Wengine tuliobaki ,tunjiani twasogea.
Mkapa ameondoka, katu hatorudi tena.
mengi ametufanyia kwa hisabu sikumbuki
Mkapa ameondoka katu hatorudi tena
Kama wanafunzi bora,tuyasome yake mema.
Mkapa ameondoka katu hatorudi tena
Sisemi hana mabaya,ya pemba si ya kuigwa
Mkapa ameondoka katu...