MGOGORO WA ISRAEL NA PALESTINA NDIO UTAKAOHITIMISHA DUNIA.
Leo 11:15hrs 22/05/2021
Nianze kwa angalizo,ugomvi wa Palestina na Israel ni wa mapacha wawili toka wakiwa tumboni mwa Mama yao kabla ya kuzaliwa,Mapacha hao ni Esau na Jacob,sababu ya njaa Esau aliuza haki ya mzaliwa wa kwanza kwa...