Utengenezaji wa Meli inayotajwa kuwa kubwa zaidi duniani umekamilika nchini Finland na tayari imefanya majaribio ya kwanza ya safari ndogo kabla ya kukabidhiwa rasmi Oktoba mwaka huu ili mwaka January 2024 ianze safari zake.
Meli hii yenye ukubwa wa mita 365 (wastani wa viwanja 3.5) itakuwa...
Wawili wafariki kwa ajali ya Meli ndani ya ziwa Tanganyika.
Watu wawili akiwemo kapteni wa MV. Tanganyika wamefariki kwenye ajali ambayo imetokea usiku wa tarehe 16 juni 2023
Meli hiyo ambayo ilikua ikitokea Kigoma nchini Tanzania kuelekea Kalemi nchini RDC ikiwa na mzigo wa mafuta ya petroli...
Tofauti na idadi hiyo ya waliofariki, watu wengine zaidi ya 100 wameokolewa katika tkio hilo baada ya meli yao ya uvuvi kuzama katika Pwani ya Kusini mwa Ugiriki.
Watu walionusurika wamedai kuwa abiria wengi katika meli hiyo walikuwa wahamiaji na hakukuwa na mtu aliyevaa jaketi za kuokoa...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikagua Meli Mpya ya hapa kazi tu katika Bandari ya mkoani wa Mwanza leo tarehe 14 Juni, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiteremka kutoka ndani ya Meli Mpya ya Abiria na Mizigo ya MV...
Baada ya Mdau wa JamiiForums.com kudai kuwa Mawakala wa meli (shipping agents) hawafanyi kazi kwa muda wa Saa 24 katika siku saba (7) za wiki, Shirika la Uwaka wa Meli Tanzania (TASAC) limetoa ufafanuzi.
TASAC imesema kuwa Wadau wa Sekta ya Usafiri majini kupitia Kamati ya Maboresho ya Bandari...
Hili wamelisema Warusi wenyewe, kwamba meli yao ya kivita imeshambuliwa na drones za kwenye majini
Russia has claimed that one of its warships has been attacked in the Black Sea by Ukraine.
It says the attack on the ship - the Ivan Hurs - was carried out by what it describes as uncrewed...
Ajali hiyo maarufu zaidi ya Meli duniani imewekwa wazi na kueleza kuwa haijawahi kuonekana hapo awali.
Uchanganuzi wa kwanza wa kidijitali wa ukubwa kamili wa Meli ya Titanic, ambao uko mita 3,800 (futi 12,500) chini ya Bahari ya Atlantic, umeundwa kwa kutumia ramani ya kina kirefu cha bahari...
Naomba kama kuna mtu ana ufahamu na uhandisi wa MELI ( marine engineer) acomment hapo, kwa faida yangu na wengine.
Vitu kama masomo yake, ajira, mshahara, ugumu wa kazi n.k. chochote unachojua kuhusu hiyo fani kitanisaidia au unaweza kuzungumzia kuhusu fani nzima ya ubaharia.
Natanguliza shukrani.
Inaaminika watu hao wanaweza kuwa wamepoteza maisha kutokana na ajali hizo ziliyotokea Pwani ya Tunisia wakati meli husika zikiwa njiani kuelekea Italia.
Meli ya kwanza ilikuwa na watu 37 na ya pili ilikuwa na watu 36, baadhi wameokolewa na wengine hawajulikani walipo.
Tangu Machi 2023 kuna...
Baada ya Urusi kupigwa pini, imekua ikisafirisha mafuta kinyemela kwa kutumia meli za wavuvi, ndio kete iliyokua imesalia, zitasakwa zote.....
Putin's oil plans
In December 2022, The Financial Times estimated that Russia had amassed a fleet of roughly 100 older oil tankers to help facilitate...
Iran inapumuliwa kote, kwa sasa inafuatiliwa kwa makini, meli yoyote yenye silaha za Iran ni halali ya wababe wa dunia hii....
The British navy seized anti-tank missiles and fins for ballistic missile assemblies during a raid on a small boat heading from Iran likely to Yemen, authorities said...
Mwaka 1996 wakati ajali kubwa ikitokea Ziwa Victoria mimi nilikuwa Ukraine nikiwa nimemaliza mwaka wa kwanza wa lugha nikijitayarisha kuingia mwaka wa masomo. Nakumbuka namna sisi watanzania tulivyoanzisha mjadala juu ya ajali hiyo iliyoua ndugu na jamaa zetu wengi.
Mwaka huu itatimia miaka 27...
Tukio liko mubashara TBC
Watu ni Wengi sana sana kwa kweli hii ni Baraka
Wafuasi wa vyama wakiwa Ndani ya sare zao nao wapo CCM, Chadema na ACT Wazalendo
Mungu ni Mwema wakati Wote
Meli ya mizigo ya Tanzania iitwayo Anil imepinduka katika bandari ya Assaluyeh Kusini mwa Iran Siku ya Jumanne, Januari 24 kutokana na mpangilio mbaya wa Makontena kwenye bodi.
Ajali hiyo imetokea katika Bandari inayohusika na kemikali za petroli na gesi zinazozalishwa nchini Iran iliyopo...
Urusi walijaribu kuingiza meli ya mizigo Bangladeshi ikazuiwa, kwa kweli hadi huruma, Putin kiburi chake kinaiponza nchi. Tatizo Warusi watu wa ujamaa, wamezoea kupelekeshwa kama kondoo, hawana namna ya kumkatalia...atawatesa sana.
=============
Jan. 22 -- Foreign Minister Dr AK Abdul Momen...
Inasemekana sababu za kuzama ni upangaji mbovu wa makontena
--
A Tanzanian cargo ship has on Tuesday January 24, sank in a jetty in the southern Iranian port of Assaluyeh, Iranian state media has reported.
The official IRNA news agency said the vessel named Anil overturned because...
Uboreshaji unaoendelea katika sekta ya bandari nchini umeongeza ufanisi na kati ya Oktoba hadi Desemba idadi ya meli zilizohudumiuwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) zimeongezeka. Msemaji Mkuu wa serikali, Gerson Msigwa alisema jana mjini Dodoma kuwa kipindi hicho meli zilizohudumiwa na TPA...
Mrusi keshasogelewa vya kutosha, tena anashikwa hadi kidevu, kwa sasa hawezi akajifanya kama ambaye anajikuna, haya mavitu yanawekezwa Romania yenye uwezo wa kusambaratisha meli zake huko huko katikati mwa bahari.
Kwa sasa hana jeuri ya kusema chochote maana amedhihirisha alivyo dhaifu baada ya...
Kwa nini walikuwa wamekuja huku na walikuwa karibu kufanya nini?
Washambulizi wa Biashara
Baada ya kuanza Vita vya Kwanza vya Dunia, Jeshi la Wanamaji la Kifalme la Ujerumani lilikuwa na manuari nne zilizowekwa katika sehemu mbali mbali za ulimwengu. Meli hizi za kivita zilikuwa tishio kubwa...
Wizara ya Ulinzi ya Taiwan imesema jeshi la China limetuma ndege 71 za kivita na meli saba katika kile ilichokiita "maonesho ya saa 24 ya uchokozi" dhidi ya kisiwa hicho.
Taiwan imesema ilifuatilia hatua za China kupitia mifumo ya makombora ya ardhini na kwenye vyombo vyake vya majini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.