Swahili, also known by its native name Kiswahili, is a Bantu language and the native language of the Swahili people. It is one of two official languages (the other being English) of the East African Community (EAC) countries, namely Burundi, Kenya, Rwanda, South Sudan, Tanzania, and Uganda. It is a lingua franca of other areas in the African Great Lakes region and East and Southern Africa, including some parts of the Democratic Republic of the Congo (DRC), Malawi, Mozambique, Somalia, and Zambia. Swahili is also one of the working languages of the African Union and of the Southern African Development Community. The exact number of Swahili speakers, be they native or second-language speakers, is estimated to be between 50 million to 150 million.Sixteen to twenty percent of Swahili vocabulary are Arabic loanwords, including the word swahili, from Arabic sawāḥilī (سَوَاحِلي, a plural adjectival form of an Arabic word meaning 'of the coast'). The Arabic loanwords date from the contacts of Arabian traders with the Bantu inhabitants of the east coast of Africa over many centuries, which was also when Swahili emerged as a lingua franca.In 2018, South Africa legalized the teaching of Swahili in schools as an optional subject to begin in 2020. Botswana followed in 2020, and Namibia plans to introduce the language as well. Shikomor (or Comorian), an official language in Comoros and also spoken in Mayotte (Shimaore), is closely related to Swahili and is sometimes considered a dialect of Swahili, although other authorities consider it a distinct language.
Kuna kipi kinaendelea ndugu zangu hapa Tanzania kinachopelekea kila kitu kiwe cha mgao?
Mfano umeme sasa ni anasa na huwezi kuupata bila kugawiwa. Maji hali kadhalika/kadharika!
Kwa nini ghafla tu tumekuwa watu wa mgao?
Akizungumza baada ya kutembelea vyanzo vya Ruvu Chini na Juu, Mkuu wa Mkoa Amos Makalla amesema mgao wa Maji umesababishwa na kupungua kwa uzalishaji kunakotokana na ukame.
Makalla amesema hali ya Maji sio nzuri kwenye kina cha maji cha vyanzo hivyo huku uzalishaji ukipungua kutoka lita za...
Kila kukicha umeme unakatika siku nzima tena wilaya nzima au mkoa mzima.
Ninauliza Tanesco, Tanzania tumeanza mgao wa umeme?
Nimeuliza ili tuanze kununua generator
Hivi kweli unawezaje kujitembeza bila aibu eti unafanya royal tour, halafu watalii wakija wanakuta nchi ina mgao wa maji na umeme?
Huu mgao ulianza lini? Mbona wananchi hatuna taarifa? Au ndio siasa yenyewe hii?
Karibu nchi nzima, maeneo tofauti tofauti yanakatika katika umeme kila siku hususani kwa siku za karibuni pasipo kutolewa taarifa na Tanesco, na jambo hilo linaathiri sana maisha ya watu na shughuli zao. Sote tunajua Tanzania tupo kwenye mgawo wa umeme.
Sasa kuna ugumu gani kwa TANESCO kutoa...
Mtu aliyekuwa anajua mbinu zote za wafanyakazi wa Tanesico kwamba, kipindi hichoo cha wao kuongoza, kulikuwepo na kikundi maalumu cha kufungulia maji ya mtela ili tu kutengeneza mgao haramu wa umeme na wao kutengeneza biashara za majenereta
Mbinu hiyo iliwafumbua watanzania wengi, na tangu...
Ndugu zangu watanzania
Mgao wa umeme unaoendelea ni matokeo ya kupungua kwa kina cha maji kwa vyanzo vyetu tunavyovitegemea KILA mwaka!
Ikumbukwe KWAMBA mvua za Msimu wa mwaka 2021/2022 zilikuwa chini 1500mm hivyo kutokujaza ipasavyo nyanzo vyetu VYA umeme kama kidatu,mtera na vinginevyo,Hali...
