mdada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The bump

    Mdada wa kuuza duka na usafi anahitajika Kibamba Chama

    Majukumu yako Kuuza bidhaa dukani Usafi wa ofisi wakati wote Kuendelea na Mpesa na Tigo Pesa Mshahara 200,000 kwa mwezi Ofisi itatoa Mlo wa mchana Ofisi itatoa malazi (sehemu ya kuishi) kwa anaetokea Mkoani Wakati wote atakapokuwa mfanyakazi. ELIMU Uwe umefika Chuo chochote Usikie na kuelewa...
  2. ankol

    Asante sana we mdada ulionilipia nauli

    Nadhani upo humu, Kama kweli basi pokea asante yangu. Ilikuwa hivi: Naamka najiandaa kwenda job, Naingia kwenye gari kuweka switch on kitaa cha wese kina blink, sio kesi ni kawaida tu matarehe yakichachamaaga hivi kulitelekeza gari na kujiunga na public transport. Mzee baba nikachomoka...
  3. Boss la DP World

    Kwako Mdada Mzuri: Ukinifurahisha Nakuhonga

    Sikuhizi sina maneno mengi, mdada anayenifurahisha namhonga. Bei hutofautiana kutegemeana na sampuli. Ma great thinker wasio na hela mje hapa kutoa povu, ila mkae mkijua kama hamwahongi wapenzi wenu hata laki moja kwa mwezi mnawafanya waishi maisha magumu sana hata kama wana vyanzo vya mapato...
  4. M

    Kuna mdada kakosea kutuma hela nifanyaje?

    NIkiwa zangu ghetto nimetulia baada ya kazi nzito ya presentation ya individual assignment hapo majira ya saa 2 asubuhi katika harakati za kutafuta maksi 10 za course work katka module ya remote sensing kuisha. Nikarud zang geto kunywa chai na mama umut(wife anakiband), sasa nikiwa namalizia...
  5. L

    Kuna Mdada aged around 25, usiku huu simjui hanijui, kaning'aninia nimuoe

    Wadada, msijirahisishe hivyo Kuna Mdada aged around 25, usiku huu simjui hanijui, kaning'aninia nimuoe ni mmarangu ana watoto wawili, Anataka nimuoe tu, Nimechukua namba zake Ila mpaka muda huu namfikiria, maana nimemwambia Nina mke anasema yupo tayari hivyo hivyo,nimekutana nae barabarani...
  6. Balqior

    Kwa nilichomjibu huyu dada nahisi ataghairi kwa muda kuomba wanaume hela

    Wiki iliopita nilikutana na dada njiani hapa mtaani kwetu, nikamuomba namba akanipa, baadaye nikamwambia atafute siku tuonane kwenye mgahawa/restaurant for a lunch date, tufahamiane zaidi, akakubali. Heee, nimechukua namba yake leo, kesho yake kama kawaida yao si akaniomba elfu 20! Nikamwambia...
  7. Mung Chris

    Mdada wa kiarabu, kizungu au shombe anahitajika haraka sana

    Wana JF Nina rafiki yangu ni mchanganyiko wa kihindi na mwafrka yupo Dar ameajiriwa na kampuni flan kubwa sana ameniomba nimsaidie kupata mke wa kiarabu au mwenye asili ya kiarabu au kizungu au mzungu ili aoe. Yeye umri wake 46, anao watoto 2. Wataongea wafahamiane wakikubaliana tabia basi...
  8. HUKU ABROAD

    Uzi kwa Mdada anaetambua umuhimu wa Mahusiano ya Urafiki

    Mimi ni kijana wa miaka 30 ... natafuta rafiki wa kike mwenye kujua umuhimu wa urafiki lakini lengo langu kubwa ni kuwa na mpnz wa kudumu nae milele .. katika safari yangu ya maisha sikuwah kupata muda wa kuwa karibu sana na wasichana kwa sababu fulani , lakini kwa sasa niko available kwa...
  9. Makinisanatu

    Nilikuwa na maotea warts nilikula mdada mmoja yakapotea

    Imenitokea na nashangaa sana. SI kwamba nilikula mbichi no! Haikuwa nyama kwa nyama. Ila Cha ajabu baada ya siku mbili uume na eneo Lilo na warts nikakuta alama alama tu. Nimekuwa mahusiano na Hulu ni na maotea warts nilivyokula huyu mdada mmoja yakapotea na Leo Naogopa KILALA nae tena...
  10. Mkanaani

    Nahitaji connection ya kazi yoyote anayoweza kufanya mdada Mwanza

    ...
  11. S

    Kuwa mwanaume kuna raha jamani, yaani miaka 93 anaoa mdada miaka 24?

