mdada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. HUKU ABROAD

    Uzi kwa Mdada Mzuri Mwembamba

    Nimeanza maisha , sina mwenza wa kuishi nae , uwezo wa kugharamia ninao , ila tu nataka mwanamke ambae anaweza kupika na kufua nguo vizuri ... nikifanikiwa kumpata nitamsaidia kwa hali na mali .. ikiwezekana ntamfundisha na kazi ili asikae kizembe .. Kama kuna mdada yupo single .. basi uzi hu...
  2. L

    Mpenzi wangu ni mvivu sana

    Habarini Nipo kwenye mahausiano na mdada ila ni mvivu sana analala sana na akija kwangu hata kama akikuta mazingira sio rafiki wala hajishugulishi kusafisha kupika mpaka umwambie tangu tumejuana kapika kama mara 3 hivi ndani ya miezi mi 5, kufua ndio hajawahi. Na nilikua nimepanga mwakani...
  3. D

    Kuna muda unaweza kuishiwa pesa hadi ukatamani kumkopa mdada wa kazi

    Kufulia hakujawahi muacha mtu salama! Iwe mtu, kampuni au Serikali. Hata serikali pamoja na kwamba inakusanya kila kitu lakini ikiishiwa huwa inawaza kukusanya kodi kwenye barabara na madaraja wakati yamejengwa kwa kodi zao! Kuna wakati vyuma vinaweza kukaza kila kona hadi ukatamani kumkopa...
  4. Equation x

    Huyu mdada na mambo yake; simtaki tena

    Siku za karibuni nilitembelewa na mpenzi (mchepuko) wangu, na ilipofika jana jioni nikaona nimtoe 'out' kidogo, tuende 'club' moja kusikiliza mziki pamoja na kuburudika. Mpenzi wangu akaomba, huku akinilazimisha; avae kikaptula kifupi, pamoja na tshirt ya nyuzi nyuzi, kwa sababu kuvaa kwake...
  5. Edsger wybe Dijkstra

    Mdada wa kazi ya stationary mkoani Mwanza

    Natafuta mdada wa kufanya kazi stationary mkoani Mwanza, awe anajua kutumia computer. Tuwasiliane PM kama uko tayari.
  6. Ushimen

    Tabia ya wadada kujibinua kwenye bodaboda

    Wakuu, nimepita hapa Pizzeria nikaagiza kitu pale black vinegar mixer gallic. Pizza ilikua ina chizz ya kitosha...😋 sasa wakati wa kulipa naambiwa ni 21,000...😬 Dahhhhh. Man nilipata moto wa dunia, ila kiroho sayona nikasema barida m'baba nika kunjua noti huyooo nikasepa. Sasa ile natoka nje...
  7. AmazingHope

    Mdada miaka 28, natafuta kazi nipo Morogoro

    Habari, Elimu yangu ni Degree natafuta kazi yoyote halali. (Kama kusimamia biashara/ofisi, duka, supermarket etc)kwa mkoa wa Morogoro au sehemu nyingine.Yeyote mwenye connection ya kazi naomba anisaidie hata kama kutakuwa na malipo ya pesa. Asanteni
  8. U

    Mfahamu kwa mrembo Roza Georgeyevna Shanina, mdunguaji bora kabisa wa Jeshi la Urusi aliyeua watu 54

    Mfahamu kwa picha Bi Roza Georgeyevna Shanina Mdunguaji Bora Kabisa wa Jeshi la Urusi aliyeua watu 54 Hamjamboni wadau Ni mdada mrembo kabisa kwa muonekano aliyehudumu kwenye kikosi maalumu cha Wadunguaji (Snipers) wa Jeshi la Kisoviet mwaka 1943 Alikuwa ndiye mdunguaji bora kabisa (one of...
  9. Beesmom

    Binti wa miaka 19 anatafuta kazi ya dukani au nyumbani

    Binti wa miaka 19 anaomba kupatiwa kaz iwe ya duka au ndani. Mshahara kuanzia 100,000. Kabila ni mhehe. Mawasiliano yake tafadhali yafuate PM kwangu.
  10. Ja Mara

    Ushauri; Kuna dada nampenda sana lakini hayuko tayari kuwa na mimi

    Habari Wana JF, Mimi ni kijana wa miaka 24 Kiukweli nashindwa Kumdanganya Mwanamke nina mapenzi ya dhati kwa mtu ninaempenda kweli. Ni mara ya pili naingia kwenye Mausiano baada ya nilie kuwanae kuniwekea masharti kwenye chakula cha mwili baada ya kumvumilia kwa miezi tisa. Kazi ipo kwa...
  11. Balqior

