mchungaji msigwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ritz

    Mbowe jibu hoja za Mchungaji Msigwa, acha kumtisha. Umepoteza ushawishi kwa Watanzania

    Wanaukumbi. MBOWE KATAPIKA MAPEMA SANA WAKATI KAZI NDIYO INAANZA NI KICHEKESHO sana kwa Mbowe ambaye ni kinara wa kuropoka kauli za hovyo na za uongo juu ya CCM ,serikali na Rais Samia ambazo wangeamua kumpeleka mahakamani basi angekuwa na kesi mpaka mahakama ya mwanzo Buguruni kwa kuwa...
  2. J

    Pre GE2025 Mchungaji Msigwa amebeba taswira halisi ya Wapinzani wa Tanzania

    Fikiria jinsi Mchungaji Msigwa alivyoaminiwa na Chadema pamoja na Wanachama wote Kumbe ni Fursa ya Vyeo na kupata Fedha ndio ilimuweka Chadema lakini hakuwa na Mapenzi yoyote na kile Chama Mchungaji Msigwa alipokosa cheo na Fedha akajisalimisha Chama Dume faster Na hii ndio Tabia ya wapinzani...
  3. Ritz

    Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Wanaosema msitoke CHADEMA kwakuwa kuna future ni uongo mtupu, wao wenyewe hawana hiyo future

    Oh Msigwa kuhamia ccm kajimaliza kisiasa, nonsense kabisa! Yaani siasa nchi hii lazima ufanyie CHADEMA, wewe ambaye hujaisha kisiasa unafanya nini! Kisiasa ukoje! Oh vijana msitoke CHADEMA mna future nzuri, uongo tu. Hao wanaowambia mnafuture wao wenyewe hawana future! Pia soma==>> Mchungaji...
  4. L

    Pre GE2025 Mchungaji Msigwa Awakaanga CHADEMA kwa Ujumbe wa Picha

    Ndugu zangu Watanzania, Mchungaji peter Msigwa anaendelea kufurahia maisha mapya ndani ya CCM,hali inayomfanya aendelee kujuta kwanini alipoteza muda kwenye chama cha CHADEMA kilichokosa muelekeo,Dira na hata sera zenye kugusa maisha ya watanzania. Chama ambacho kimejaa udikiteta na kuendeshwa...
  5. Tlaatlaah

    Pre GE2025 Mzimu wa Msigwa waitesa CHADEMA hofu ya gharika nyingine kutokea yatanda

    Hofu imetanda CHADEMA tahadhari ni kubwa, kana kwamba kuna uwezekano wa muandamizi mwingine akawa anajiandaa kuachia ngazi na kubwaga manyanga chamani soon. Imefikia mahali, kila kiongozi mwandamizi wa CHADEMA hivi sasa anaweweseka kwa kumzungumzia Mchungaji Peter Msigwa kwa tahadhari, nidhamu...
  6. M

    Kwa hali ilivyotokea kwa Tundu Lissu Mbeya kweli kulikuwa na mpango kuhamia CCM hivi karibuni kama Msigwa alivyokuwa anatuambia?

    Siasa tofauti na dini. Dini hata uteswe vipi, uhadiwe mabilioni ya shilingi hutakiwi ubadilike Nitaoa mifano yaliowakuta watu enzi za tawala za nyuma kabisa kwa mfano 1.Bilal ibn Rabah (RA): Alikuwa mtumwa wa kipagani wa Kikuraishi, Umayya ibn Khalaf. Alipokea mateso makubwa, ikiwemo kuwekwa...
  7. J

    Yaani kwa sasa Happi na Richard Kasesela ni Mabosi wa Mchungaji Msigwa, Dunia ina uonezi sana

    Kuna Wakati Mchungaji Msigwa akiwa Mbunge alitaka kumpiga DC Richard Kasesela pale Uwanja wa Ndege Nduli Sema kwa bahati Salim ASAS akawaambia Leo ndio hivyo tena Mchungaji Msigwa anaripoti kwa Komredi Kasesela Mnec Dunia simama nishuke Mlale Unono 😀😀😀🔥
  8. BARD AI

    Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Mbowe amezungukwa na Wahuni halafu anasema atachukua Nchi!

    Ukiangalia Mbowe anaruka na helikopta halafu anasema mwaka huu kunja ngumi, kunja ngumi tunachukua nchi, nikimwangalia Mbowe anasema atachukua nchi hebu angalia 'line up 'yake unamwona Waziri Mkuu kwenye timu yake? Unamwona Naibu Waziri Mkuu kwenye timu yake? Unamwona Waziri wa Fedha Mwigulu...
  9. Mmawia

    Mchungaji Msigwa unatuabisha wana Iringa, kumbe ulikuwa unatudanganya!

    Sisi wana Iringa tumeamini kuwa wewe siyo MCHUNGAJI kabisa. Wakati bado upo cdm ulikuwa unatuaminisha kuwa hakuna chama makini kama cdm. Ukatushawishi tukakuchagua kupitia cdm na ukasema kuwa ccm siyo chama kabisa bali ni walaghai na wachumia tumbo. Leo hii tena unatuambia kuwa ccm ndiyo...
  10. Pang Fung Mi

    Pre GE2025 Je, Mchungaji Msigwa kaikimbia CHADEMA kwa ufukara wake au amevutiwa na Demokrasia na kutokuwepo kwa Umungu mtu ndani ya CCM?

