miaka 20

This article lists the major characters from the manga series Fushigi Yûgi, its anime adaptation, and the prequels Fushigi Yûgi: Genbu Kaiden and Fushigi Yûgi: Byakko Senki.

View More On Wikipedia.org
  1. Mkongwe Mzoefu

    Ni tokea Kikwete apandishe pension ya wastaafu wa Hazina toka 25,000 hadi Laki moja miaka 20 iliyopita hajatokea tena

    Mtu katumika maisha yake ya ujana kwa taifa, wengine wamepigana hadi vita ndani na nje ya nchi kwa uaminifu mkubwa lakini ndani ya miaka 20 hakumbukwi na hapo kazidi kuwa kikongwe lakini hakuna kiongozi au wabunge (ukiacha Esta Bulaya, Mungu ampe maisha marefu) anaye jali. Ni tokea Kikwete...
  2. The Watchman

    Bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu HESLB imetimiza miaka 20, je imekuwa msaada ipavyo kwa wanafunzi wasiokuwa na uwezo kufikia elimu ya juu?

    Ni takribani miaka 20 sasa tangu mwaka 2004 ambapo Bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu (HESLB) ilianzishwa na imekuwa ikitegemewa na idadi kubwa ya wanafunzi wanaomaliza kidato cha sita kuelekea vyuo vikuu. Licha kutoa mikopo kwa wanafunzi wengi lakini bado imekuwa ikilalamikiwa na...
  3. JanguKamaJangu

    Miaka 20 tangu Lionel Messiacheze mechi ya kwanza Barcelona

    Siku ya 1: Mechi dhidi ya Espanyol Siku ya 198: Anafunga goli lake la kwanza Siku ya 876: Hat Trick ya kwanza dhidi ya Real Madrid Siku ya 915: Anafunga Goli ‘kali’ dhidi ya Getafe Siku ya 1,873: Ashinda Ballon d'Or ya kwanza Siku ya 1,999: Anaifunga Arsenal Magoli Manne Siku ya 2,700...
  4. MUWHWELA

    Maisha yatakosa maana baada ya miaka 20 tu ijayo

    Nikusalimu Ndugu!! Kwa kuwa tumepewa UHAI basi wajibu wetu ni kuhakiki wajibu unatimizwa wa Kila mmoja wetu akiwa na huu Mwili, usijipe woga Wala USIOGOPE Kuwa na wazo mbadala. Maisha ya hapa ulimwenguni yameanza KUKOSA maana Lakini ifikapo 2045 takriban miaka 20 ijayo maisha ya mwanadamu...
  5. E

    Je ni sawa kwa kijana wa miaka 20 kuoa mwanamke mwenye miaka 27?

    Hii imekaa aje wadau
  6. Waufukweni

    Nigeria: Mwanamke wa Miaka 40 ajifungua Watoto Sita kwa mpigo baada ya miaka 20 bila kuwa na Mtoto

    Furaha imetanda katika Kaya moja nchini Nigeria ambapo mwanamke mwenye umri wa miaka 40 amejifungua watoto 6 ikiwa watatu wa kiume na watatu wa kike baada ya kupita miaka zaidi ya 20 tangu alipopata mtoto wake wa kwanza. Kuzaliwa kwa watoto hao kulitangazwa katika video iliyosambazwa TikToka na...
  7. M

    Wazee wa kuanzia miaka 20 ijayo wataishi kwa tabu sana

    Nikitazama namna ya maisha ilivyo sasa na inavyo enda nathubutu kusema kwamba wazee wa kuanzia miaka ijayo 20 au pengine hata kabla watakabiliwa na maisha magumu sana. Hili nalitazama katika mambo matatu. Mosi ni wazazi wengi wa sasa kukosa muda wa kuwa na watoto wao kwa ajili ya kutafuta...
  8. M

    Kipa wa Sudani mwenye miaka 20

    Goli kipa raia wa Sudani kusini Yogusuk Simon ambaye amefikisha miaka 20, picha zake zilianza kusambaa miaka miwili nyuma 2022 kwenye mitandao ya kijamii zilizoibuz maswali mengi kwa mashabiki wa soka na kushangaza utofauti uliopo kati ya muonekano wake na umri wake. umri wake na muonekano wake...
  9. JanguKamaJangu

    Simiyu: Ndugu wa damu wahukumiwa Miaka 20 jela kwa kosa la kuzini na kuishi kama Mume na Mke

    Mahakama ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imemhukumu kifungo cha miaka 20 jela Mussa Shija (33) na Hollo Shija (35) miaka 30 jela kwa kosa la kuzini na kuishi kama mke na mme kwa zaidi ya miaka sita wakijua kuwa ni ndugu wa damu. Wakazi hao wa Kijiji Cha Mandang'ombe Wilayani Maswa walihukumiwa...
  10. Pdidy

    Hivi Bangladesh walilogwa miaka 20 unaongoza umekuwa Afrika?

