Habari,
Mimi ni mfanyabiashara , nina duka la rejareja( fremu) na store, nipo mabibo Dar
Nahitaji kununua Mchele na maharage kutoka mbeya, au tunaweza kufanya makubaliano ya kukuuzia maharage ,mchele n.k dukani kwangu
Uaminifu 100% ,
Njoo DM
Namba yangu 0788768480
Piga au tuma meseji.
Asanteni