mkapa

Benjamin William Mkapa (12 November 1938 – 24 July 2020) was a Tanzanian politician who served as the third President of Tanzania. He was in office for one decade from 1995 to 2005. He was Chairman of the Revolutionary State Political Party (Chama Cha Mapinduzi, CCM).

View More On Wikipedia.org
  1. D

    Ushauri: Tuwe na Mkapa Day

    Kutokana na mambo mengi makubwa ya mageuzi ya kijamii na kiuchumi hapa nchini. Ninashauri itengwe siku moja na kuitwa MKAPA DAY mfano siku ya Utumishi wa Umma- Public Service Day, hii ni kumuenzi kutokana na mageuzi na maboresho aliyoyaasisi kwenye Utumishi wa Umma miaka ya 1995-2005. Hayo ni...
  2. M

    Tanzia ya Dkt. Dau kwa rafiki yake hayati Benjamin William Mkapa

    DR. RAMADHANI KITWANA DAU ANAVYOMKUMBUKA RAFIKI NA KIONGOZI WAKE RAIS MSTAAFU BENJAMIN WILLIAM MKAPA KWA NINI NAMLILIA MZEE BENJAMIN WILLIAM MKAPA Dkt. Ramadhani K Dau Ilikuwa siku ya Ijumaa tarehe 24 Julai 2020 kiasi cha saa 8 na nusu usiku kwa saa za Tanzania nilipopata simu kutoka Accra...
  3. Infantry Soldier

    Public Relations: Rais Magufuli angeweza kutoa msamaha kwa wafungwa wachache (Mtwara Pekee) ili kuenzi matendo mema, hekima na busara za mzee Mkapa

    S.hikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Ndugu zangu watanzania; Rais Magufuli angeweza kutoa msamaha kwa wafungwa wachache tu (MTWARA PEKEE) ili kuweza kuenzi matendo mema, hekima...
  4. mwanamwana

    Mazishi ya Mzee Mkapa: Kijana avutia watu kwa kuvaa fulana iliyotumika kwenye kampeni ya Urais kumnadi Mzee Mkapa

    Kijana huyo amevutia waombolezaji wengi kwenye mazishi ya Hayati Mkapa kiasi kwamba kila mmoja kutamani kupiga picha naye. Sijafanikiwa kupata jina lake lakini anadaiwa kushika wadhifa wa Udiwani huko Mtwara. Ikumbukwe Mkapa amehudumu Urais kuanzia mwaka 1995 - 2005 hivyo huenda fulana hiyo...
  5. D

    Mzee Mkapa alitengeneza uongozi wa Nchi kwa ngazi mbalimbali

    Kwa maoni yangu wakati Hayati Mzee Mkapa akiingia madarakani mwaka 1995 alianza na Mikakati ya kuweka mifumo mbalimbali ambayo hadi sasa imekuwa endelevu. Kipindi hicho ndicho kiliibua Maboresho katika Utumishi wa Umma. Hii iliendana na dhana ya ajira kwa kuzingatia sifa pamoja na kuibua...
  6. B

    Msiba wa Rais Mkapa: Kwa nini Ubalozi wa UAE Tanzania haujashusha bendera nusu mlingoti?

    Serikali na Wizara ya Mambo ya Nchi za nje ulitoa mwongozo juu ya suala la kushusha nusu mlingoti bendera zote kwa Balozi zote za nie zilizopo hapa Tanzania kutokana na Msiba huy wa kitaifa tulio nao. Ubalozi wa Falme za Kiarabu hapa Tanzania bendera zake bado zio juu kabisa toka msiba wetu wa...
  7. S

    Mkapa ameondoka katu hatorudi tena

    Wengine tuliobaki ,tunjiani twasogea. Mkapa ameondoka, katu hatorudi tena. mengi ametufanyia kwa hisabu sikumbuki Mkapa ameondoka katu hatorudi tena Kama wanafunzi bora,tuyasome yake mema. Mkapa ameondoka katu hatorudi tena Sisemi hana mabaya,ya pemba si ya kuigwa Mkapa ameondoka katu...
  8. Suley2019

    Askofu Nyaisonga: Kukiri kwa Mkapa kwa aliyokosea ni ishara ya unyenyekevu

    Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Mhashamu Askofu Gervas Nyaisonga, amesema kitendo Hayati Benjamin Mkapa kukiri mambo aliyowahi kukosea wakati wa uongozi wake akiwa Mkuu wa nchi katika kitabu chake cha ‘My life My Purpose’ ni ishara ya unyenyekevu na kumpenda Mungu. Askofu...
  9. P

    Hayati Mkapa ni aina ya wanaume wachache wenye misimamo migumu kwenye mahusiano

    Kwa Kheri mzee wetu Mkapa, Mungu akurehemu huko uendako. Nimevaa viatu vya mzee Mkapa kwenye mahusiano yake yenye moyo wa kipekee, havinitoshi kabisa na sio mimi tu karibia wanaume wengi wa karne hii hawawezi kuwa na ujasiri wa moyo kama aliokuwa nao huyu mzee wetu ni wa kipekee kabisa. Hebu...
  10. Sky Eclat

    Tundu Lissu awajibu Polisi waliomfukuza kwenye mazishi ya Mzee Mkapa: Sisi si wachawi

    Tundu Lissu baada kutua kwenye ardhi ya Tanzania alijawa na furaha ilichanganyika na huzuni, utamu na uchungu. Hakutegemea idadi ya Watanzania waliokwenda kumpokea na mapenzi waliyomuonyesha hakutegemea na yalimfariji sana. Uchaguzi mkuu huu utakua ni referendum juu ya miaka mitano ya Urais...
  11. M

