mgao

Swahili, also known by its native name Kiswahili, is a Bantu language and the native language of the Swahili people. It is one of two official languages (the other being English) of the East African Community (EAC) countries, namely Burundi, Kenya, Rwanda, South Sudan, Tanzania, and Uganda. It is a lingua franca of other areas in the African Great Lakes region and East and Southern Africa, including some parts of the Democratic Republic of the Congo (DRC), Malawi, Mozambique, Somalia, and Zambia. Swahili is also one of the working languages of the African Union and of the Southern African Development Community. The exact number of Swahili speakers, be they native or second-language speakers, is estimated to be between 50 million to 150 million.Sixteen to twenty percent of Swahili vocabulary are Arabic loanwords, including the word swahili, from Arabic sawāḥilī (سَوَاحِلي, a plural adjectival form of an Arabic word meaning 'of the coast'). The Arabic loanwords date from the contacts of Arabian traders with the Bantu inhabitants of the east coast of Africa over many centuries, which was also when Swahili emerged as a lingua franca.In 2018, South Africa legalized the teaching of Swahili in schools as an optional subject to begin in 2020. Botswana followed in 2020, and Namibia plans to introduce the language as well. Shikomor (or Comorian), an official language in Comoros and also spoken in Mayotte (Shimaore), is closely related to Swahili and is sometimes considered a dialect of Swahili, although other authorities consider it a distinct language.

View More On Wikipedia.org
  1. hp4510

    Tanesco huu mgao ni wa nini tena?

    Makali ya mgao Kwa mwaka 2023 naona yamekuja na ukali zaidi. Jana tumezimiwa umeme Kwa 12hrs kuanzia saa 12 asubuh mpaka saa moja jioni, Leo tena saa 12 kamili umezimwa na mpaka muda huu hakuna umeme. Basi mtupe ratiba nyingine, mlisema mvua now mvua zinanyesha sasa shida ni nn? Kigamboni dar...
  2. saidoo25

    Waliofilisiwa biashara zao kwa mgao wa umeme 2022 watafidiwa na nani?

    Mwaka 2022 unaelekea kufikia mwisho ni mwaka ambao watanzania wengi wamefilisika na biashara zao nyingi zimekufa na kupoteza wateja hasa zile biashara zilizokuwa zinategemea nishati ya umeme chini ya uongozi wa Waziri Januari Makamba(MNEC). Watu wa biashara za saluni za kike na za kiume...
  3. saidoo25

    Mgawo wa umeme ulivyowaachia umasikini watanzania 2022

    12 Septemba 2021 ni siku ambayo Tanzania iliingia kwenye mgogoro mkubwa wa kiuchumi baada ya kuteuliwa Januari Makamba(MNEC) kuwa Waziri wa Nishati. Mwaka 2022 unaelekea kufikia mwisho ni mwaka ambao watanzania wengi wa hali ya chini wamefilisika na wengine biashara zao nyingi zimekufa na...
  4. Nyankurungu2020

    AIBU: Rais anazindua ujazaji maji Bwawa la JNHP taifa likiwa na mgao wa umeme huku mizengwe kibao ikiwekwa lisikamilike mapema

    ~ Nini kimesababisha bwawa la JHNP lisikamilike kwa wakati? ~ Kwanini aliyekuwa waziri wa nishati kabla ya kutumbuliwa alituhakikishia litakamilika june 2022. ~ Crane za mizengwe za January? ~ Kwanini hawataki kuondoa tatizo la umeme Tanzania? ~ Leo wananchi wengi hawakushuhudia huu uzinduzi...
  5. H

    Wadau wa nishati ya umeme; Swali kwa TANESCO kuhusiana na mgao

    Nawasalimu na kazi iendelee.. Kuna karatiba fulani ka mgao wa umeme maeneo ya wilayani umeme huwa unakatwa jioni kuanzia saa 12 na kurudi either mid night au usiku wa manane.Sijajua sehemu nyingine Kama iko hivo. Sasa ninavyofahamu sehemu nyingine wilayani hazina heavy duties nyakati...
  6. Mwl Athumani Ramadhani

