mkulima

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Sam GM

    Dkt. Wilbert Kleruu - Utata wa kifo chake, historia na maisha yake

    JF imekuwa ni mahali pa kupashana habari na kuweza pia kuzungumzia mambo ya historia yetu na mwelekeo wa nchi. Kuna Huyu bwana anajulikana kama marehemu Dr Kleruu, mie nimekuwa nikimsikia katika wimbo wa Mbaraka Mwinshehe kuwa alikuwa mwanamapinduzi. Je, kuna yeyote anaweza kutupatia taarifa...
  2. Tulimumu

    Jikumbushe mpambano wa Ubunge kati ya Mwl. na Mkemia Magufuli na Mkulima Phares Kabuye

    UCHAGUZI WA UBUNGE JIMBO LA BIHARAMULO Mnamo Mwaka 1985 Mwalimu wa Kemia shule ya sekondari Sengerema John Pombe Magufuli aligombea ubunge wa jimbo la Biharamulo akichuana na Mkulima Phares Kabuye. Kabuye alishinda na kutangazwa Mbunge, na Mwalimu Magufuli akarudi Sengerema kufundisha. Mwaka...
  3. Erythrocyte

    Isingekuwa ubinafsi na uoga wa viongozi Mkulima huyu Eldoforce Bilohe angechukua fomu ya Urais 2020

    Huyu ndiye mgombea Urais wa CCM aliyenivutia kwenye uchaguzi wa 2015 , zipo tetesi kwamba mwaka huu alishajipanga kuchukua tena fomu , lakini amekatishwa tamaa na utaratibu wa CCM. ==== Mkulima wa darasa la saba ataka urais CCM KATIKA hali isiyo ya kawaida, mkulima kutoka Kijiji cha Mjimtala...
  4. Mt Paulo

    Natafuta kiua gugu

    Habari wapendwa, mimi ni mkulima nilipenda kujua kuhusu kiua gugu ambacho kina nguvu zaidi. Dawa ya kuua majani
  5. Johnyy

    Natafuta masoko ya jumla

    Hlw wana jf, natanguliza shukrani kwa mwenyezi Mungu kwa nafasi ya uhai, mimi ni kijana mkulima wa papai za kisasa mbegu ya karina na malkia miche 400 shamba lipo Tanita Kibaha. Kwa mawasiliano waweza nichek Whatsapp au kunipigia kwa namba 0686301689 mbarikiwe sana
  6. B

    Mkulima wa Tanzania avutia wanunuzi toka Kenya

    Mkulima wa kisasa Galus Msekwa anayeendesha kilimo kwa utaalamu wa juu avutia wanunuzi toka mbali kama miji ya Nairobi na Mombasa. Mtangazaji Captain Gadner Habash alifika katika shamba hilo la mkulima na kufanya naye mahojiano exclusive na kituo cha Televisheni cha Clouds cha jijini Dar es...
  7. A

    Mkulima Tajiri

    *Utangulizi* Kampuni ya *Kinasoru East Africa (T) Ltd* inakuletea semina kubwa na ya aina yake ya *Mkulima Tajiri.* *Mkulima Tajiri* ni mfululizo wa semina zinalenga kutoa elimu na mwamko mpya wa Kilimo Mkataba kwa mazao tuliyo na masoko nayo. Kwa kuanzia tutaanza na semina ya Kilimo Mkataba...
  8. Kaka Pekee

    Kwa hasara ya ATCL hivi ndivyo Mkulima atafanya akiikamata tena ndege Boeing/ Jet Liner

    ]
Back
Top Bottom