Kama kawaida yetu wanaume!
Kuna muda nilisema nimestaafu lakin mmm hakuna kustaafu
Unakutana Na mtoto hadi unachanganyikiwa ,
Mwezi wa 2 nikiwa hapa jijini changi nikapita Hotel inaitwa Indulge Urbun
Nikamuona demu Mrembo Sana yan ! Ni mnigeria nikaanza kumlia timing,
Ilikuwa Jumapili...