Sabaya analaumiwa na wananchi namna alivyokuwa akitumia mbinu za kubambikizia watu makosa ya uongo ili apate anachokitaka.
Wakati mwingine alikuwa tayari hata kublackmail watu kwa kuwapandikizia madawa ya kulevya ili awatoze pesa.
Samia alivyoingia madarakani, tulimuona kama Mtenda haki...
Bila shaka Mungu ni mwema na ninawasalimu kwa jina la jamuhuri.
Nimeona nishee nanyi wenzangu katika kuwahabarisha kuhusu huduma tajwa hapo juu[emoji115]
Katika kusheherekea na kufurahia ushindi wa simba hapo jana niliona nipombeke kidogo[emoji38]ndipo nikajikuta mzigo kama unakata hivi...
Habari zenu wadau,
Naomba tujuzane kidogo mbinu mnazotumia kuendesha hii biashara. Kwa muda kidogo nimepata changamoto za uendeshaji wa hii biashara nikiwa kama mmiliki wa chombo(gari), kutokana na changamoto na sababu za dereva kila kukicha nkaona ngoja niangalie kama kweli biashara ngumu...
Watanzania wengi wanasumbuliwa Sana na ukombozi wa kifikra, Changamoto nyingi Sana za Maisha zinaielemea Jamii kwa sababu ya Elimu Mbovu na Mijiundo ya kiutawala tuliorithi kwa wakoloni! Hii imekua ni dhana mbovu Sana katika kuikwamua jamii katika lindi la umasikini wa fikra, mitazamo na Maisha...
1. Mazoezi:
Kufanya mazoezi, mwili wenye afya nzuri daima hufanya kazi vizuri, kwa hiyo kitu rahisi cha kufanya ni kujenga tabia ya kufanya mazoezi ambayo husaidia kukujengea afya njema na kukupa mzunguko mzuri wa damu. Kama una mwili wenye afya basi inaweza kukusaidia kwa namna ya kifikra...
UTANGULIZI:
Kwa muda mrefu kumekuwapo na wimbi la ombaomba katika miji na majiji nchini kwetu. Pamoja na serikali kuchukua hatua mara kadhaa kuwaondo ombaomba hawa lakini tatizo limekuwa likijirudia kila wakati na kubakia kuwa tatizo sugu lililokosa ufumbuzi endelevu. Pengine ni kutokana na...
Kila mtu binadamu mbinu yake ya kuachana na mpenzi wake pindi anapoona amemchoka na haitaji tena kuendelea na hayo mahusiano.
Wengine huwatamkia waziwazi wapenzi wao kwamba waachane na wengine hupunguza tu mawasiliano mpaka mahusiano yanakufa kabisa.
Binafsi ninapotaka kuachana na mwanamke...
Moja kati ya vitu mahimu sana katika kuinua uchumi wa inchi pamoja na kuleta maendeleo kuanzia kwa mtu mmoja mmoja adi kwa taifa ni biashara, kuna biashara za aina nyingi nyingi kama vile maduka ya vyakula, magenge, nakadhalika.
Kila biashara unayoiona, kuijua au kuimiliki usije kamwe...
Moja kati ya vitu muhimu sana katika kuinua uchumi wa nchi pamoja na kuleta maendeleo kuanzia kwa mtu mmoja mmoja adi kwa taifa ni biashara, kuna biashara za aina nyingi nyingi kama vile maduka ya vyakula, magenge, na kadhalika.
Kila biashara unayoiona, kuijua au kuimiliki usije kamwe...
Kipindi hiki chadema inadeal na Nguli aliyepitia mashirika yasio ya kiserikali yaa NGOs ambazo hunena lugha inayoeleweka kimataifa hivyo ule mtindo wa kutengeneza matukio na kwenda kuomba huruma ya vyombo vya habari utashtukiwa mapema sana.
#CNNachauongo
Katika maisha yetu ya kila siku ,binadamu hujikuta akizalisha takataka ( uchafu ) mwingi kila siku ili kukidhi maitaji yake, Hivyo basi kujikuta katika wimbi la uchafuzi wa mazingira. Ambapo athari zake ni kama vile magonjwa ya mlipuko,ajari nakathalika.
Leo tunaenda kuona namna ambavyo maisha...
Kila pale Mechi ya Yanga SC na Simba SC ikikaribia tu ni lazima Klabu ya Yanga itaibuka na Kumtahadharisha Mwamuzi ( Referee )
Kitendo kilichofanywa leo na Yanga SC cha Kumkataa Mwamuzi Ahmed Aragije si tu ni cha Kishamba bali pia ni cha Kipuuzi (Kipumbavu) sana.
Na bahati nzuri ukiyasikiliza...
Nataka nianze biashara ya kuuza kuku wa kienyeji, kuwatoa mikoa tofauti tofauti na kuwauza Dar es salaam.
Naomba mnipe mbinu mbali mbali za kufanya biashara hii, haswa upande wa masoko, na bei ya kuuzia.
Mzunguko wa fedha ni kiwango cha fedha ambacho kipo katika jamii kupitia matumizi mbalimbali ya serikali. Mzunguko wa fedha hutokana na sera mbalimbali ambazo ni zimewekwa na Bank kuu katika kuruhusu kiwango cha mzunguko wa fedha
KWA NAMNA GANI MZUNGUKO WA FEDHA UNAWEZA KUWA MDOGO
Mzunguko wa...
Kwa wamiliki wa saluni,
Unapigiwa simu kuna deal la kusuka watoto yatima wa kituo cha Mama Mkapa kila Jmosi toa hela upewe tender.
Mama ntilie na wapika chips.
Kuna tender ya chips kuku na mayai kila week mara tatu kwa watoto yatima 100.
Toa hela upate kazi.
NB: Wanangu tu hawali chips kuku...
Mbinu za kupata mafanikio kwenye masomo fanya haya
1. MTANGULIZE MUNGU KATIKA MASOMO YAKO.
Hili ndio jambo kubwa katika mafinikio ya kielimu.Mungu ndio kila kitu,hakikisha unajenga tabia ya kuombea masomo yako kila siku na kila mara,kila siku unapoamka asubuhi kabla ya kwenda shule au chuo piga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.