Kama Wananchi tunalo jukumu takatifu la kumsaidia mama Samia kuwaondoa serikalini watendaji mizigo wakiwamo Mawaziri.
Hii ni hata kama jukumu hilo linaweza kuwa chungu, hatari au kuwa na consequences kwetu:
Viongozi waongo wakiwamo wasioheshimu haki, wala uhuru wa watu zetu, sheria au...