mchungaji msigwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Erythrocyte

    Mchungaji Msigwa na Joseph Mbilinyi wafungua kesi ya Kikatiba dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupinga unyanyasaji Magerezani

    Wamesema kwamba wanafungua kesi hiyo ili kulinda heshima ya Wafungwa wawapo Jela, ambako haki na utu wao unapuuzwa. Walalamikaji hao ambao pia ni wabunge wa Zamani na WAFUNGWA WASTAAFU wanadai kwamba Wafungwa wa Tanzania wawapo gerezani wanalazimishwa Kupima Ukimwi huku Majibu ya vipimo hivyo...
  2. Roving Journalist

    Uchaguzi 2020 Mnyika: Sakata la Wabunge wa Viti Maalum limehusisha mfumo wa Serikali kufifisha ajenda ya 'Uchaguzi haramu'. Ahoji Nusrat kuteuliwa akiwa gerezani

    Leo Novemba 25, 2020 katibu mkuu wa CHADEMA amezungumza na vyombo vya habari makao makuu ya chama hicho eneo la Ufipa, Kinondoni mada kuu ikiwa uteuzi wa wabunge wa viti maalum ambapo uapisho wao ulifanyika jana bungeni jijini Dodoma jana. Yafuatayo ni maelezo kwenye mkutano huo kuanzia mwanzo...
  3. J

    Mchungaji Msigwa aomba michango kusaidia gharama za kesi ya Nyagali Mdude Mahakama Kuu Mbeya

    Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Nyanda za Juu Kusini mchungaji Msigwa anaomba michango kugharamia nauli na mahitaji muhimu ya wakili anayemwakilisha Kamanda Nyangali Mdude katika kesi inayomkabili mahakama kuu Mbeya. Michango itumwe kwa mwenyekiti mchungaji Msigwa na unaweza kutuma kiasi...
  4. OKW BOBAN SUNZU

    Mch. Peter Msigwa: Spika Ndugai alinishawishi nihamie CCM akidai ametumwa na Rais Magufuli

    My Take Mhimili unapogeuka kuwa dalali wa ubunge basi hatuna bunge, tuna mkusanyiko wa watu wanaounda kitu kinachofanana na bunge
  5. J

    Mchungaji Msigwa ndiye mwanasiasa pekee aliyemtendea haki hayati Magufuli, hakujipendekeza kiunafiki japo ni Mwanafamilia

    Binafsi nampongeza aliyekuwa mbunge wangu wa Iringa mjini mchungaji Msigwa kwa kutoyumba wala kuyumbishwa na siasa za kutamani madaraka. Pamoja na kufuatwa jela na Mwenezi Polepole na kulipiwa faini na wanafamilia bado mchungaji Msigwa alibakia kuwa mwanachama mtiifu wa Chadema. Nina imani...
  6. Erythrocyte

    Mchungaji Msigwa: Rais Magufuli huenda kanisani kama muumini au Rais?

    Haya Hapa
  7. S

    Nakubaliana na mchungaji Msigwa kuwa level of thinking Tanzania imeshuka

    Kuna clip iko kwenye mitandao ikionyesha mahojiano aliyofanyiwa mchungu Msigwa na Darmpya tv, ambapo mchungaji Msigwa anasikika akiongelea swala la critical thinking. Msigwa anasikika akisema, wakati wa Mwalimu, vijana wa chuo kikuu walikuwa na uhuru wa kusema chochote wawapo maeneo ya chuo na...
  8. M

    Mchungaji Msigwa asema: Bila kusimamia misingi (principles) vyama vinakosa uhalali wa kuwepo

    Akiongea na Darmpya, mchungaji Msigwa amekosoa vikali hatua ya Maalim Seif na Zitto Kabwe kujiunga na serikali ya umoja wa kitaifa huko Zanzibar, Mchungaji Msigwa amekiita kitendo hicho kama ni flipfloping. Amesema ni kuwachanganya wananchi kutoa misimamo inayokinzana katika jambo lilelile. Kwa...
  9. Erythrocyte

    Uchaguzi 2020 Shukrani za dhati kwa wote walioshiriki kusambaza taarifa za Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu tangu mwanzo hadi mwisho

    Wakuu, poleni sana na Majukumu yenu ya kila siku, Naomba kuchukua nafasi hii kuwashukuru wote mliochangia kusambaza taarifa zote za uchaguzi za Chadema ikiwa ni pamoja na kusambaza kampeni kali za kiwango cha juu za Tundu Lissu Mgombea Urais wa Chadema, ambaye anatajwa kama Mgombea bora kabisa...
  10. CHADEMA

    Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mkoani Iringa

    Mgombea Urais wa Chadema anafanya kampeni kata kwa kata. Usikose kuyasikia madini ya Lissu, leo kata ya Isman. ===== "Mafurikoo Ya Wananchi Wa Iringa Kwenye Viwanja Vya Mwembe Togwa KatiKati Ya Mji Wa Iringa. Mheshimiwa Tundu Lissu Akiwa Jukwaa Amenadi Sera Zifuatazo... 1. Itakuwa Jambo La...
  11. jingalao

    Majibu kwa Mchungaji Msigwa plain and simple

    Mchungaji Msigwa ametweet kwa mbwembwe sana na huwa nashangaa kwa nini haji kupost humu JF kwa Great thinkers? Amesema Bunge lilitekwa,Mahakama ilitekwa,wanahabari wametekwa na sasa Kanisa limetekwa(sijui aamaanisha hadi kanisa lake??) AMESAHAU:wabunge wa chadema walitekwa,wasanii...
  12. mwanamwana

