miamala

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ndege JOHN

    Mpaka hamu imekata baada ya kuona kodi mpya ya makato kwenye miamala ya fedha

    Wakuu leo asubuhi nilikuwa na hamu na zaga sasa nikamcheki mtoto akasema jioni jioni atakuja. Si ndio kuja kuingia JF kukutana na mastori ya town eti Kodi ya uzalendo aisee roho ikapasuka nahisi nimepata pressure ya kushuka lengo lao sio zuri hakuna Tena matumaini. Biashara zitazidi kuyumba...
  2. mitindo huru

    Athari tano za kiuchumi zinazoweza kutokea baada ya kuongezeka kwa tozo za miamala

    Hii leo, Julai 15 2021 gharama ya miamala ya fedha kupitia mitandao ya simu nchini Tanzania imepanda baada ya serikali kupandisha tozo ya miamala hiyo. Sintofahamu kubwa inashuhudiwa hii leo kwa wananchi wa Tanzania ambao wengi wao ni watumiaji wakubwa wa huduma hiyo. Hali hii imepelekea...
  3. msovero

    Kwa kipekee kabisa naipongeza Serikali kwa kuanzisha kodi ya kizalendo kwenye miamala ya simu. Naomba Watanzania tuiunge mkono

    Hulka yetu watanzania tuliowengi hatupendi kulipa kodi kwa hiari ila ni wa kwanza kuilamu serikali pale inaposhindwa kuleta huduma za maendeleo. Yaani tunafikiri pengine maendeleo yanakuja tu kama mvua ishukavyo kutoka mawinguni au labda kwamba nchi inaweza kujiendesha yenyewe pasipo watu...
  4. Living Pablo

    Kodi mpya za miamala nadhani kuna mchezo tunachezewa

    Mapema wiki hii kodi mpya za miamala zimetoka ambapo baadhi ya wananchi tunalalamika zinatunyonya lakin pengine nahisi kuna mchezo tunachezewa. Ukiangalia muda ambao suala limepitishwa ni kipindi ambacho vyama vya upinzani vinadai Katiba Mpya ambapo Rais akasema wamuache kwanza apambane na...
  5. Yericko Nyerere

    Waziri Mwigulu na wachumi wenzako mnalihujumu taifa, rudini mezani

    Nafikiri Waziri wa Fedha, Dr. Mwigulu Lameck Nchemba na wataalamu wenzake wameshindwa kufanya utafiti makini kujua sababu kuu ya Benki kuanguka huku soko la miamala ya mtandaoni likiimarika kwa kiwango kizuri. Wao kwa uelewa wao wameaminishwa kwamba miamala ya kibenki imepungua kwakuwa tozo za...
  6. P

    Kinachokwenda kufanyika kwenye miamala ya simu, ni Serikali kuuchukua tena uchumi sadifu wa kati kwa walala hoi kwamba hawastahili kuwa nao

    Sijui ni kivipi mtu anapofika kwenye level fulani ya maisha hutaka kuilazimisha akili yake kuwa na wengine wote wako kama yeye Badala ya kurudisha akili zake kule alikotoka ili ayapime maisha aliyopitia na hatimaye aone pia wale ambao bado wako huko wanapitia ugumu uleule aliowahi kuupitia yeye...
  7. N

    Ongezeko la mishahara Vs makato ya miamala, kuna shida mahali

    Watanzania nawasalimu, Nimejaribu kuwaza ni wapi tunakoelekea nimekosa majibu. Viongozi wetu na watanzania wote ni mashuhuda kuwa tumeambiwa kuwa kuhusu nyongeza ya mishahara tusubiri uchumi uimarike kidogo. Lakini Leo hii huyu huyu mtu anaeomba kuongezewa mshahara kutokana na kuongezeka kwa...
  8. kimsboy

    Kuna haja ya kuanzisha kampeni ya kususia miamala?

    Wadau mnaonaje tukaanza kampeni ya kususia kufanya miamala kwasababu ya gharama kupanda?
  9. M

    Sasa tuhamasike, kuwa na akaunti za Benki ni rahisi. Miamala ya simu gharama hazivumiliki

    Sasa ni wakati wa benki kujitanua zaidi na kila mmoja ajitahidi kuwa na akaunti ya benki, japo na wao wana makato Ila haya ya simu ni makubwa mno, yaani kusafirisha milioni wanakata 31,000 kutuma na kutoa. Sasa nitahamia Benki, au nitasafirisha pesa kwa Gari yaani basi, pia tujitahidi kujiunga...
  10. Madumbikaya

    I & M Bank kuwawezesha wateja kutumia WhatsApp kufanya miamala

    Maisha yamebadilika sana, Leo Tanzania program ya whatsapp inakuwezesha kutuma na kupokea pesa I & M Bank(T) , Hii imekuwa Bank ya kwanza kuwawezesha wateja wake Tanzania kutumia WhatsApp kutuma na kupokea pesa, Kulipia bili za maji na umeme Rais Samia Suluhu Hassan akihubiri kuhusu pesa za...
  11. MALCOM LUMUMBA

    Kuna tatizo la Miamala kukwama huku pesa zikikatwa na mitandao

    Mtu unaamka unataka kununua umeme au maji kwa kupitia mtandao wa Airtel au VodaCom. Unafanya manunuzi unaambiwa muhamala haujafanikiwa lakini pesa wanakata. Halafu ukiwapigia simu huduma kwa wateja wanasema watarudisha muhamala huo ndani ya masaa 96 ya kazi yaani siku nne. Kipindi cha nyuma...
  12. Opportunity Cost

    Kodi kwenye Vocha na Miamala inaumiza Wananchi, ingeongezwa kwenye vinywaji

    Nawasalimu kwa salamu ya mama. Pamoja na nia nzuri ya kugharamia afya ila kiukweli kodi kwenye huduma za Simu ikiwemo miamala ya fedha siungi mkono inalenga kutuumiza. Mbona kuna vyanzo vingi hasa kwenye Vinywaji laini na vikali, kodi kwenye wapangishaji wa nyumba kubishana nk? Hapo...
  13. Peasant educator

    Kuna haja ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kujumuishwa kwenye mitaala ya elimu nchini

    Niwieni Radhi, mada ni: Kuna haja ya katiba ya JMT kujumuishwa mwenye mitaala ya elimu nchini. Nawasilisha. Nimeona mijadala mingi kuhusu katiba ya nchi yetu ila cha kustaajabisha ni kwamba wananchi wengi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania hawaijui katiba yao na wengine ata kuwa nayo...
Back
Top Bottom