    Kuna mdada ni mzuri sana, ila najishangaa sana kwanini sivutiwi nae kimapenzi

    Kuna mdada hapa mtaani kwetu, mimi namuona ana sura nzuri, Ana ngozi nzuri, mweupe, ana chura, halafu umri wake mdogo, tena hajaolewa, mpole, hana nyodo wala maringo, alikuwa anauza mgahawa wa mama yake, nilikuwa nikienda pale mara nyingi tu kunywa chai, namwona binti ni mzuri lakini hata...
  12. A

    Usichukulie poa, nyumba ni choo

    UPDATES: ===== Moderator: Hii thread Imefungwa kwa sababu Sheria za Tanzania na Kanuni Mpya za Maudhui 2020, haziruhusu Mijadala kama hii. Asante Hii thread ni vyura kwenda mbele tu wazee kina Behaviourist, Mrangi na TIASSA tukutane hapa. Tujitahidini iwe clean no nudity!
  13. Ferruccio Lamborghini

    Mdada wa Stationery anahitajika haraka

    Ofisi ipo Mbezi Goba. AWE MA SIFA ZIFUATAZO 1. Awe anaweza kutype kwa spidi. 2. Awe ana uwezo wa kutumia Inteernet 3. Awe ana uwezo wa kudesign. 4. Awe anaweza kuprint. 5. Awe anaweza kutumia mashine ya photocopy. 6. Awe anaweza kuscan. 7. Awe anaweza kutumia software ya Adobe. 8. Awe anaweza...
  14. kibovu

    Mdada white wa exray hospital binafsi yenye chuo Dar Es Salaam

    Igweeeee Kwanza nipongeze kwa huduma bora. Nakuomba mnamo tarehe tatu mwezi january nilikuja ulinifanyia vipimo vya xray kwa weredi mkubwa nimdada mweupe mnene kiasi ulikuwa umevaa kigauni min Natamani nikupe zawadi kwa huduma zako bora nimeamua kutokutaja hospital yako but ni hospital...
  15. Kendk

    Natafuta Mpenzi

    Umri wangu miaka 32 mdada mwenye sifa zifuatazo anaitajika. 1.awe anapenda ugomvi 2.awe anatumia castle lite ata bingwa sio mbaya 3.awe na mtoto wasizidi 2 4.umri wake usizid miaka 34 5.awe haijawah kujeruh kwa kitu 6.asiwe mvivu kitandan 7.awe na kazi yake 8.awe na makalio kias Asanten sifa...
  16. K

    Ninatafuta kazi za ndani ambae atahitaji mdada wa ndani ninapatikana

    Habarini wana JamiiForums Ninatafuta kazi za ndani kwa yeyote ambae atahitaji mdada wa ndani ninapatikana Malipo kuanzia laki Asanteni
  17. Balqior

    Men's talk: Kwenye kupanga first date, mualike mdada ghetto kwako, kama hataki muache

    Ukikutana Na mdada Ukachukua namba yake, mkafahamiana kidogo, huna haja ya kumpeleka kwenye migahawa ghali, au kumlipia nauli, vocha, au kumpa pesa alizokuomba. Wewe mueleze sehemu unapokaa, Na mda utakaokuwa free, Jibu pekee utakalotakiwa ulikubali, ni yeye kuja ghetto kwako, aje umvue nguo...
  18. Ego is the Enemy

    I wish Sana kupata mdada mcheshi/customer care/kutangaza huduma ili ku capture new customers

    Habarini wanajukwaa. Poleni na majukumu ya kila siku ya kulijenga Nchi yetu Tanzania. Moja kwa moja kwenye maada. Mie Kuna vinywaji napewa na kiwanda kusambaza eneo moja hapa mza mjini. Nafungua store like maji,juice,soda and like. Kazi nayofanya ni kuwazia watu wa madukani,vibandani na wote...
  19. Balqior

    Huyu mdada nimueleweje?

    Mwaka mmoja uliopita, nilimtongoza mdada wa jirani hapa, nilimwomba namba akanipa, siku ingine tulivokutana nlimweleza nia yangu ya mimi na yeye tuwe kwenye mahusiano ya kimapenzi, akanikataa katakata kwa kusema tayari ana boyfriend na hawezi kuchanganya wanaume wawili nikamwelewa, wala...
  20. Superbug

    Naomba kumfahamu kwa undani mdada Tina Rogat wa insta almaarufu 'Umelala Yoooo'

    Huyu mdada anaitwa Tina Rogat Yuko insta almaarufu 'Umelala Yoooo' yani nampenda mno mpaka naumwa Ana macho mazuri mnoooo halafu Ana sura flani ya aibu ya kike naomba muuskrinshot ujumbe huu mumpelekee inta. Tina naomba uwe mke wangu una JICHO mamaaaa.
Back
Top Bottom