    Rais Magufuli awachana Kilwa kwa kumchagua mpinzani Bwege. Awataka kutofanya makosa tena uchaguzi ujao

    Wakuu, MAENDELEO HAYANA CHAMA Rais Magufuli akiwa safarini kutoka Mtwara, ameombwa na mwanakijiji Jimbo la Kilwa kwamba hawana Stendi ya Magari hivyo anaomba wajengewe. Rais Magufuli amejibu kwamba siku nyingine waangalie wawakilishi wanaowachagua ili waweze kufanya vile yeye anavyowaagiza...
  13. Petro E. Mselewa

    Kwa matokeo haya ya waliounga juhudi kuangukia pua, mmeamini kuwa CCM ina wenyewe na wenyewe ndio hao?

    Mlihama CUF na CHADEMA kwa mbwembwe sana kuhamia CCM. Mkatupa karata zenu kuwania Ubunge. Sasa mmeshindwa kwenye kura za maoni ndani ya CCM. Tena mmepigwa 'kipigo cha mbwa koko'. Sasa mmeamini kuwa CCM ina wenyewe na wenyewe ndio hao waliowapita kura za maoni na waliowakataa kupitia kura zao...
  14. J

    Mchungaji Msigwa: 2010 alimgaragaza RC Monica Mbega, 2015 akamgaragaza DC Mwakalebela, 2020 RC Chalamila kabadili gia angani!

    Siyo kwamba RC Albert Chalamila hautaki ubunge wa jimbo la Iringa mjini la hasha bali ameisoma historia ya mchezo. Haya mambo siyo ya kuyaamini sana eti " lazima nitashinda" kuna maeneo yana visiki hadi unashangaa kwanini huwa having' oki pamoja na figisu zote. Hongera RC Chalamila. Maendeleo...
  15. J

    Kamanda Andrew aliyetia nia ya kumrithi mchungaji Msigwa Iringa mjini asimamishwa kazi

    Katika hali isiyoeleweka kama ni figisu za mchungaji Msigwa ama la, Mwalimu Andrew Palagio aliyetia nia kugombea ubunge Iringa mjini kwa tiketi ya Chadema amesimamishwa kazi. Andrew ni mwalimu katika shule ya St Dominic Savio katika manispaa ya Iringa. Ngoja tuone. Maendeleo hayana vyama!
  16. J

    Uchaguzi 2020 Ni wazi Tundu Lissu atajitoa na kumuunga mkono Nyalandu mchungaji Msigwa atarejea kwa Kasesela kutetea Ubunge

    Siasa ni sayansi. Ni dhahiri mgombea wa Chadema atakuwa Lazaro Nyalandu na mchungaji Msigwa yeye ni msindikizaji tu. Ikumbukwe Mh Mbowe na Nyalandu walisafiri hadi Ubelgiji aliko Lisu na kufanya mazungumzo ya kina. Hivyo Mwenyekiti na makamu wake pamoja na waziri kivuli wa Utalii wakati...
  17. Erythrocyte

    Uchaguzi 2020 Mchungaji Msigwa rasmi kutangaza nia Dodoma hotel Jumapili 14 Juni

    Wote mnakaribishwa Labda kwa faida ya wageni na wengine , Mchungaji Msigwa ndiye mbunge aliyekomesha siasa za kishamba Iringa mjini , huyu ndiye kiongozi aliyeifuta ccm Iringa , ambapo uchunguzi unaonyesha kwamba bei ya madiwani wa Chadema walionunuliwa Iringa inazidi bajeti ya mwaka ya wizara...
  18. RAKI BIG

    Nyalandu kuwakabili Lissu, Mchungaji Msigwa?

    JOTO la mgombea urais ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) limeendelea kupamba moto baada ya kuwepo tetesi kuwa kada wa chama hicho Lazaro Nyalandu anafikiria kujitosa kwenye kinyang’iro hicho. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam (endelea). Nyalandu ambaye ni Mwenyekiti wa...
  19. J

    Kinana: Mchungaji Msigwa ni muungwana, aliniomba radhi baada ya kushindwa kunilipa fidia baada ya kutiwa hatiani nami nimemsamehe

    Katibu mkuu mstaafu wa CCM Mzee Kinana amemsifu Mchungaji Msigwa kwa uungwana wa kuomba radhi kwa uzushi aliomzushia. Kinana anasema baada ya uzushi huo alimshtaki Msigwa Mahakama Kuu ambapo alikutwa na hatia na kutakiwa kumlipa fidia Mzee Kinana. Baada ya hukumu mchungaji Msigwa alimtafuta...
  20. J

    Sipati picha Lowassa angeshinda 2015 na mawaziri ndio hawa Lijualikali, mchungaji Msigwa na Massele!!

    Eid Mubarak wadau! Kiukweli ni heri tu Mungu alituepushia vinginevyo hali ingekuwa tete. Naiangalia kwa makini safu ya wabunge wa Chadema sipati picha eti hawa ndio wangekuwa mawaziri wetu. Labda Mnyika pekee na msemaji wa Ikulu Pascal Mayalla ndio wangeitoa kimasomaso. Mawaziri wengine wote...
Back
Top Bottom