mitandao ya kijamii

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Robert Heriel Mtibeli

    Ninapitia mitandao ya kijamii hasa mtandao X naona Waarabu wanamaadui Kila pembe ya Dunia. Sababu kubwa ni ipi?

    Aiseeh! Hii vita ya Israel Vs Hezbollah na haya mauaji ya safu ya UONGOZI wa Hezbollah ukisoma huko mitandaoni hasa mtandao X na Facebook utagundua Waarabu hawapendwi Dunia nzima. Sio China, India, Pakistan, Ulaya ndio usiseme, Amerika na hata huku Afrika. Sijajua tatizo ni nini. Hivi mchina...
  2. Bi zandile

    Ukweli kuhusu tabia za wanaume washindao katika mitandao ya kijamii

    Men will like everything you post until he becomes your man, now he can't see🥲🤡😂
  3. tustary software develope

    Namna ya kupambana na udukuzi wa accounts za Mitandao ya Kijamii

    Kupambana na wizi wa akaunti za mitandao ya kijamii kunahitaji tahadhari na mbinu za kiusalama. Hapa kuna njia za kuimarisha usalama wa akaunti zako: 1. Tumia nywila imara: Hakikisha nywila yako ni ndefu, ngumu na inachanganya herufi kubwa, ndogo, namba, na alama maalum. Epuka kutumia maneno...
  4. Last_Joker

    Siku za kujifunza darasani zimekwisha. Sasa tunajifunza kwa kutazama video!

    Enzi zile za kukaa darasani, ukisikiliza mwalimu kwa saa kadhaa huku ukipiga miayo, zinaelekea ukingoni! Teknolojia imefanya mambo kuwa rahisi sana, na sasa unaweza kujifunza chochote unachotaka kwa kubofya tu simu yako au kompyuta. YouTube, Udemy, Coursera, hata TikTok zimekuwa madarasa mapya...
  5. jingalao

    Serikali isiogope na wala isiendeshwe na posts za mitandao ya kijamii!!

    Wapo wanaoamini kuwa Serikali inaogofya na kuendeshwa na posts za wanaharakati wa mitandaoni. Wapuuzi hawa wanaamini kuwa wakipost tu Serikali inahamaki na kuchukua hatua. Bado wanajiaminisha kuwa posts zao tu zinaamsha hisia za wananchi na jamii ya kimataifa. Wamelekewa hivyo na wameamini...
  6. Kaunara

    Unatamani Serikali Iweke Sheria gani kwenye Mitandao ya Kijamii?

    Jamii yeyote ile yenye heshima na maendeleo lazima iwe na sheria. Hata ukiona watoto wa jirani yako wanaheshima na maendeleo jua kuna sheria zinawaongoza katika familia ile na sio maombi ya kanisani wala msikitini. KInachoendelea katika social media sio kigeni kwa kila mtanzania. Kuna mazuri...
  7. Influenza

    Sakata Binti wa Yombo: Familia ya anayetajwa ‘afande’ kuwashtaki wanaomchafua kwenye mitandao ya kijamii

    Familia ya Kamishna Msaidizi wa Polisi (SSP), Fatuma Kigondo imesema inafikiria kufungua mashtaka dhidi ya wote waliosambaza kwenye mitandao ya kijamii kuwa ndugu yao amehusika kutuma vijana kufanya ukatili kwa binti anayedaiwa kuwa mkazi wa Yombo Dovya, Dar es Salaam. Akiandika katika ukurasa...
  8. W

    Mtandao wa X kufunga Ofisi zake Brazil kwa ajili ya usalama

    DIGITALI: MTANDAO WA X KUFUNGA OFISI ZAKE BRAZIL Mtandao wa X umedai kuwa Jaji Alexandre de Moraes wa Mahakama Kuu ya Brazil alimtishia mwakilishi wa X nchini humo akamatwe endapo hatatekeleza amri ya kudhibiti mtandao huo. Moraes ameagiza akaunti za X anazoshutumu kwa kusambaza taarifa za...
  9. Suley2019

    Jinsi unavyoweza kujilinda utumiapo mitandao ya kijamii

    JINSI YA KUJILINDA KATIKA MITANDAO YA KIJAMII 1. Sio kila taarifa ni ya kushiriki katika Mitandao ya Kijamii, angalia umuhimu wa taarifa unayoishiriki. Internet haisahau 2. Kuwa makini na kuweka wazi eneo ulilopo na ikiwa ni muhimu kuweka eneo, fanya hivyo ukiwa haupo eneo husika 3. Epuka...
  10. comte

    Makampuni ya mitandao ya kijamii yanatafutiwa dawa kama hayatazuia uzushi mitandaoni

    Umoja wa Ulaya unafikiria kuyabana makampuni yanayotoa huduma za mitandao ya kijamii kutafuta namna ya kuwabana watumiaji wanoitumia kueneza habari za uzushi na uvumi unao hatarisha usalama wa jamii. Many social media companies have invested heavily in content moderation over the years. But the...
  11. Mkalukungone mwamba

    Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam: Binti anayedaiwa kulawitiwa na kubakwa bado yupo hai, hajafa kama ambayo imeripotiwa katika baadhi ya mitandao

    Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema Binti anayedaiwa kulawitiwa na kubakwa bado yupo hai, hajafa kama ambayo imeripotiwa katika baadhi ya mitandao ya kijamii. Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, Muliro Jumanne Muliro amesema tayari Jeshi hilo linamshikilia Mtu...
  12. Tlaatlaah

    Unadhani kwanini matumizi ya kondomu na matangazo kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii yamepungua mno?