    Kenyaaaaa Gen z Hukoo bangladesh wanafunzi wa chuoo wamemtoa resii waziri mkuu aliekuwa madaraka 20 yrs kakimbilia. India Nawaza hawa jamaa walikogwa ama? Miaka yote iio wako kimya Aisee kumbe hata Africa wale jamaa zetu wallooapa kufia madarakan na wengine wanapanga kuwapa watoto wao...
  11. J

    Cleo Wilskut, Binti wa Miaka 20 anayetarajiwa kuwakilisha Vijana Bungeni Afrika Kusini

    Mfahamu CleoWilskut, Binti wa miaka 20 anayeanza Safari ya kuwawakilisha Vijana Bungeni, Afrika Kusini Je, Tanzania inawezaje kuongeza Ushiriki wa Vijana kwenye Masuala ya Uongozi/Demokrasia?
  12. MIXOLOGIST

    Umeshawahi kuwaza utajionane ukija kusoma ulichoandika hapa baada ya miaka 20 ijayo?

    Tuombe kwa Mungu wote tuendelee kupatiwa uzima na afya Miaka ishirini ijayo, ukisoma nyuzi zako na comments zako zitakutafakarisha nini? Kwa wale tunaogonga nondo baada ya nondo, tutaendelea kujipongeza kwa beer baridi sana na kupiga kifua kwamba tumehuskika kuwatoa mamilioni ya watu ujinga...
  13. sba

    SoC04 Dira ya maendeleo ya taifa ndani ya miaka 20 ijayo

    Kama taifa ili kukua kiuchumi yafuatayo yanaweza saidia kulifikisha taifa sehemu nzuri ya kimaendeleo 1.kuweka Dira ya pamoja kama taifa ambayo itaonesha mipango mikakati ya mda mrefu na mda mfupi kama taifa ni wapi tunapaswa kufika na vitu gani tunataka kuwa navyo 2.kuwekeza nguvu kwa vijana...
  14. M

    Umri wa miaka 40+ wengi hukubali matokeo yoyote, ndoto nyingi hufa kwenye miaka 20

    WASIKILIZE WATU WENYE MIAKA 40+ 1.Wengi wameolewa/kuoa na ambao hawakujipangia wakiwa na miaka 20 2 .Wengi wameridhika na mafanikio ambayo sio yao 3 Wachache sana utakuta bado wanapambania ndoto zao. 4 Wengi ndio waumini wa kauli ya "MAISHA NDIO HAYA HAYA" 😔 5 Wengi ndio waumini wa kauli ya...
  15. U

    SoC04 Tanzania sawa na Ulaya kiuchumi miaka 20 ijayo

    Tanzania yangu niipendayo ni nchi iliyobarikiwa rasilimali nyingi kiasi Cha kuwa na uwezo wa kufika uchumi wa juu ndani ya miaka 20 ijayo. Nikianza na mabadiliko yanayopaswa kufanyika kwenye sekta ya kilimo kwa kua kilimo ni uti wa uzalishaji Mali kwenye nchi yetu kinapaswa kufanyika kisasa...
  16. MamaSamia2025

    Hawa ni watanzania 10 chini ya umri wa miaka 50 walioleta mabadiliko chanya kwenye jamii kupitia vipaji na vipawa vyao walivyojaliwa

    Hii ni orodha tukufu ya watanzania wenye umri chini ya miaka 50 walioweza kufanya mapinduzi makubwa kupitia jinsi walivyojaliwa na muumba. 1. ZITTO KABWE Haina ubishi Zitto ndo aliamsha wengi kuona inawezekana kuwa mwanasiasa mkubwa mwenye umri mdogo tena kupitia upinzani. Zitto aliingia...
  17. K

    Maadhimisho ya miaka 20 Umoja wa Afrika

    Tunathibitisha dhamire yetu ya dhati ye kuimarisha amani, usalama na ustawi wa Afrika Ni dhamira ya Tanzania kukuza amani na usalama barani Afrika ili kuweka mazingira stahiki ya kujenga ustawi wa kijamiina kiuchumi kwa watu wetu. Tangukuanzishwa kwake, Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa...
  18. M

    Pre GE2025 Mbowe ameongoza CHADEMA miaka 20, aruhusu mawazo mapya

    Wanajukwaa, Nchi yetu iliingia katika mfuko wa vyama vingi vya siasa mwaka 1992 ikiwa ni miaka 32 sasa. Kati ya vyama vya siasa vilivyosajiliwa wakati huo ni Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Chama hiki kimeongozwa na wenyeviti takribani watatu mpaka sasa kwa maana ya Mzee Edwin...
  19. JanguKamaJangu

    Kamishna Mkuu wa Jeshi la Polisi Zanzibar: Tulikamata wavuta bangi sio wanaokula mchana

    Kamishna Mkuu wa Jeshi la Polisi Zanzibar, CP Hamad Khamis Hamad Kamishna Mkuu wa Jeshi la polisi Zanzibar, CP Hamad Khamis Hamad amesema hakuna sheria inayowaruhusu Polisi Zanzibar kuwakamata Watu wanaokula hadharani mchana wa Ramadhani na kusema chanzo cha msako uliofanyika ni baada ya video...
  20. Suley2019

    Jela miaka 20 kisa vipande 14 vya pofu

    Mahakama ya Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma imemuhukumu kifungo cha miaka 20 jela Kijana Mussa Ally Makandaje (32), Mkazi na Kijiji cha Msinjili Wilaya ya Tunduru baada ya kupatikana na hatia katika kosa la kukutwa na vipande 14 vya nyama ya mnyama aina ya pofu. Akisoma hukumu hiyo ya kesi ya...
Back
Top Bottom