    Mgawo wa umeme na maji na tozo mbalimbali zimeamua matokeo ya NEC

    Nimetafakari kwa kina matokeo ya NEC nikaona umeme, maji na tozo ndio sababu kuu zilizotuletea matokeo hayo. Nawashukuru wajumbe kwa matokeo mazuri sana! Wahusika wajitafakari kwa mstakabali wa maisha yao ya kisiasa ndani na nje ya chama! Mungu ibariki Tanzania nchi yetu.
  7. Idugunde

    Ni aibu kwa chama tawala chenye asili ya ukombozi kuwa na Wazee kama Yusuph Makamba ambao hawana huruma juu raia wanaoteswa na tozo na mgao wa umeme

    CCM ni chama kikubwa hapa Africa na dunia nzima. Bahati nimezunguka mahala pengi hapa duniani. Ulikiwa ukienda Botswana, Zimbabwe au hata South Afriaca ulikuwa ukikutana na raia wa huko lazima wakuukize juu ya CCM ya akina Hashim Mbita (RIP) maana kilikuww ni chama kilichojaa utu na nia thabiti...
  8. The Burning Spear

    Asikwambie mtu, Mgao wa umeme wamiliki wa viwanda wanaisoma Namba

    Hivi ndivyo ninavyoweza kusema kwa ufupi, hali ni mbaya sana kwa wamiliki wa viwanda Tanzania tangu kuondoka kwa uncle mambo yamebadilika sana. inawezekana baadhi ya wawekezaji walifurahia kuondoka huyu mwamba ila wakati wanaopitia kwa sasa mungu mwenyewe anajua. iko ivi viwandani huwa...
  9. Nyankurungu2020

    January Makamba na Byabato washitakiwe kwa kulihujumu taifa kwa kutengeneza mgao wa umeme. Uwazi uwekwe juu ya generator walilonunua toka USA

    Natoa wito kwa iwanaTanzania wote wanaopenda taifa lao kuwapeleka mahakamani hawa jamaa wawili. Wamevunja na kukiuka ibara ya 27 ya katiba ya JMT inayotaka raia wote kulinda mali ya umma. Wameharibu umeme makusudi ili wapige madili. Mbona hakuna uwazi juu ya jenerator lililonunuliwa toka USA?
  10. Analogia Malenga

    Mzee Makamba ahamaki alipoulizwa kuhusu mgao wa umeme nusu amlambe vibao mwandishi wa habari

    Yusuph Makamba aulizwa kuhusu ukosefu wa umeme na maji mchini, amshambulia vikali mwandishi, asema "Kuwa na shukrani".
  11. MakinikiA

    Doctor wa heshima na umeme wa mgao

    Kwangu Mimi angesubiri kwanza miaka mitano ili nimpe marks Ila kwa sasa naona ana 45% tu kwenye utendaji. Labda kwa kuruhusu watu kulamba asali na wengine kuangalia kwa macho ndio heshima yenyewe. Umeme changamoto bado, mfumuko wa bei, japo maji ametatua baada ya kelele nyiiiiingi .
  12. Nyankurungu2020

    Naibu Waziri na Waziri Makamba wajiuzulu. Ni kwa kulidanganya Bunge kuwa mgao utaisha Desemba 2022

    Nipo hapa home umeme umekata. Na hii ni Desembe 3. Mlisemea Kinyerezi 1 itakuwa imekamilika. Sasa mbona mmedanganya bunge? ==== Walichokisema November 2, 2022 Serikali imesema makali ya mgao wa umeme nchini yanaweza kupungua mwezi ujao wa Novemba baada ya kukamilika kwa miradi ya umeme...
  13. B

