mchungaji msigwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Mchungaji Msigwa yuko live Star tv asema alishawishiwa na Augustino Mrema kuingia kwenye siasa

    Mchungaji Msigwa ambaye ni mbunge wa Iringa mjini amesema alishawishiwa na mgombea urais wa TLP mwaka 2000 kuingia kwenye siasa. Up dates; Mchungaji Msigwa anasema baada ya kumpigia kampeni Mrema aliachana na siasa na kujikita kwenye mambo ya Kanisa. Mwaka 2005 Chadema walimwomba agombee...
  2. M

    Mchungaji Msigwa umetukosea heshima wanandugu kwa kushindwa kutambua mchango wa fedha za familia

    Nimemsikiliza kwa makini ndugu yangu PETER MSIGWA kwenye hotuba yake na vyombo vya habari ambapo yeye na viongozi wengine wa Chadema waliokuwa gerezani wameachiwa huru baada ya kulipa faini. Kilichonishangaza ni MSIGWA kushindwa kutambua mchango wetu wa kifedha uliokuwa unaratibiwa na kaka...
  3. Omerta

    Mchungaji Msigwa agoma kupanda gari za CCM, alakiwa na wana-CHADEMA

    .............
  4. J

    Mchungaji Msigwa amemfunika kabisa mbunge wa Kalenga Mh. Mgimwa Mkoani Iringa

    Nipo katika utalii wa ndani mbugani Ruaha na la muhimu kabisa ni kutembelea maeneo ya kihistoria ya Isimila na Lugalo nikihadithiwa habari za maisha ya Chifu Mkwawa. Cha ajabu wadimi (vijana) wa hapa Kalenga wanamrefer mchungaji Msigwa kama ndiye mbunge wao badala ya Godfrey Mgimwa...
  5. Egnecious

    Uchaguzi 2020 Dkt Bashiru: CCM haipo tayari kupoteza jimbo la Iringa Mjini

    Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally, akiwa katika ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Iringa, amewahakikishia wanachama, mashabiki na wakereketwa wa CCM kuwa Chama hakipo tayari kupoteza jimbo la Iringa Mjini kama ilivyofanyika miaka michache nyuma. Ameyasema hayo...
Back
Top Bottom