    Pale Rais Magufuli anapomsifu Mkapa kwa demokdasia na utawala bora

    Jana wakati Rais Magufuli anasoma hotuba ya Tanzia juu ya kifo cha Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa, alizungumza mambo mengi mazito ambayo rais huyo aliyetutoka alilifanyia Taifa. Kwa kweli Mkapa ameacha alama katika nchi hii, yeye ndiye aliyesuka engine ya Tanzania ya leo tunayoiona. Yeye...
  12. Pascal Mayalla

    Japo yamesemwa mengi mazuri kuhusu Mkapa, kwa maoni yangu, maneno haya ya January Makamba ni one among the best kumhusu Benjamin William Mkapa

    Wanabodi, Wakati leo tunampumzisha mpendwa wetu Benjamin William Mkapa kwenye pumziko lake la milele. Nilidhamiria Kwenda Lupaso Kumzika Mkapa. Mimi ni mwandishi wa kujitegemea, ambaye sifanyii kazi chombo chochote cha habari, lakini habari zangu nasisambaza vyombo mbalimbali vya habari na...
  13. Troll JF

    IGP Sirro awaonya wahuni wanaotaka kuvuruga Msiba wa Mzee Mkapa

    IGP AWAONYA WALIOPANGA KUVURUGA SHUGHULI YA MAZISHI YA MZEE MKAPA “Kama kuna watu wanataka kuiharibu hii shughuli yetu tutawashughulikia,” – Kauli ya IGP Simon Sirro akiwaonya wanaopanga kuvuruga shughuli ya mazishi ya Mzee Mkapa. Ikiumbukwe mapema ya leo Vikosi vya Ulinzi na Usalama Vilizuia...
  14. Pascal Mayalla

    Tribute to Benjamin William Mkapa: Mchango wa BWM Kwenye Tasnia ya Habari ni "Ukweli na Uwazi"-On The Bench-.Dar 24 Blog.

    Wanabodi . Baada ya kustaafu rasmi uandishi wa habari, sasa mimi nimekuwa ni Mwalimu wa kupika vijana. Karibu. P
  15. M

    Nukuu maarufu za Rais Mstaafu Benjamin Mkapa

    Nimejaribu kuzitafakari quotes za Mzee Mkapa na kugundua ni quotes zilizokuwa na maana kubwa sana. Hazikuwa quotes za kisiasa, kikanjanja na za kulaghai wananchi bali zilijaa ukweli na uhalisia. Tujikumbushe kidogo hizo quotes 1. Ukweli na Uwazi 2. Mtaji wa Maskini ni Nguvu Zake mwenyewe...
  16. Influenza

    Joseph Mbiliyi (Sugu) awaumbua CHADEMA, akiri walichelewa Uwanjani kumuaga Mzee Mkapa

    Leo, ilikuwa ni siku ya kuuaga Kitaifa mwili wa Rais wa Awamu ya 3, Benjamin Mkapa katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar na viongozi mbalimbali walikuwa wakienda kutoa salamu zao za mwisho Viongozi wa CHADEMA wakiongozwa na Mwenyekiti wao Freeman Mbowe walienda uwanjani hapo na baadaye kudai kuwa...
  17. B

    Kilichotokea kwa Mzee Mkapa kisitokee kwa kiongozi mwingine

    KILICHOTOKEA KWA MKAPA KISITOKEE KWA KIONGOZI MWINGINE. Na Bashir Yakub, Wakili. +255 714 047 241. Haikuwa sawa kuupeleka mwili wake kila asubuh uwanjani, kuuanika pale masaa 12, na kisha kuurudisha tena kila jion,kwa siku tatu mfululizo. Mzee Mkapa ni kiongozi wa kitaifa na hivyo ilikuwa...
  18. hiram

    Klabu ya AS Roma (Italy) yatoa neno msiba wa Mkapa

    Imagine Klabu ya soka ya AS ROMA ya nchini italia ina ukurasa maalum wa twitter wa kiswahili na hata tarehe 24 july walitoa hisia zao kuhusiana na kifo cha Rais mstaafu B.W. Mkapa, ni wakati sasa wa vilabu vyetu kuwa na kurasa maalum za Kiingereza.
  19. Roving Journalist

    Rais Magufuli atokwa na Chozi la huzuni: Mzee Mkapa alinilea kama mtoto wake, alikuwa ni shujaa wangu, alinionyesha upendo

    RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amejikuta akitokwa machozi hadharani baada ya shindwa kujizuia wakati akielezea mazungumzo yake ya mwisho na Rais mstaafu awamu ya tatu, Benjamin William Mkapa. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam Hilo limejitokeza leo Jumanne tarehe 28 Julai 2020...
  20. The Khoisan

    Mzee Mkapa (RIP) aliomba Tume Huru anazawadiwa Kiwanja cha Mpira

    Nimefuatilia leo kwenye sherehe za kumuaga Rais Mtaafu BW Mkapa. Kilichotokea ni kuwa Rais ameamua kuwa Uwanja wa Mpira Uitwe Uwanja wa Mkapa kama watu wengi walivyopendekeza. Pia, alisema kuwa Mzee Mkapa hakupenda jina lake liwe kwenye kumbukumbu kama hizo lakini kwa vile hayupo basi ameamua...
Back
Top Bottom