Tatizo la Mgao wa Umeme limekuwepo kwa muda mrefu sana, Toka enzi za Nyerere, na Sasa tatizo hilo linaendelea kuwepo , sisi watu wazima tumeona mgao Kwa Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na sasa mgao upo kwa Samia.
Hili ni Tatizo kubwa sana, japokuwa Wamebadilishwa mawaziri na watendaji wakuu...
Nimeona vigogo wa TANESCO wakitutahadharisha watanzania kuwa kutokana na ukame uliolikumba Taifa letu, kutokana na mabadiliko ya tabia nchi, wamelazimika wao TANESCO kuanzisha mgao wa umeme nchi nzima, kutokana na mabwawa ya Kihansi, Mtera na Kidatu, kupungukiwa maji ya kuyajaza mabwawa hayo...
Huu ni mwanzo... Tuanze kujiandaa na yale yajayo siku za usoni. Maji yameanza kupungua tena kwenye mabwawa.
Tulicheleweshwa sana kimaendeleo. Sasa tutaweza kuifungua nchi vizuri na kurudisha uchumi uliokwama.
Waziri wa Fedha na Mipango nchini Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itanufaika na msaada wa miaka mitatu wa dola za Marekani bilioni 30 (Sh 69 trilioni), ulioahidiwa na Rais wa China, Xi Jinping wa kuzisaidia nchi za Afrika kukabiliana na umasikini.
Dk Nchemba amesema hayo leo...
Utopolo haiwezi kushinda mechi yoyote bila kutumia mbinu chafu ya kupitisha bahasha za khaki kwa timu pinzani. Hiyo mbinu ndiyo ilisababisha wakapata ubingwa wa ligi msimu uliopita. Utopolo ni timu mbovu, haiwezi kuifunga Simba, the unstoppable. Timu yenye Chama, Okra, Okwa, Sakho, Inonga na...
Shirika la Umeme nchini Tanzania ( Tanesco) wametangaza mgao wa umeme nchi nzima ulioanza jana Ijumaa ambapo utaenda mpaka Jumatatu ya tarehe 11.
Hayo yote yametokana na kupungua kwa uzalishaji katika mtambo wa Songas.
Source:
Azam news
Kumekuwa na kukatwa kwa umeme baadhi ya maeneo ya nchi kuanzia asubuhi hadi jioni mengine kuanzia jioni hadi usiku sana tungetamani Tanesco watufahamishe kuhusu huu mgao au tatizo lililopo.
Kwa zaidi ya wiki na kitu sasa umeme unakatikakatika hovyo na mbaya zaidi unakatika bila hata taarifa.
Leo umekatika na tumeshindwa hata kuangalia mtanange kati ya Coastal Union na Azam Fc.
Waziri mwenye dhamana huwa na kauli mbiu mbili tu. Mgao au matengenezo ya miundombinu chakavu. Atuambie...
Ameandika Tundu Lissu katika akaunti yake ya Twitter
Movie ya Royal Tour kumbe ni biashara kubwa Amazon. Kukodi Sh. 13,930, Kuuza sh. 37,150. Swali langu ni je, mwenye hatimilki ya movie - & kwa hiyo mmiliki wa pesa hizo - ni nani? Je, mgawo wetu ni kiasi gani kwa vile main character ni Rais...
'Nimekamilisha ziara ya kuzunguka nchi nzima'.
Picha niliyoiona ni ya uhaba mkubwa wa maji tiririka katika water bodies kama vile mito.
Hili litaathiri kwa kiasi kikubwa kujaa kwa mabwawa ya kuzalisha umeme, kitu kitakachopelekea nchi kuingia kwenye giza kuu.
Nishati ya umeme ni nishati...
Ujerumani imetangaza rasmi kuanza kutoa gesi kwa watu wake kwa mgao, huku kukiwepo wasiwasi ya kuacha kuagiza mafuta kutoka Russia.
Hatua hiyo imechukuliwa wakati kuna hali ya kutoelewana kuhusu malipo kwa kutumia sarafu ya Russia.
Hatua ya umoja wa ulaya kuanza kutekeleza onyo la mapema la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.