Biblia inaeleza hatma ya mtu asiye Mkristo kwa njia tofauti, ikizingatia imani katika Yesu Kristo kama msingi wa wokovu. Hapa kuna baadhi ya mafundisho yake:
1. Yesu Kristo Ndiye Njia Pekee ya Wokovu
Yesu alisema:
"Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi"...
Katikati ya Ureno, kuna muundo wa miamba ambao unakinzana na matarajio yote ya kisayansi..
Upinde wake wa kustaajabisha na usio na dosari unazua swali—ni nini hasa kinaendelea hapa? Je, hii ilichongwa na nguvu tatanishi ya asili, au kuna kitu kibaya zaidi kinachoendelea hapa?
Taswira ya...
Najiuliza, je mbinguni ni mahala panatisha kiasi hiki? Kwamba hata watu wanaotufundisha kwamba Mbinguni ni mahala pazuri wanaogopa kwenda?
Kwa mfano, hebu fikiria, Papa mwenye zaidi ya miaka 88, umri wa kutosha kabisa, bado anapambania afya yake na uhai wake hospitalini ili apone. Madaktari...
Hivi bado kuna Waafrika wanaamini wataenda mbinguni kwa kwa kubatizwa na kusilimu majina ya kizungu na kiarabu?
Ujinga ukizidi hubadirika kuwa dhambi!!
Salaam, Shalom!!
Akifundisha katika semina jijini Mbeya Jana tarehe 26 January,Mwalimu Christopher Mwakasege amerudia kauli aliyowahi kuitoa kabla.
Amesema, asubuhi, walipokuwa katika bible study ya familia asubuhi ya jumapili hiyo, Mkewe alimuuliza swali kuwa ikitokea ametokewa na YESU...
Moderator naomba uache Uzi huu ujitegemee wenyewe tafadhali
Wadau hamjamboni nyote?
Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu ya theolojia
Sabato njema
Naye akiisha kusema hayo, akawavuvia, akawaambia, Pokeeni Roho Mtakatifu.
Wowote mtakaowaondolea dhambi, wameondolewa; na wo wote mtakaowafungia...
Anasema ndio maana kitabu kinachohusu watu kwenda mbinguni (ufunuo) kimewekwa mwisho kwa maana sio kipaumbele cha Mungu.
Kipaumbele cha mcha Mungu ni Hela au Pesa. Anasema hata ukimuita popote atatetea hoja yake.
👇👇👇👇👇
https://vm.tiktok.com/ZMkHPdmAq/
My take.
Miaka ya mwanzoni mwa tisini...
Karma ama moto kutoka mbinguni usiozuilika unaishangaza Marekani yote na ulimwengu mzima!
Wanasema ni moto wa nyika lakini hapana California inachomwa na Mungu ! Jitihada zote zimegonga mwamba ujuzi na uweledi wote umefika mwisho sasa moto umesambaa Kila mahali!
Magorofa makubwa na mall pamoja...
Kuna watu wanadanganyana eti kwenda mbinguni ni kubet.
Hivi logic ya mpako wa wagonjwa nini? Kwamba unaweza kubet dakika za mwisho ukapaa kwma kwa zari?
Logic ya kutubu dhambi ni nini? Kwamba unaweza kutendq dhambi kama kuzini, kuua nk halfu ukaendq ku bet na automatically ukaend mbinguni...
Salaam, Shalom!
Msingi wa SWALI LANGU upo katika Sala Aliyotufumdisha Yesu sisi wanafunzi wake kusali Kwa hiyo, kwamba;
(Mathayo 6:10)
"Mapenzi Yako yatimizwe, hapa duniani kama ilivyo Mbinguni "
Swali no 1.
Kusherehekea Christmas tarehe 25 December ni mapenzi ya Mungu aliye Mbinguni?
Swali...
Hua namsikiliza sana Peter Msigwa na vichambo vyake dhidi ya CHADEMA sasa sijui tatizo ni ulimbukeni au ugeni au ushamba.
Nijuavyo mimi vyama vyote vina matatizo. Ila ndugu Msigwa anataka kutuaminisha kwamba kwa yeye kugombana na CHADEMA basi CHADEMA haina jema hata Moja.
Soma Pia:
Mchungaji...
Salaam, Shalom!!
Yapo majiji mazuri duniani Hilo halipingiki,
Lakini, Pana Jiji liitwalo Jerusalem, Jerusalem ni Jiji pekee ambalo lipo duniani na Mbinguni.
Na hayupo na hatokuwepo atakayeingia Mbinguni ikiwa Si Mwisrael wa mwilini au wa rohoni.
Ikiwa unapenda kuwa mmoja wa raia wa Jiji hili...
Wakuu heshima yenu.
Maandiko Yako wazi yanatuambia kuwa Shetani au Ibilisi aliasi huko mbinguni na akatupwa Duniani.
Na mara zote tunaambiwa Huko mbinguni hakuna dhambi maana wanaishi viumbe watakatifu tu akiwako na Mungu Baba.
Tena Bibalia inasema katika kitabu Cha mwanzo Nanukuu..
Mwanzo...
Leo nataka nikupe haya maarifa hadimu Sana, tena Sana.
Wenye hekima Watanielewa.
Kule nchi ya mbinguni au peponi, kuna itawala wa KIMUNGU. Wale wenye neema ya kuingia mbinguni watauona huu utawala.
Utawala huu Mungu ameandaa kwa ajili ya Wanadamu.
Sasa basi, kwa sehemu, Mungu ametufunulia...
Wanabariki utekaji.
Wanabariki uuwaji.
Wanabariki wizi wa kura.
Wanabariki majina feki.
Wanaiba hela za umma.
Wanafitinisha jamii.
Wanadhulumu maskini.
Haya na mengine mengi wanasiasa hawataiona pepo.
Ni hivi, upwiru unavyozidi mtu una hangaika hangaika, nimekutana na m-shangazi mmoja hivi, sasa hapa na pale tukaelewana tukaweka miili yetu kitandani
Siyo kesi, nikawa nasubiri ile sehemu ya pili, invoice, nilistaajaabishwa hakukuwa na invoice wala nini, nikasema labda kwasababu ya show ya...
Mathayo 5: 28
Lakini mimi nawaambia kwamba, yeyote amtazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.
MY TAKE:
Kuna mwanaume ataenda mbinguni kweli? Labda awe kipofu, huku kukicha mizigo huku na kule humo.
Kwahiyo kumbe hata Mimi GENTAMYCINE nikienda Kuwatembelea Marafiki zangu wakubwa hapa JamiiForums akina Mtani wangu Arovera, mrangi, Bila bila, SAGAI GALGANO. rodrick alexander na Mjeda wangu wa 521 Lugalo King Kong III na Watoto wao wakija kunipa Hela basi moja kwa moja natakiwa Kujisifu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.