    Unaweza kuingia sehemu za kupumzikia wageni mathalani hotelini, guest house au lodge usikute box au pakiti ya kondomu mezani, hata sabuni siku hizi mpaka uombe kwa muhudumu tofauti na kipindi cha nyuma vyote unavikuta chumbani. Na wakati huo mtu anaweza kuwa na mchepuko mmoja tu Lakini anatumia...
  13. ankol

    Jinsi mitandao ya kijamii inavyoongeza wagonjwa wa akili

    Leo tuachane na mambo ya kubeti na kamala nyinginezo za mtandaoni zinavyopoteza nguvu kazi kubwa ya taifa na kuifanya iwe tegemezi. Tuuangalie mtandao wa tiktok nao pia unachangia pakubwa kuongeza idadi ya vijana wanaopatwa ulemavu wa akili haswa dada zetu. Wadada wengi wanashindwa kufanya...
  14. Mturutumbi255

    Athari za Mitandao ya Kijamii kwa Vijana: Ukweli Usiosemwa na Mifano Halisi

    Naitwa Mturutumbi, na leo nataka kuchambua athari za kutumia muda mwingi kwenye mitandao ya kijamii miongoni mwa vijana wa kisasa. Mitandao ya kijamii imekuwa sehemu muhimu ya maisha ya vijana, lakini matumizi yake kupita kiasi yanaweza kuwa na athari kubwa katika nyanja mbalimbali za maisha...
  15. sanga misuka

    Natafuta sehemu ya kufanya field ya Marketing and Public Relations

    Mimi nipo chuo kikuu mwaka wa kwanza nasoma Marketing and Public Relations, pia ni DIGITAL MARKETING SPECIALIST. mambo ya masoko Mtandaoni, kusimamia na kuendesha accounts za mitandao ya kijamii ikiwamo Kutengeneza Matangazo, Contents, graphic design, matangazo ya kulipia, website, na mambo...
  16. D

    SoC04 Mfumo Utakaotumia Mitandao Ya Kijamii Kuleta Mageuzi Ya Kiuchumi Na Kijamii Nchini

    Utangulizi Ukuaji wa tenolojia ya mawasiliano na tehama nchini pamoja na ongezeko kubwa la watumiaji wake unazidi kuleta hofu kubwa kwa jamii juu ya maudhui yasiyofaa yanayopatikana hasa kwenye mitandao ya kijamii kwa sababu ya kukosa udhibiti, hali ambayo inadhaniwa kupelekea mmomonyoko wa...
  17. Tlaatlaah

    Teknolojia ya habari, mawasiliano na mitandao ya kijamii ilivyo fanikisha maandamano na mageuzi katika mapendekezo ya kodi, tozo na ushuru Kenya

    Hayakuandaliwa chini ya mwamvuli wa upinzani kama ilivyozoeleka. Hayana kinara wala kiongozi moja muwajibikaji... Organization na mobilization ya vijana waandamanaji imefanyika na kuchochewa kupitia mitandao ya kijamii tu.. Imepelekea ugumu kwa polisi kubabaika, kwasababu haikuwa rahisi...
  18. Herbalist Dr MziziMkavu

    Dada na Mama zangu, angalieni mitandao ya kijamii isiwafanye mkasahau familia zenu

    Kina Dada zangu na Mama zangu Acheni kushughulika na Mitandao ya Kijamii aka Facebook,TikTok, istagram, Youtube na mengine. Wakati Mume wako anakuwepo nyumbani.Muhudumie Waume zenu kwa kila kitu acha kumtegemea Dada wa kazi aka (House Girl) atawaharibia ndoa zenu shauri zenu.
  19. Replica

    Waziri Nape akiri kufuatilia mijadala inayoendelea kuhusu mtandao wa X kufungiwa, asema TCRA itatimiza wajibu kuhakikisha watoto wanakuwa salama

    Waziri wa Habari, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Nape Nnauye amesema wanaona mijadala yote inayoendelea (kuhusu maoni ya kama mtandao wa X ufungiwe au laah) na kusema Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), itatimiza wajibu wake wa kuhakikisha Tanzania na hususani kizazi cha Watoto kipo...
  20. Mturutumbi255

    Jinsi ya Kutumia Teknolojia na Mitandao ya Kijamii Kukuza Biashara Yako Nchi Tanzania

    Teknolojia na mitandao ya kijamii zimeleta mapinduzi makubwa katika sekta ya biashara ulimwenguni, na Tanzania siyo tofauti. Kwa kutumia teknolojia ipasavyo, wafanyabiashara wanaweza kuongeza ufanisi, kufikia wateja wengi zaidi, na kuongeza mauzo yao. Makala hii itachunguza jinsi wajasiriamali...
Back
Top Bottom