    Mwanamke zake tambo ni miaka 20 mpk 40 tu, baada ya hapo kwisha habari yako! Ikiwa mwanamke hajaolewa katika umri huo imetoka, na akiwa hana mtoto ndiyo nitolee hiyo. Lkn midume inaendelea kula mzigo na kuoa kama kawaida mpka siku atakayokwenda peponi.
  12. Balqior

    Wanaume kabla ya kumhonga mdada pesa/kumhudumia, tujiulize hili swali moja tu

    Swali lenyewe ni hili, kama huyo mdada unae-date naye angekuepo kwenye nafasi ya kutoa msaada uliyo nayo wewe, huyo mdada angekupa huo msaada? Mfano umempa mwanamke unae-date naye smartphone ya laki 3, je yeye angekuwa na uwezo na pesa za kutosha, hlf ninyi ni wapenzi, huyo mdada angekununulia...
  13. Pang Fung Mi

    Je, ushawahi fanyiwa jeuri au dharau na mpenzi anaedhani umedata na umahiri wake ndani ya 6x6?

    Salale Wanawake Mungu anawaona, acheni visa chezeni game fair, sio poa unatumia mchezo wa kujiviringisha sana na mpapaso kama wote mwanzo wa mechi hadi mwisho wa mechi mgongo massage mwanzo mwisho, mtu unagugumia maraha na mautamu hadi mwisho. Khaa sio poa. Baada ya hapo mnatumia hio fimbo...
  14. Raymanu KE

    Njia rahisi ya kupata number ya mkaka/ mdada unayemcrushia

    Mkiwa Kwenye party ile mida ya kujiphotoa jisogeze karibu ya mkaka au mdada ambaye Ni crush wako Kisha muombe apige nawe picha kwa kutumia Simu Yake. Ili kufanikisha Hilo kwa urahisi, Zima Simu yako Kisha mwambie Simu yako imezima kwa hiyo mkapige picha pamoja kwa kutumia Simu Yake. Wakati wa...
  15. Balqior

    Hii staili ya udangaji alionionesha huyu mdada, sijawahi iona toka nizaliwe

    Kuna mdada mmoja hapa mtaani kwetu, hana mtoto, & yuko kwenye early 20's anakaa kwa wazazi wake nilikutana naye njiani, nikamsalimia tu halafu, nkamwalika ghetto ninapokaa tukapike, Maana nilitoka sokoni siku hiyo, sikumbuki alichonijibu, ila baada ya hapo sikuwa namfatilia kabisa, Ikapita...
  16. royal tourtz

    mdada au mmama wa kuchat au kuongea naye usiku huu kwenye simu

    za usiku huu wakuu, leo tena natupa jiwe angani, naamini kuwa wahitaji kama mimi pia, kama kuna mdada au mmama ambaye yuko free japo tuchat au kuongea usiku huu sio mbaya kwangu namba yangu ni 0767066113 ila uzi huu ni valid hadi saa 11 asubuhi na ninaobwa moods wauset ujifute mda huo
  17. DR HAYA LAND

    Kama una ndugu yako anahitaji Kazi/Ajira sheli kuuza mafuta Mdada au Mmama mjuze habari hii

    Kuna nafasi ya Mwanamke/Mdada Sheli Kama unamjua Mtu anayejiheshimu ,smart na yupo tiyari kufanya Kazi mpe habari Unakuja PM Mshahara unajulikana Update Wamepatikana watu tyari so nafanya nao mazungumzo ili waweze kufika kazini Kama watapendezwa na salary
  18. Balqior

    Naona kama kumtongoza mdada ni namna fulani hivi ya mwanaume kujishusha na kujidhalilisha

    Kama Kutongoza mdada ni urijali na si kujishusha, mbona wao wadada hawatutongozagi? Maana Kimoyo moyo wao wanajua kumshobokea na kumfuata fata mtu ni kujishushia point. Sahivi mpaka nitongoze demu, ni iwe nimemwelewa sana, la sivyo nakula buyu tu. Kujidhalilisha bila sababu Kisa natongoza...
  19. S

    Zuchu, mdada anayeamini pombe tu ndiyo dhambi lakini siyo muziki na mavazi yasiyo na staha!

    Angalia alivyovaa na kujiachia! Lakini ni huyu huyu Zuchu aliyekataa kufanya tangazo la pombe (siyo kunywa pombe) kwa madai kuwa ni kinyume cha matakwa ya dini yake. Kungwi Sexless hajafurahishwa na undumila kuwili huu.
  20. Boss la DP World

    Nimefanya mapenzi na boss wangu, sijatosheka kabisa

    Usiku wa kuamkia leo, mfanyakazi mwenzetu alijitwalia jiko, kama katibu wa kamati ya maandalizi, nilihakikisha natoa ushirikiano kwa wajumbe ili tukio lifane. Kweli bwana tukio lilipendeza, watu walikula na kunywa, watu waliburudika wakasahau shida zao kwa muda. Miongoni mwa walio hudhuria ni...
Back
Top Bottom