Mchungaji Msigwa ametweet kwa mbwembwe sana na huwa nashangaa kwa nini haji kupost humu JF kwa Great thinkers?
Amesema Bunge lilitekwa,Mahakama ilitekwa,wanahabari wametekwa na sasa Kanisa limetekwa(sijui aamaanisha hadi kanisa lake??)
AMESAHAU:wabunge wa chadema walitekwa,wasanii...