    Shalom, Kazi ya uzushi ya kubweka, kubwaka na kubwata vyataka ule ushibe Nimewaza kuhusu kauli za mchungaji Msigwa hasa juu ya tuhuma za Mbowe kuwa fisadi na Chadema kuwa Mali binafsi ya Mbowe. Tangu kitambo Chadema ni Mali ya Mzee Mtei ambayo sasa iko chini ya Mbowe na familia pamoja na...
  11. ngara23

    Mchungaji Msigwa usoni hafanani na CCM, hatumwoni kama mwenzetu

    Mwanasiasa mkongwe aliyehamia kwenye Chama chetu CCM kutoka CHADEMA hatumwoni kama mwenzetu. Kila akiongea namwona kama hajajua miiko, mtoto unajaa mate, anaropoka tu. Alivokuwa CHADEMA alikuwa mtu mahiri nondo kweli ila Sasa yupo kama dishi linayumba au amekata tamaa, Makoti hayamtoshi, sare...
  12. J

    Pre GE2025 Mchungaji Msigwa na MNEC Kasesela kuunguruma Iringa Mjini 20/07/2024, wataelezea Mabaya yote ya CHADEMA mkoani hapo!

    Usipange kukosa mkutano mkubwa wa hadhara katika Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini tarehe 20 July Mengi ya Chadema usiyoyajua yatawekwa hadharani siku hiyo Ahsanteni Sana 😂😂 Kwako Mzee Mgaya
  13. R

    Ushauri kwa CHADEMA kuhusu Mchungaji Msigwa

    JUST IGNORE HIM, MSIMJIBU, MPUUZE, MPOTEZEE (vijana wa mjini wanasema) What power is there in ignoring someone? 1. Ignoring someone can have a powerful impact since it sends the message that you do not want to engage with the person. 2. Ignoring someone can also have a strong emotional...
  14. Nehemia Kilave

    Kinachofanywa na Mchungaji Msigwa hakina tofauti na kinachofanywa na CHADEMA, nadhani kuna haja ya kubadilika

    Kiuhalisia ukitoa sehemu ndogo ya watu ambayo ni watumishi wa Serikali na wanasiasa Asilimia kubwa ya wananchi wanaamini katika Hayati Magufuli na wanampenda . Ukiingia humu jukwaani ,ukiwa ofisini na ukiwa kwenye kundi la wanasiasa utaona mnaongea lugha moja kuhusu JPM ambayo ni kama 80% siyo...
  15. Poppy Hatonn

    Pre GE2025 Napinga Mchungaji Msigwa anaposema sasa atafanya kazi ya kuikashifu CHADEMA

    Ni kweli kwamba mtu akihama Chama hawezi tena kukisifu Chama alichotoka ama sivyo ataulizwa kwanini alikihama. Lakini haiwezekani Msigwa azunguke nchi nzima aanze kusema,"Mbowe ni mnafiki,Chadema hawafai" Yeye amahama Chadema, mambo ya Chadema sasa hayamhusu tena. Waachane kwa amani na...
  16. and 300

    Pre GE2025 Maandamano ya kumpongeza Mchungaji Peter Msigwa kuhamia CCM

    Wana Iringa wote nawakaribisha katika maandamano ya kumkaribisha Mheshimiwa Dr Mchungaji Peter Msigwa kurejea CCM. TAREHE: 28 Julai 2024, MUDA: Saa 12 asubuhi, MAHALI: Uwanja wa Samora - ofisi Kuu ya Chama Mkoa.
  17. Expensive life

    Watu tunatoka mbali sana katika harakati za kutafuta maisha

    Ndugu zangu kwa sisi tulikulia katika familia za kimasikini huwa tunapitia mateso mengi sana hadi kufikia ndoto zetu. Hiyo picha hapo chini, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri sana hapa nchini, ukiitizama kwa makini unaona ni jinsi gani binadamu tunatoka mbali katika hali ya kujitafutia maisha.
  18. Tlaatlaah

    Pre GE2025 Baada ya Mchungaji Msigwa kuhamia CCM kutoka CHADEMA, unadhani kiongozi gani mwandamizi kufuata nyayo?

    Msigwa hakuwa mwanachama wa kawaida Chadema, alikuwa kiongozi mwandamizi mwenye dhamana ya kusimamia makamanda na wanachama wa Chadema kanda ya Nyasa, na alikuwa pia mjumbe wa kamati kuu Chadema Taifa. Anajua na kufahamu mambo na vitu vingi sana ndani ya chadema. Anajua vema nia, uwezo, malengo...
  19. Gulio Tanzania

    Kuondoka kwa Mchungaji Msigwa ni pigo kwa Chadema?

    Wapo manguli wa siasa walifanya kazi kubwa kukijenga chama lakini mwisho walihama vyama na wengine kung'olewa na mwisho walionekana ni wasaliti tu chama kilishinda vita hii. Kuhama kwa Msigwa kumekuja kitofauti sana na wala haikutegemewa. Baada ya mchungaji Msigwa kudondoka katika uchaguzi wa...
  20. Tlaatlaah

    Kutoka chama kimoja na kuhamia chama kingine ni uamuzi wa kijasiri na wa kipekee sana kisiasa

    Ni ukomavu, ujasiri na utashi wa kipekee sana kisiasa. Ni uamuzi mgumu na mzito sana kwa mwanasiasa. Kuachana na mazingira ambayo uliishi na watu ulo wazoea vizuri sana, na kuungana na watu wapya na wenye, itikadi, malengo na nia tofauti kabisa na chama ulichotoka. ni uthubutu wa kipekee sana...
Back
Top Bottom