    TANESCO: Mvua zikiendelea kunyesha katika mabwawa, changamoto ya upungufu wa umeme itapungua

    Changamoto za Upungufu wa umeme Kupatiwa Ufumbuzi Mkurugenzi mkuu wa TANESCO Bw. Maharage Chande akizungumza na waandishi wa habari leo December 2, 2022 kuhusu hatua za muda mfupi na muda mrefu kumaliza upungufu wa umeme . Mkurugenzi ameongeza kuwa mvua zinazonyesha muda huu nchini bado...
  14. Kyambamasimbi

    Unapolalamika mgao wa umeme jiulize wewe una miti mingapi kwako ya kuvuta mvua ili mito isikauke na kupata umeme?

    Ifike mahali sio kitu Ni kulaumu Serikali na kusahau kwamba wewe ndie muuaji maarufu wa miti na zaidi unakuta kwako hauna mti hata mmoja. Tubadilike mama Samia haleti mvua bali tutunze mazingira tutunze asili sio kuangamiza miti na kuamini kuwa ni uchafu.
  15. William Mshumbusi

    Tanesco Kama mnaandaa hoja za kupiga dili kupitia mradi wa dharula wa kuzalisha umeme nazani mlishapata. Choteni mahela mtutoe kwenye mgao huu mkali.

    Kwanza hii nchi inawasomi wa kutosha. Inamaana hawakujiandaa kabisa kwa chochote kuhusu umeme maji yakipungua? Kwa uzoefu mgao ukiwa mkali hivi ujue Kuna Jambo linatafutwa. Mikataba ya haraka haraka ya Bei juu iliyojaa utata inataka kupitishwa ili watu wapige mahela. Kila kitu kimekamilika...
  16. MakinikiA

    Kwahiyo Watanzania tumekubali mgao wa umeme na maji ndiyo mfumo wa maisha yetu?

    Hakika hii nchi takatifu sana kwa mazito niyaonayo Mimi lakini Watanzania masikini na unyonge wao hawana la kusema hata kumtaka MTU flani aondoke madarakani hakuna. Kama haya yanavumilika basi nchi ni takatifu sana. Kuna nchi mkate ulipanda bei wakaamua kwenda kula mikate ya kiongozi wao. Mimi...
  17. Mlalamikaji daily

    Mshahara Serikalini umekuwa wa Mgao, tunakwenda wapi?

    Inakuwaje Hadi Leo Kuna watu hawajapata mshahara wao? Inakuwaje mshahara unatoka Kwa mafungu? Angalu basi ingetofautiana dakika na masaa tu lakini sio sawa wengine Toka tar 22 wamepata mshahara na wengine Hadi Leo Kimya. Mwigulu hebu jitafakari
  18. aka2030

    Sehemu ambazo hazipaswi kuwa na mgao wa umeme

    1. Hospitali 2. Kambi za jeshi 3. Vituo vya polisi 4. Magereza 5. Public installation
  19. peno hasegawa

    Rais Samia akiwa Arusha ameshindwa kujibu swali la mbunge wa Arusha mjini kuhusu mgao wa umeme

    Akijibu suala la kukatika kwa umeme, Naibu Waziri wa Nishati, Stephen Byabato aliwataka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kufanya ushirikishaji wa viongozi waliopo katika maeneo ili kukubaliana ni maeneo gani ya muhimu kwa ajili ya kupeleka umeme ikiwemo yale ya uzalishaji. Ninajiuliza sipati...
  20. Roving Journalist

    TANESCO yaelezea undani wa tatizo la umeme wa mgao, yataja uhaba wa maji na matengezo ya mitambo

    Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Maharage Chande amezungumia kinachoendelea kuhusu mgao wa umeme Nchini akitaja sababu na mipango yao ya wanachokifanya ili kukabiliana na changamoto zinazojitokeza. Amesema kuna upungufu wa Megawats 300 hadi 350 kwa siku kutokana na...
Back
Top Bottom