Na tumetoka mbali, kwa wale wanaoikumbuka Tanzania miaka kidogo ya nyuma, tulikuwa na vijibanda na vimwamvuli kila pahali kwenye street.
Lakini kwasababu ya kutekeleza...
Kuna mabadiliko makubwa sana katika ushindani wa matokeo ya kidato cha sita. Wakongwe waliotesa kwa miaka mingi wamepigwa mweleka mkali wakiwemo Marian Girls, Feza boys, Marian boys, Feza boys, Kibaha sekondari, Uwata sekondari nk. Je tatizo ni nini? Mkeka huu hapa:
Kemebos Sekondari, Kagera -...
Kaa mbali sana na mwanamke anayeandika jina lake kwa staili hii akiamini amelipatia
- Mtu anaitwa Lilian yeye anajiandika Lilyan/Liliani au Lylyany.
- Janeth yeye anaandika Janethi/Janeti/Janethy
- Mary au Maria yeye anaandika Marry/Merri/Meli/Malia
- Priscilla/Priscillah anaandika...
Ukiona mtu damu yako na yake haziendani yani hakukubali kaa naye mbali jiepushe naye kabisa kaa naye mbali.
Kama unanamba yake ifupe upesi usiangalie status zake wala wewe asiangalie status zako.
Haijalishi ni shangazi mjomba rafiki nk kwa kuwa tu damu zenu haziivi jiepushe naye
Mwanaume kabla ya kuoa hakikisha umejipanga kwa kipato, ili uweze kumhudumia mkeo bila shida. Usiwe mtu wa kusubiri michongo, mshahara ama kibarua. Uwe na akaunti imenona na biashara iliyostawi.
Majibu haya ya wanaume kwa wake zao huvunja ndoa haraka mno
1. Unataka kufanyia nini?
Yaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.