Kuna mdada hapa mtaani kwetu, mimi namuona ana sura nzuri, Ana ngozi nzuri, mweupe, ana chura, halafu umri wake mdogo, tena hajaolewa, mpole, hana nyodo wala maringo, alikuwa anauza mgahawa wa mama yake, nilikuwa nikienda pale mara nyingi tu kunywa chai, namwona binti ni mzuri lakini hata...