Dhamira njema iliyooneshwa na serikali katika kukazania kujenga miradi ya kimkakati imetoa hamasa kwa Watanzania wengi kuchangamkia fursa ya kusoma kozi za huduma za usafiri wa reli, meli, bandari na anga katika chuo cha usafirishaji tanzania (NIT) Kwa Mujibu wa Mkuu wa Chuo
amesema awali...
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametoa taarifa na kukosoa taarifa zinazofanana za Ujerumani na Ufaransa kuhusu meli za mafuta za Ugiriki.
Siku ya Ijumaa Idara Kuu ya Mahusiano ya Umma ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ilitangaza kuwa meli mbili za mafuta za Ugiriki...
Urusi imesema kuanzia sasa meli zitakazopenda kwenda na kuondoka bandari za bahari nyeusi zilizokuwa za Ukraine ni ruhusa kufanya hivyo na zitapatiwa kila aina ya ulinzi ili zibaki salama.
Hayo yamesemwa na wizara ya ulinzi ya Urusi wakati ikiwa imefanikiwa kuzishika bandari hizo muhimu kwa...
Balozi akikagua Mabehewa ya SGR, miradi inaendelea, na watumishi wanaangaliwa maslahi.
Awamu Ile ilikwama wapi!? Au korosho ziliwajaa rohoni?
Soma pia: Uzi mkuu unaoonesha yaliyojiri kwenye mradi wa SGR tangu kuanza kwake mpaka mradi ulipofikia hivi sasa
Ukrainian officials report that a large Russian support ship Vsevolod Bobrov has caught on fire somewhere in the Black Sea.
Vsevolod Bobrov is a large ship (almost 10,000 tons displacement), and very new, entering service only last year.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amefanya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa Meli ya MV. Mwanza ‘Hapa Kazi Tu’ na kubaini ukiukwaji wa makubaliano ya kimkataba ya ikiwa ni pamoja na Kampuni ya Korea ya Gas Entec Building Engineering iliyo na jukumu la kujenga meli hiyo kuuza sehemu ya jukumu la...
Pentagon has rejects reports claiming US intelligence was used in alleged Ukrainian strike on warship Moskva
The US didn’t provide Ukraine with intelligence that allegedly allowed it to strike Russia’s Black Sea flagship Moskva off the coast of Odessa last month, Pentagon press-secretary John...
Meli ya Urusi maarufu Kama Admiral Grigorovich ya Wanamaji inaungua karibu na kisiwa cha Zmiiny katika Black sea , ndege za uokoaji za Urusi zinaendelea na juhudi za kuzima moto
The Admiral Grigorovich class, ambayo pia ujulikana Kama Krivak IV class, Russian designation Project 11356R/М...
Tunisia itafanya kazi na nchi nyingine ambazo zimejitolea kuisaidia kuzuia uharibifu wa mazingira baada ya meli ya kibiashara iliyokuwa imebeba hadi tani 1,000 za mafuta kuzama katika maji ya Tunisia, wizara ya ulinzi ilisema Jumapili.
Meli hiyo ilikuwa ikitoka Equatorial Guinea kuelekea Malta...
The strikes come as President Volodymyr Zelensky warned Putin is running out of time to sit at the negotiating table, as analysts now suggest Ukraine may well win the war in the coming weeks.
Russia is believed to have hoped for a blitzkrieg lasting mere days before securing overall control of...
Hili la Uturuki kuokoa wanajeshi 54 halijakaa vizuri, hao wauaji walipaswa wazame wote, humo walikua zaidi ya 500 hivyo bado kuna mamia watakua chakula cha papa baharini. Mwanajeshi Mrusi hapaswi kuonewa huruma popote, labda wale waliojisalimisha, na hata hao wachunguzwe akikutwa yeyote...
Mzuka wanajamvi!
Fahari ya Urusi katika black sea jinsi inavyojulikana iyo Meli manowari iliyopachikwa jina la Moskva au Moscow mji mkuu wa urusi ilivyolipuliwa na kuzamishwa katika operesheni ya aina yake kutoka kwa 'Defenders' makomandoo wa Ukraine waliotumia ujanja wa aina yake.
Ni hivi...
Meli ya kivita ya urusi Moskva flag ship imegeuzwa kuwa Nyambizi na waukraini.
Hii ni taarifa mbaya sana kwa Warusi na kwa ujumla meli hii ilikuwa ndiyo nembo kuu ya urusi huko black Sea.
Vita ya Ukraini vimeiexpose Urusi na kuwaacha utupu wa mnyama.
Aibu kubwa kwa Putin na kwa Hali...
Ukiona baadhi ya meli zinaprefer kuwacha mizigo Mombasa port kuliko kupanga foleni ndefu huko Dar port ujuwe kwamba Malazy wameshindwa kabisa kuliendesha bandari lao.
======
Mombasa port transshipment business grows
Different shipping lines have opted for Mombasa port due to what they claim are...
Ndugu Waziri Mbarawa unahujumiwa huku na wafanyakazi wa TPA yaani wamekaa tu ofisini mpaka sasa huwezi kutoa gari pamoja na kuwa yameshashushwa fuatilia mwenyewe uone.
Wapo tu ofisini wamekaa magari hayatoki. Baadae mseme bandari ndogo kumbe wanasababisha wenyewe msongamano wa magari humo...
Bandari ya Dar es Salaam imeendeleaza rekodi ya kupokea meli kubwa, safari hii ikipokea yenye urefu wa mita 189.45 ikitokea nchini Japan, ikiwa na shehena ya magari 4,041 huku magari 1105 yakibaki Tanzania.
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa ameziagiza Mamlaka ya Bandari...
Kishindo kikuu 'Bandari Salama', bandari ya TPA, itakapopokea meli kubwa ya kihistoria. Kaa tayari kujua.
Kuna jamaa kaandika;
"It's our Vessel called Frontier Ace is coming direct from Singapore carrying 4342 units. Accordingly to Vessel Captain tomorrow morning at 0900Lts confirmed will be...
Kibao kinaaendelea kugeuzwa......ukiingia kushambulia watu kwenye nchi yao unaua mama zao, baba zao, watoto wao kwenye mauaji ya kimbari, jiandae kwa lolote, watapigana mpaka afe wa mwisho...
A Russian landing ship has been destroyed and two other boats have been damaged in the occupied...
Katika taarifa ya jana ya saa mbili kupitia runinga nilimshuhudia Mhe. Waziri wa Mifugo na Uvuvi akihabarisha umma kuwa tumepata meli itakayopeperusha bendera ya Tanzania na akatamba kuwa kwa mwaka tutakuwa tukipata $400,000 na samaki tani 500 na mengineyo mengi.
Binafsi ninamshangaa sana...
Nanga ni kifaa kilichotengenezwa Kwa ajili ya kuzuia Meli isipelekwe na upepo au mawimbi pale itapokuwa imesimama endapo imemaliza safari, marekebisho au maegesho kwenye maji. Nanga ilianza kutumika tangu karne za Zamani ambapo Wagiriki walikuwa wakitumia vikapu vya mawe kama nanga walipokuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.